Askofu Gwajima: Madikteta wote walishinda uchaguzi wa kidemokrasia lakini hawakuwa na maono

Askofu Gwajima: Madikteta wote walishinda uchaguzi wa kidemokrasia lakini hawakuwa na maono

Maono si mlipewa na Nyerere au? Kupata maendeleo mnahitaji watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora.
 
Kauli za Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima, Bungeni leo Juni 21, 2022

"Inapotokea utawala mmoja unamaliza na kuingia utawala mwingine, na kwa sababu mtazamo wa utawala uliopita ni tofauti na unaokuja, inabidi viongozi wengi sana wabadilike kwa sababu inaonekana kwamba maono mapya yanaingia.

“Tungekuwa na maoni yaleyake uongozi ungekuwa unabadili staili tu ya uongozi lakini maono ni yakeyake

"Madikteta wote walishinda uchaguzi wa kidemokrasia kuanzia Bokassa hadi Hitler, isipokuwa walikuwa hawana maono ya wananchi ambayo wamejipangia, wakatoka nje na nchi zao zikaharibiwa.

“Zawadi kubwa tunayotakiwa kuipa Nchi hii ni maono ya muda mrefu, tunatakiwa kuiona Dunia ijayo kwa mbali sana ili kama nchi tujipange katika mitaala yetu ya elimu ili watoto wetu waweze kuendana na mahitaji ya dunia ijayo.

"Kujenga Taifa ni sawa na kujenga nyumba, hauwezi kujenga nyumba bila ramani, unaweza ukajenga nyumba bila ramani lakini mwishoni utakuja kupata changamoto kwamba pale palipofaa kukaa dirisha, hakuna tena dirisha hukuweka.

“Ilani za uchaguzi ziwe zinaongelea maono ya nchi, mitaala ya elimu vilevile, mipango ya muda mfupi tuliyonayo ni mizuri lakini haiwezi kujenga nchi imara.

“Mfano ni Mtwara ilipoibuka miradi ya gesi zikajengwa hoteli, lakini leo hoteli hizo hazina watu kwa kuwa maono yamebadilika.

"Tunapojenga Taifa tunapaswa kuwa na maono ya muda mrefu, mwanzoni nilipochangia kuhusu maono nilionekana kama sioni maono, lakini nazungumzia maono ya muda mrefu ya miaka 50, 60 au 100 ya Tanzania ijayo.

"Kiongozi anapaswa kuona mbali zaidi ya wengine, kuona sana zaidi ya wengine na anapaswa kuona kabla ya wengine, na katika maono anapaswa kuwa na maono ya mbali ili nchi yetu iweze kujengwa kutokea mbali.

"Nitoe mfano wa maono ya muda mrefu, ndani ya miaka 50 ijayo kila barabara ziwe za lami, kila nyumba iwe na huduma ya maji safi na salama, kila Wilaya iwe na Hospitali ya Wilaya na chuo kikuu cha serikali, hiki ndio kinachoitwa maono ya muda mrefu ya nchi.”
Maono ya miaka mingi ijayo yamo ktk Rasimu pendekeza alosimamia Judge Warioba.

Baada ya Katiba mpya kupatikana Gwajima anafaa Kwa nafasi ya juu kabisa. Amen
 
kazi ya Mbunge si kununua Greda

Binti wa Mtaani akirubuniwa na dereva wa bodaboda kuwa akimpa Mzigo atahakikisha Nchi inapata Katiba Bora halafu baada ya kuliwa akawa analalamika Katiba mpya mbona haijapatikana hapo wa kulaumiwa ni mboda boda ?

ukimtazama tu usoni Gwajiboy anaonekana kabisa muongo muongo tapeli tapeli, magirini magirini

Hivi lile greda aliloahidi kununua ndani ya siku 90 kwa ajili ya ukarabati wa barabara za Kawe alishanunua?
 
Swali la kujiuliza, JE HIYO SERA YA TAIFA ATAITENGENEZA NANI?

