Askofu Gwajima hataki kubadili uelekeo, inawezekana ni mgeni na chama

Askofu Gwajima hataki kubadili uelekeo, inawezekana ni mgeni na chama

Rais kabadili uelekeo gani? Mambo yako vilevile, vitu vinapanda kila leo,

Gesi
Makato
Tozo
Mafuta, kila kitu bei juu katika hawamu yake alafu unasema kabadili kabadili nini sasa, kubambika watu kesi kupo palepale, kabadili nini, acheni gwajima asimame na anachokiamini, nyie ni vibendera fuata upepo, akija mwingine akisema chanjo haifai mtaelekea huko huko
 
Gwajima afukuzwe tu

Gwajima hana UCCM wowote ule zaidi ya "kubebwa" kuwa mbunge

Ukitaka UJUE GWAJIMA hana USHAWISHI CCM hebu angalia KURA ZA MAONI ALIZOPATA JIMBONI KAWE 2020

Alikuwa wa 4

Sasa mtu wa aina hii ana USHAWISHI GANI tumuogope WANACCM?

HASHTAG GWAJIMA AFUKUZWE CCM

#CCMIMFUKUZEGWAJIMA
Leo mnaandika maandiko ya kukubali kua mwendazake kaharibu nchi na chama chakavu
 
Ungekua na ujuzi na mambo ya afya ungegundua chanjo yako. Tanzania kuna mjuzi wa afya??? Mask zenyewe mmeshindwa kutengeneza. Bora nimheshimu fundi Cherehani anaweza shona hata hizo mask.
Wewe ya kwako iko wapi[emoji706][emoji706][emoji706]

Ina maana hujui kuna kiwanda cha kutengeneza mask hapa ama umejazwa na hisia za kijinga tu?
 
Gwajima afukuzwe tu

Gwajima hana UCCM wowote ule zaidi ya "kubebwa" kuwa mbunge

Ukitaka UJUE GWAJIMA hana USHAWISHI CCM hebu angalia KURA ZA MAONI ALIZOPATA JIMBONI KAWE 2020

Alikuwa wa 4

Sasa mtu wa aina hii ana USHAWISHI GANI tumuogope WANACCM?

HASHTAG GWAJIMA AFUKUZWE CCM

#CCMIMFUKUZEGWAJIMA
afukuzwe kwa lipi jibuni hoja zake kwanza
 
Wewe ya kwako iko wapi[emoji706][emoji706][emoji706]

Ina maana hujui kuna kiwanda cha kutengeneza mask hapa ama umejazwa na hisia za kijinga tu?
Hamna lolote Tanzania hakuna wataalamu wa afya, wataalamu wanatengeneza dawa kama juice wataalamu gani hao. Hakuna kitu Tanzania kila mmoja atajikinga kwa njia yake.
 
Gwajima yupo more informed kuliko buku7 wengi ndo maana wao kazi ni kumpinga tu bila evidence yoyote wala hoja zilizoshiba....
 
Hivi mzee- kijana Humprey Pole pole a.k.a Magonjwa Mtambuka ameshachanjwa?
 
Biblia inatamka wazi kwenye Ayubu 3:25 kuwa lile nilikuwa naliogopa ndio limenipata

Waogopa Corona jiandaeni kukutana na Corona

Shupazeni shingo za uoga lazima mkutane nayo na michanjo yenu na mibarakoa yenu na mi social distance yenu na mimaji tiririka yenu

Ulaya na marekani na kuzingatia yote wanakufa kama kuku

Sasa inakuja zamu yenu waogopa Corona
Wengine tusha chanja.
Gwajima kibwetere tu.
 
The man ni Game Changer. Anajiamini sana hasa anaposimamia anachoamini.

Natamani iwe leo; natamani iwe kesho Gwajima afukuzwe CCM. Anampinga Rais ambaye kaamua kubadilisha uelekeo.

Gwajima bado amekaza shingo yake hataki kugeuka nyuma kubadili uelekeo. Amekaza shingo na anakazana kuelekea mbele wakati mwenyekiti wake wa Chama amegeuka.

Wenzie wamebadili uelekeo yeye ameshupaza shingo. Hii si nzuri kwa Chama Cha Mapinduzi. Si jambo la kawaida. Inawezekana Gwajima ni mgeni na chama. Wenyeji wanajua kubadilisha uelekeo ni jambo la kawaida kwa chama. Sasa Gwajima Kadema.

Gwajima Kadema, kagoma kugeuka. Hii si CCM tunayoitaka.
CCM kama chama msimamo wake: WACHANJWE WENYE KUTAKA HAKUNA ULAZIMA.
 
Sio kila kauli inayotolewa na serikali ni sahihi asilimia [emoji817] hivyo kuwepo kwa watu kama Gwajima ni muhimu sana haswa kwa kipindi hiki tusichokuwa na vyama vya upinzani.




Uko sahihi, hakuna upinzani.
 
Nenda kamsikilizeni NA huyu
Screenshot_20210801-203151.jpg
 
Back
Top Bottom