Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Sawa sisi Mbwa tumekusikia wewe na boss wako.Nimetuma, mbona kimya?
Gwajima, man of the people, talks to the people and people understand him!
Mbwa bwekeni
Kubweka ndiyo shughuli yetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sisi Mbwa tumekusikia wewe na boss wako.Nimetuma, mbona kimya?
Gwajima, man of the people, talks to the people and people understand him!
Mbwa bwekeni
Kama hujaelewa ulizaHuyu huyu aliesema 'leo kuna mabunge mawili'?
Mimi nina akili timamu ndio maana nimeona kuwa hajaongea chochote bali ni upuuzi tu. Wewe uliyeyeyusha ubongo wako ndio inabidi ujitafakari. Sio kuleta upuuzi wako humu kwa watu wasomi na wenye exposure zetu.Hahahaha ukiwa na akili mgando huwezi kuelewa, yeyusha ubongo wako kwanza uanze kuwaza kama mwenye akili timamu...
Asante sana. Bweka sasa kwa nguvu tukuskiesawa sisi Mbwa tumekusikia wewe na boss wako.
Kubweka ndiyo shuhuli yetu.
Mbona hata kibajaji ameshawahi kusema hayoHakika kama mbunge tunaye maneno haya ji ya busara san Hongera sana Askofu Gwajima mwanzo mzuri huu ni mwendo wa kusonga mbele bila kuangalia nani anabweka
Mtu akisifiwa sana ni sawa unamuabudu, sasa si sawa anakuwa ka Mungu kwa wanaomsifu sana bila hata aibu. Tungekuwa na watu kama akina Marc Antony na zile speech zao basi tungesema kabisa huyu ni Malaika Gabriel.Basi, huwezi kushindana na mtu mwenye pesa, kibali na madaraka...ila swala la kuwa Mungu ni issue nyingine ambayo kwa Gwajima haipo
Kusoma post za Mdee unajiita msomi, hahahahaha, hahahah! poor mind.Mimi Nina akili timamu ndo mana nimeona kuwa hajaongea chochote bali ni upuuzi tu. Wewe uliyeyeyusha ubongo wako ndo inabidi ujitafakari. Sio kuleta upuuzi wako humu kwa watu wasomi na wenye exposure zetu.
Hizi ni chuki tu tunawajua nyie hivyo endeleeni kubweka hamzuii kitu yeye ndio kwanza anasonga mbeleMimi Nina akili timamu ndo mana nimeona kuwa hajaongea chochote bali ni upuuzi tu. Wewe uliyeyeyusha ubongo wako ndo inabidi ujitafakari. Sio kuleta upuuzi wako humu kwa watu wasomi na wenye exposure zetu.
Mimi au wewe?Kama hujaelewa uliza
Msimamo au woga? CCM sio lolote sio chochoteAmeshaweka msimamo, utabweka mpaka ujinyee
Unajipa uungu!!! Kweli umekodisha IQ yako, mtani wangu. Ha hahaaaa!Haramu itabaki kuwa haramu tu mbinguni na duniani.
Kwahiyo unatakaje ulitaka asemaje kwan maana majitu mengine yamezoea kupinga hata iweje ni wana wa ubushiMbona hata kibajaji ameshawai kusema hayo
Kusifia ukweli sio ibada...kwenye kusifia sifia, nje ya hapo ni unafiki...narudia, ni unafiki...sifia hata kama ulishawahi kukosoa..huo ndo uanaumeMtu akisifiwa sana ni sawa unamuabudu, sasa si sawa anakuwa ka Mungu kwa wanaomsifu sana bila hata aibu. Tungekuwa na watu kama akina Marc Antony na zile speech zao basi tungesema kabisa huyu ni Malaika Gabriel.
Kwani nani kaulizaMimi au wewe?
Msipake uchafu manukato.Unajipa uungu!!! Kweli umekofisha IQ yako, mtani wangu. Ha hahaaaa!
Basi nenda ubelgiji kaka...kule ni salamaMsimamo au woga? CCM sio lolote sio chochote
Hahaha masikini nilijua tu hawa lazima watakuwa Chadema pole yenu aise sikuhizi mmekuwa wananchi wa kawaida jipange 2025 labda tunaweza kuwaonea huruma wananchi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Msimamo au woga? CCM sio lolote sio chochote
We ni mjinga kama jina lakoPosho lumumba kwa sheikh Rashid mwenyewe?
Basi tuseme AminaKusifia ukweli sio ibada...kwenye kusifia sifia, nje ya hapo ni unafiki...narudia, ni unafiki...sifia hata kama ulishawahi kukosoa..huo ndo uanaume