Isije ikawa sera ya taifa ikatengenezwa na hawa hawa vichwa maji wa ccm, kama ni hivyo bora hata isiwepo.
Mbeba maono HAFI hata atakapotimiza maono yake.

Akishindwa ndani ya chama chake atatimiza kupitia Chama kingine chenye maono yanayorandana na yake. Amen
 
Kauli za Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima, Bungeni leo Juni 21, 2022

"Inapotokea utawala mmoja unamaliza na kuingia utawala mwingine, na kwa sababu mtazamo wa utawala uliopita ni tofauti na unaokuja, inabidi viongozi wengi sana wabadilike kwa sababu inaonekana kwamba maono mapya yanaingia.

“Tungekuwa na maoni yaleyake uongozi ungekuwa unabadili staili tu ya uongozi lakini maono ni yakeyake

"Madikteta wote walishinda uchaguzi wa kidemokrasia kuanzia Bokassa hadi Hitler, isipokuwa walikuwa hawana maono ya wananchi ambayo wamejipangia, wakatoka nje na nchi zao zikaharibiwa.

“Zawadi kubwa tunayotakiwa kuipa Nchi hii ni maono ya muda mrefu, tunatakiwa kuiona Dunia ijayo kwa mbali sana ili kama nchi tujipange katika mitaala yetu ya elimu ili watoto wetu waweze kuendana na mahitaji ya dunia ijayo.

"Kujenga Taifa ni sawa na kujenga nyumba, hauwezi kujenga nyumba bila ramani, unaweza ukajenga nyumba bila ramani lakini mwishoni utakuja kupata changamoto kwamba pale palipofaa kukaa dirisha, hakuna tena dirisha hukuweka.

“Ilani za uchaguzi ziwe zinaongelea maono ya nchi, mitaala ya elimu vilevile, mipango ya muda mfupi tuliyonayo ni mizuri lakini haiwezi kujenga nchi imara.

“Mfano ni Mtwara ilipoibuka miradi ya gesi zikajengwa hoteli, lakini leo hoteli hizo hazina watu kwa kuwa maono yamebadilika.

"Tunapojenga Taifa tunapaswa kuwa na maono ya muda mrefu, mwanzoni nilipochangia kuhusu maono nilionekana kama sioni maono, lakini nazungumzia maono ya muda mrefu ya miaka 50, 60 au 100 ya Tanzania ijayo.

"Kiongozi anapaswa kuona mbali zaidi ya wengine, kuona sana zaidi ya wengine na anapaswa kuona kabla ya wengine, na katika maono anapaswa kuwa na maono ya mbali ili nchi yetu iweze kujengwa kutokea mbali.

"Nitoe mfano wa maono ya muda mrefu, ndani ya miaka 50 ijayo kila barabara ziwe za lami, kila nyumba iwe na huduma ya maji safi na salama, kila Wilaya iwe na Hospitali ya Wilaya na chuo kikuu cha serikali, hiki ndio kinachoitwa maono ya muda mrefu ya nchi.”
Bishop anataka kutia mchanga asali za watu.
 
Kauli za Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima, Bungeni leo Juni 21, 2022

"Inapotokea utawala mmoja unamaliza na kuingia utawala mwingine, na kwa sababu mtazamo wa utawala uliopita ni tofauti na unaokuja, inabidi viongozi wengi sana wabadilike kwa sababu inaonekana kwamba maono mapya yanaingia.

“Tungekuwa na maoni yaleyake uongozi ungekuwa unabadili staili tu ya uongozi lakini maono ni yakeyake

"Madikteta wote walishinda uchaguzi wa kidemokrasia kuanzia Bokassa hadi Hitler, isipokuwa walikuwa hawana maono ya wananchi ambayo wamejipangia, wakatoka nje na nchi zao zikaharibiwa.

“Zawadi kubwa tunayotakiwa kuipa Nchi hii ni maono ya muda mrefu, tunatakiwa kuiona Dunia ijayo kwa mbali sana ili kama nchi tujipange katika mitaala yetu ya elimu ili watoto wetu waweze kuendana na mahitaji ya dunia ijayo.

