Askofu Gwajima hataki kubadili uelekeo, inawezekana ni mgeni na chama

Gwajifix tapeli
 
Yaaan navyoichukia CCM lakin leo kesho naomba muifukuze hiyo takataka kirambasi. He is misleading. Hana ujuzi wowote wa Afya makalio yake
Ana uwezo wa kuchora cell wall?
 
Yaaan navyoichukia CCM lakin leo kesho naomba muifukuze hiyo takataka kirambasi. He is misleading. Hana ujuzi wowote wa Afya makalio yake
pinga hoja zake sio una attack personality
 
Yaaan navyoichukia CCM lakin leo kesho naomba muifukuze hiyo takataka kirambasi. He is misleading. Hana ujuzi wowote wa Afya makalio yake
Ana uwezo wa kuchora cell wall?
 
Kamba bado kidogo kukatika, na itakatika tu!
 
Mawazo mufilisi.
Anayeshupaza shingo huishia kukatika hiyo shingo.
 

Vyama vya upinzani havipo au ccm ndio hawataki viwepo?
 
Inawezekana akawa anazingua lakini gwaji boy ana hoja tena nzito tu kuhusu chanjo ni zinafikirisha kwa kweli.
 
Du hiili la Dengue ililinipita nadhani sikuwepo vipi liliishaje?
 
Du hiili la Dengue ililinipita nadhani sikuwepo vipi liliishaje?
Ilikua miaka ya kikwete 2014 so hakuguswa.

Ilikua kama corona ilianza kwa kasi baada ya tangazo la panadol vifo vikapungua mpaka ikakata kabisa.
 
Taifa ambalo elimu imeenea mtu kama Gwajima hana madhara. US wanawalabel hawa watu kama anti vaxers na hua wanataniwa kweli kweli.

Taifa letu limejaa wajinga mtu kama Gwajima ni hatari.

Kwa sasa hapana. Hatufai.
wewe ndiwe pengine huna uelewa, wewe umebugia hiyo chanjo mask huvai??? Unajua maana ya chanjo wewe.
 
Yaaan navyoichukia CCM lakin leo kesho naomba muifukuze hiyo takataka kirambasi. He is misleading. Hana ujuzi wowote wa Afya makalio yake
Ungekua na ujuzi na mambo ya afya ungegundua chanjo yako. Tanzania kuna mjuzi wa afya??? Mask zenyewe mmeshindwa kutengeneza. Bora nimheshimu fundi Cherehani anaweza shona hata hizo mask.
 
Kuna watu nyuma ya gwajiboy na wanachochea kuni kimya kimya
Mbona wengine walithubutu kuzaba makofi wazee na wengine kuongea kwa kujiamini kwa nguvu ya Chama
Hapo inaonyesha gwaji ana Baraka zote
 
Hivi Gwajima anawapaje taabu nyie watu?? Si mumpuuze tu na muende kuchanjwa?!

Au si mjibu hoja kwa hoja ili muwafafanulie wanachama wenu? Kukimbilia kuomba afukuzwe uanachama na kumlabel eti ni mtu hatari ni kuishiwa nguvu ya hoja.
 
Mawazo mufilisi.
Anayeshupaza shingo huishia kukatika hiyo shingo.
Biblia inatamka wazi kwenye Ayubu 3:25 kuwa lile nilikuwa naliogopa ndio limenipata

Waogopa Corona jiandaeni kukutana na Corona

Shupazeni shingo za uoga lazima mkutane nayo na michanjo yenu na mibarakoa yenu na mi social distance yenu na mimaji tiririka yenu

Ulaya na marekani na kuzingatia yote wanakufa kama kuku

Sasa inakuja zamu yenu waogopa Corona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…