Leo mnaandika maandiko ya kukubali kua mwendazake kaharibu nchi na chama chakavuGwajima afukuzwe tu
Gwajima hana UCCM wowote ule zaidi ya "kubebwa" kuwa mbunge
Ukitaka UJUE GWAJIMA hana USHAWISHI CCM hebu angalia KURA ZA MAONI ALIZOPATA JIMBONI KAWE 2020
Alikuwa wa 4
Sasa mtu wa aina hii ana USHAWISHI GANI tumuogope WANACCM?
HASHTAG GWAJIMA AFUKUZWE CCM
#CCMIMFUKUZEGWAJIMA
Wewe ya kwako iko wapi[emoji706][emoji706][emoji706]Ungekua na ujuzi na mambo ya afya ungegundua chanjo yako. Tanzania kuna mjuzi wa afya??? Mask zenyewe mmeshindwa kutengeneza. Bora nimheshimu fundi Cherehani anaweza shona hata hizo mask.
wajibu hoja zakeHakufai wewe. Wengine anawafaa. Hoja za Gwajima unazifahamu?
afukuzwe kwa lipi jibuni hoja zake kwanzaGwajima afukuzwe tu
Gwajima hana UCCM wowote ule zaidi ya "kubebwa" kuwa mbunge
Ukitaka UJUE GWAJIMA hana USHAWISHI CCM hebu angalia KURA ZA MAONI ALIZOPATA JIMBONI KAWE 2020
Alikuwa wa 4
Sasa mtu wa aina hii ana USHAWISHI GANI tumuogope WANACCM?
HASHTAG GWAJIMA AFUKUZWE CCM
#CCMIMFUKUZEGWAJIMA
Usipaniki anti vaxer.wewe ndiwe pengine huna uelewa, wewe umebugia hiyo chanjo mask huvai??? Unajua maana ya chanjo wewe.
basi tuliaUsipaniki anti vaxer.
Mimi nilipo chanjo hakuna.
Hamna lolote Tanzania hakuna wataalamu wa afya, wataalamu wanatengeneza dawa kama juice wataalamu gani hao. Hakuna kitu Tanzania kila mmoja atajikinga kwa njia yake.Wewe ya kwako iko wapi[emoji706][emoji706][emoji706]
Ina maana hujui kuna kiwanda cha kutengeneza mask hapa ama umejazwa na hisia za kijinga tu?
tuliaHaya sasa twende slow.
Hoja yako ni ipi?
Safi sana ... Unasambazia maeneo gani? Kuna watu wanataka ngwengwe huku....Kusambaza ngwengwe
Wengine tusha chanja.Biblia inatamka wazi kwenye Ayubu 3:25 kuwa lile nilikuwa naliogopa ndio limenipata
Waogopa Corona jiandaeni kukutana na Corona
Shupazeni shingo za uoga lazima mkutane nayo na michanjo yenu na mibarakoa yenu na mi social distance yenu na mimaji tiririka yenu
Ulaya na marekani na kuzingatia yote wanakufa kama kuku
Sasa inakuja zamu yenu waogopa Corona
CCM kama chama msimamo wake: WACHANJWE WENYE KUTAKA HAKUNA ULAZIMA.The man ni Game Changer. Anajiamini sana hasa anaposimamia anachoamini.
Natamani iwe leo; natamani iwe kesho Gwajima afukuzwe CCM. Anampinga Rais ambaye kaamua kubadilisha uelekeo.
Gwajima bado amekaza shingo yake hataki kugeuka nyuma kubadili uelekeo. Amekaza shingo na anakazana kuelekea mbele wakati mwenyekiti wake wa Chama amegeuka.
Wenzie wamebadili uelekeo yeye ameshupaza shingo. Hii si nzuri kwa Chama Cha Mapinduzi. Si jambo la kawaida. Inawezekana Gwajima ni mgeni na chama. Wenyeji wanajua kubadilisha uelekeo ni jambo la kawaida kwa chama. Sasa Gwajima Kadema.
Gwajima Kadema, kagoma kugeuka. Hii si CCM tunayoitaka.