Winning Team
Member
- Jul 12, 2018
- 89
- 89
Unaweza kujiona we ndo una akili. Fumba macho dakika moja utajua ujinga wakoHuyu huyu anayewatukana makadinali na kutaka kugeuza misikiti kuwa Sunday School ndio mwenye akili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kujiona we ndo una akili. Fumba macho dakika moja utajua ujinga wakoHuyu huyu anayewatukana makadinali na kutaka kugeuza misikiti kuwa Sunday School ndio mwenye akili?
Wamekujaza mimba nini?poleNataka kutapika
Ni wivu tu wewe hatakama akimsifu Sana inakuhusu nin why unaumia kama sio wivu ndo kashakuwa Rais Sasa huyo mliokuwa mnamtaka mfuaten ubelgijiMtu akisifiwa sana ni sawa unamuabudu, sasa si sawa anakuwa ka Mungu kwa wanaomsifu sana bila hata aibu. Tungekuwa na watu kama akina Marc Antony na zile speech zao basi tungesema kabisa huyu ni Malaika Gabriel.
Basi kuwa mtulivu pambio ziendelee, tutaelewana baadae maana haya mambo ya wakubwaGwaji ameimba pambio kama waimbaji wengine akina kessy,
All in all ,,haramu inasifia haramu nyenzie.
Uovu haushindi.
Uovu hauna mwisho mwema.
Mjipange upyarashid a.k.a chokoraa...usiku wa leo lazima "apite" na kitu maalum mmoja!.
Unazungumza na mimi au? Maana umetaja Ubelgiji, wakati mimi niko hapa Tandika na sina mtu ninayemfahamu anaishi huko.Ni wivu tu wewe hatakama akimsifu Sana inakuhusu nin why unaumia kama sio wivu ndo kashakuwa Rais Sasa huyo mliokuwa mnamtaka mfuaten ubelgiji
Kichaa akishika rungu, mpitie mbali.Basi kuwa mtulivu pambio ziendelee, tutaelewana baadae maana haya mambo ya wakubwa
Tafuteni kingine hayo yameshapitwa na wakati hiyo ilikuwa sherehe ya kumpongeza baada ya Gwajima kaupishwa hamna jpya yanHuyu huyu anayewatukana makadinali na kutaka kugeuza misikiti kuwa Sunday School ndio mwenye akili?
AmeeeeeeenBasi tuseme Amina
Bavicha endeleeni kubweka, nchi inasonga mbeleMaana yake ni kwamba, “Waache wabweke kwa raha zao lakini wewe kaza mwendo.”
Wewe ndo haramu uliyezaliwa nje ya ndoa uko kiharamu haramu toka uko tumbuni mwa mama yako ndo maana hujielewiGwaji ameimba pambio kama waimbaji wengine akina kessy,
All in all ,,haramu inasifia haramu nyenzie.
Uovu haushindi.
Uovu hauna mwisho mwema.
Wewe kweli ni mbwa koko atapita na wewe basi maana naona unawashwarashid a.k.a chokoraa...usiku wa leo lazima "apite" na kitu maalum mmoja!.
Nenda kwa lisu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni wewe ndiyo jamaa hayakupa taarifa auUnazungumza na mimi au? Maana umetaja Ubelgiji, wakati mimi niko hapa Tandika na sina mtu ninayemfahamu anaishi huko.
Umekula lakini au uko hapa unakenua kenua?Nenda kwa lisu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni wewe ndiyo jamaa hayakupa taarifa au
Utopoloo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umekula lakini au uko hapa unakenua kenua?
Unamuwaza sana Lissu, sisi hapa tunamzungumzia Ngwajima...Utopoloo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huko CCM ndiyo wamejiridhisha kuwa Gwajima ndiyo mwenye akili kuliko wao wote 🤣 🤣 🤣Huyu huyu anayewatukana makadinali na kutaka kugeuza misikiti kuwa Sunday School ndio mwenye akili?