BUBERWA D.
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 2,293
- 1,170
Umemueleza mambo ya maana sana; mashaka yangu ni juu yake kama kweli ana uwezo wa kuyaelewa.Ila mkuu una moyo sana. Unakimbilia kila mahali akisifiwa JPM. Tuambie tu hapa Ni wivu wa mapenzi au Nini. Mana Siasa hizi za duniani huwa haziwi Hivi . Hakuna mtakatifu katika Siasa na wala hatapatikana. Wote hujitahidi. At least JPM tunapata umeme. Maji. Usafiri nk.
Ok. Nimwangalie mpenzi wako LIssu Hivi kwa sifa ipi hasa ambayo mtz mwenye akili timamu angempa kura. Urais sio JF. So jipende fanya mambo yako. Mana unateseka sana rundherum.
umetumwa weweSahau yote kuhusu mambo yake binafsi. Jamaa yupo extra miles kwenye kujieleza. Kwa bunge hili la wabunge wa ubunge wa bwelele hakuna anayezeza kumwingiza mjini huyu mwamba.
Gwajima ana matatizo ya akiliSahau yote kuhusu mambo yake binafsi. Jamaa yupo extra miles kwenye kujieleza. Kwa bunge hili la wabunge wa ubunge wa bwelele hakuna anayezeza kumwingiza mjini huyu mwamba.
Kwa kuropoka tu sawa100% nakubaliana na wewe nilikuwa namdharau lkn sasa namkubali
Si unakumbuka alikuwa ana practice kwenye familia enzi zile za awamu ya mtu yuleee!!Sahau yote kuhusu mambo yake binafsi. Jamaa yupo extra miles kwenye kujieleza. Kwa bunge hili la wabunge wa ubunge wa bwelele hakuna anayezeza kumwingiza mjini huyu mwamba.
Wewe ndiye umesema sahihi. Siyo yale mapumbavu yasiyojua kitu yamekaa kusema eti hana akili. Mapumbavu kweli kweli.Sahau yote kuhusu mambo yake binafsi. Jamaa yupo extra miles kwenye kujieleza. Kwa bunge hili la wabunge wa ubunge wa bwelele hakuna anayezeza kumwingiza mjini huyu mwamba.
Huyu huyu mwenyewe clip ya porn au kuna mwingine?Nchi yetu inahitaji kiongozi mwenye akili na uelewa mpana juu ya kupambanua mambo haswa maswala ya akili,Dunia ya saizi ni akili basi; nchi zote zinazopigana na kutishana huko yote hii n kwasabb ya uchumi tu bhas hakuna kingine mwana JF sasa sku hizi mamb yanabadilika watu mataifa kwa mataifa wanapigana kwa akili tu basi hakuna haja ya kushikiana silaha za kivita, nafkir utakuwa unanielewa kidg, gwajima japokuwa ni mwanzo sana kusema anafaa kuwa Raisi lakn mpk sasa ameonyesha nia yake ya kuitumia akili zaid kwa ajiri ya watanzania na kama akiendelea hvo basi anaweza akawa mrithi wa JPM
Nchi yetu inahitaji kiongozi mwenye akili na uelewa mpana juu ya kupambanua mambo haswa maswala ya akili,Dunia ya saizi ni akili basi; nchi zote zinazopigana na kutishana huko yote hii n kwasabb ya uchumi tu bhas hakuna kingine mwana JF sasa sku hizi mamb yanabadilika watu mataifa kwa mataifa wanapigana kwa akili tu basi hakuna haja ya kushikiana silaha za kivita, nafkir utakuwa unanielewa kidg, gwajima japokuwa ni mwanzo sana kusema anafaa kuwa Raisi lakn mpk sasa ameonyesha nia yake ya kuitumia akili zaid kwa ajiri ya watanzania na kama akiendelea hvo basi anaweza akawa mrithi wa JPM