GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mkuu hao Mbwa ni akina nani kwani hata Mimi pia 'nafuga' Mbwa wangu ambao nao ni Wakorofi, Wabishi na huwa wanapenda Kunigomea vile vile.Nasikia katuita Mbwa, sasa tutabweka hadi chumbani kwake, ndio ataelewa