Askofu Gwajima: Mbunge smart kuwahi kutokea katika Bunge la Tanzania

Mtu akisifiwa sana ni sawa unamuabudu, sasa si sawa anakuwa ka Mungu kwa wanaomsifu sana bila hata aibu. Tungekuwa na watu kama akina Marc Antony na zile speech zao basi tungesema kabisa huyu ni Malaika Gabriel.
Ni wivu tu wewe hatakama akimsifu Sana inakuhusu nin why unaumia kama sio wivu ndo kashakuwa Rais Sasa huyo mliokuwa mnamtaka mfuaten ubelgiji
 
Gwaji ameimba pambio kama waimbaji wengine akina kessy,
All in all ,,haramu inasifia haramu nyenzie.

Uovu haushindi.
Uovu hauna mwisho mwema.
 
rashid a.k.a chokoraa...usiku wa leo lazima "apite" na kitu maalum mmoja!.
 
Ni wivu tu wewe hatakama akimsifu Sana inakuhusu nin why unaumia kama sio wivu ndo kashakuwa Rais Sasa huyo mliokuwa mnamtaka mfuaten ubelgiji
Unazungumza na mimi au? Maana umetaja Ubelgiji, wakati mimi niko hapa Tandika na sina mtu ninayemfahamu anaishi huko.
 
It was a good speech nonetheless.
 
Gwaji ameimba pambio kama waimbaji wengine akina kessy,
All in all ,,haramu inasifia haramu nyenzie.

Uovu haushindi.
Uovu hauna mwisho mwema.
Wewe ndo haramu uliyezaliwa nje ya ndoa uko kiharamu haramu toka uko tumbuni mwa mama yako ndo maana hujielewi
 
Unazungumza na mimi au? Maana umetaja Ubelgiji, wakati mimi niko hapa Tandika na sina mtu ninayemfahamu anaishi huko.
Nenda kwa lisu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni wewe ndiyo jamaa hayakupa taarifa au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…