"Kujenga Taifa ni sawa na kujenga nyumba, hauwezi kujenga nyumba bila ramani, unaweza ukajenga nyumba bila ramani lakini mwishoni utakuja kupata changamoto kwamba pale palipofaa kukaa dirisha, hakuna tena dirisha hukuweka.

“Ilani za uchaguzi ziwe zinaongelea maono ya nchi, mitaala ya elimu vilevile, mipango ya muda mfupi tuliyonayo ni mizuri lakini haiwezi kujenga nchi imara.

“Mfano ni Mtwara ilipoibuka miradi ya gesi zikajengwa hoteli, lakini leo hoteli hizo hazina watu kwa kuwa maono yamebadilika.

"Tunapojenga Taifa tunapaswa kuwa na maono ya muda mrefu, mwanzoni nilipochangia kuhusu maono nilionekana kama sioni maono, lakini nazungumzia maono ya muda mrefu ya miaka 50, 60 au 100 ya Tanzania ijayo.

"Kiongozi anapaswa kuona mbali zaidi ya wengine, kuona sana zaidi ya wengine na anapaswa kuona kabla ya wengine, na katika maono anapaswa kuwa na maono ya mbali ili nchi yetu iweze kujengwa kutokea mbali.

"Nitoe mfano wa maono ya muda mrefu, ndani ya miaka 50 ijayo kila barabara ziwe za lami, kila nyumba iwe na huduma ya maji safi na salama, kila Wilaya iwe na Hospitali ya Wilaya na chuo kikuu cha serikali, hiki ndio kinachoitwa maono ya muda mrefu ya nchi.”
TANZANIA CHINI YA CCM INA MAONO YA KUIBA KURA KUKATAA KATIBA NA TUME HURU HAYO NDIO MAONO YA TANZANIA CHINI YA CCM

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
kazi ya Mbunge si kununua Greda

Binti wa Mtaani akirubuniwa na dereva wa bodaboda kuwa akimpa Mzigo atahakikisha Nchi inapata Katiba Bora halafu baada ya kuliwa akawa analalamika Katiba mpya mbona haijapatikana hapo wa kulaumiwa ni mboda boda ?

ukimtazama tu usoni Gwajiboy anaonekana kabisa muongo muongo tapeli tapeli, magirini magirini
MKUU

Bora anaongea Sense

Usimtukane Mjoli hujui anaemtumikia ni nani hasa!!
 
Maneno yote hayo yangeweza kufupishwa kwa maneno mawili tu ya "KATIBA MPYA".
 
Hizo unaongolea nchi za kidikteta.
Tatizo letu kubwa ni katiba na mfumo wa kuongoza nchi.
Lazima tuwe na maono, i share view zake, na mimi ni mmoja wa wafuasi wakubwa wa kuwa na sera za nchi badala ya party manifestos. Sera za nchi zitumike kupima vyama ni kwa namna gani watazitekeleza.

Hii italeta continuity na kuondoa mambo ya kishamba kama ya kujenga kiwanja cha ndege Chato ambacho hakina tija na kazi yoyote zaidi ya kuanikia mpunga au kuacha kutekeleza miradi ya maendeleo kwa sababu za wivu kama kile chuo kikuu cha Aga Khan kilichotaka kujengwa Arusha.
 
Dikteta Adolf Hitler alikuwa na maono na kwa kiasi kikubwa alitimiza maono yake
 
Nilimkubali sana JPM kwa kuwa alikuwa na maono hayo aliyoyataja Gwajima. Na alikiuwa na sifa moja kuu ya kuona mbali kabla ya wengine. Miradi yote mikubwa aliyoinzisha ni kwa sababu ya Tanzania ya kesho, huyu mwamba kwa kweli hapo nilimkubali sana.
Kulazimisha Chato kuwa mkoa/jiji ni maono yenye faida gani kwa Tanzania?
 
Back
Top Bottom