GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mkuu hao Mbwa ni akina nani kwani hata Mimi pia 'nafuga' Mbwa wangu ambao nao ni Wakorofi, Wabishi na huwa wanapenda Kunigomea vile vile.Nasikia katuita Mbwa, sasa tutabweka hadi chumbani kwake, ndio ataelewa
Ebu KWENDA bwana aliekwambia hapa jf Kuna mashindano ya maandiko nani, kwenda bwanaRudi shule kwanza ujue kuandika usituletee usukuma wako hapa
Yaan jamaa keshapazoea utasema ni Chenge! [emoji23][emoji16]Gwajima ni smart Sana alafu amezoea bunge Kama amekaa miaka 10 kumbe ndio Mara ya kwanza keep going Gwajima
Na hapo bado kina Kunambi, Katambi e.t.c.Ni zaidi ya mbunge. Ni nadra sana kupata mtu design hii kwa siku zetu za leo.
He is incredibly brilliant!
Kuwa mtulivu dogo, dawa itaingia na Utapona tu. Sawa?Watu wa kawe tumepigwa[emoji16][emoji16]hakuna mbunge pale kuna ujinga ujinga tu
Stress mnapata nyie majambazi wa kura.Kanunue malimao ule, mpaka 2025 utakuwa na stress za kutosha weye.
Nadhani ni ile nukuu ya churchill kwamba nyie endeleeni kubweka kwa raha zenu π€π€£π€£πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈKuna jambo gani la msingi kalizungumza hapo Gwajima? Kuna kitu gani cha kipekee amekosema hapo? Sema ni smart kwa wajinga wenu Lumumba huko sio watanzania wengine huku tulio nje ya mifumo yenu ya wizi huko
Hivi ujinga ni ukosefu wa akili? Kweli CCM ni Chama Cha MazezetaUnaweza kujiona we ndo una akili. Fumba macho dakika moja utajua ujinga wako
Mkuu sauti yako inafanana na Halima mdee.,Huyu huyu anayewatukana makadinali na kutaka kugeuza misikiti kuwa Sunday School ndio mwenye akili?
Haramu itabaki kuwa haramu tu mbinguni na duniani.
Baki na hayohayo sie tunasonga mbele. Ikikukera kashitaki kwa Amsterdam.Haramu itabaki kuwa haramu tu mbinguni na duniani.