Askofu Gwajima: Mbunge smart kuwahi kutokea katika Bunge la Tanzania

Umemueleza mambo ya maana sana; mashaka yangu ni juu yake kama kweli ana uwezo wa kuyaelewa.
 
Sahau yote kuhusu mambo yake binafsi. Jamaa yupo extra miles kwenye kujieleza. Kwa bunge hili la wabunge wa ubunge wa bwelele hakuna anayezeza kumwingiza mjini huyu mwamba.
umetumwa wewe
 
Mbunge asiyefahamu kuwa serikali inao mpango wa maendeleo wa muda mfupi na mrefu?
Kipaji cha kuzoza kama yuko pale Kawe ufufuo na uzima akiwaambia watu wale anamfufua mtu sio kujua mambo.
Kawadanganye wengine kwa kuendekeza utapeli.
 
Tatizo lake aliingia bungeni kwa kura za kwenye mabegi meusi, toka mwendazake aondoke ameanza kutumia akili zake vizuri.
 
Sahau yote kuhusu mambo yake binafsi. Jamaa yupo extra miles kwenye kujieleza. Kwa bunge hili la wabunge wa ubunge wa bwelele hakuna anayezeza kumwingiza mjini huyu mwamba.
Gwajima ana matatizo ya akili

 
Sahau yote kuhusu mambo yake binafsi. Jamaa yupo extra miles kwenye kujieleza. Kwa bunge hili la wabunge wa ubunge wa bwelele hakuna anayezeza kumwingiza mjini huyu mwamba.
Si unakumbuka alikuwa ana practice kwenye familia enzi zile za awamu ya mtu yuleee!!
 
Sahau yote kuhusu mambo yake binafsi. Jamaa yupo extra miles kwenye kujieleza. Kwa bunge hili la wabunge wa ubunge wa bwelele hakuna anayezeza kumwingiza mjini huyu mwamba.
Wewe ndiye umesema sahihi. Siyo yale mapumbavu yasiyojua kitu yamekaa kusema eti hana akili. Mapumbavu kweli kweli.
 
..Nadhani Halima Mdee ni zaidi.

..kuna siku Jennister Mhagama, Dr.Kimei, Jerry Silaa, Kunambi, wote walijaribu kupambana na Mdee lakini aliwabwaga.
 
Nchi yetu inahitaji kiongozi mwenye akili na uelewa mpana juu ya kupambanua mambo haswa maswala ya akili,Dunia ya saizi ni akili basi; nchi zote zinazopigana na kutishana huko yote hii n kwasabb ya uchumi tu bhas hakuna kingine mwana JF sasa sku hizi mamb yanabadilika watu mataifa kwa mataifa wanapigana kwa akili tu basi hakuna haja ya kushikiana silaha za kivita, nafkir utakuwa unanielewa kidg, gwajima japokuwa ni mwanzo sana kusema anafaa kuwa Raisi lakn mpk sasa ameonyesha nia yake ya kuitumia akili zaid kwa ajiri ya watanzania na kama akiendelea hvo basi anaweza akawa mrithi wa JPM
 
Huyu huyu mwenyewe clip ya porn au kuna mwingine?

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Hebu tuondolee upumbavu wako hapa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…