Mbona enzi za Magufuli aliufyata huyu ana mpima Samia, ngoja akinyooshwa tu kidogo atatuliahivi hii mbuzi inachotaka ni nini jasa? hayo mambo siyaliisha isha?
hii mbuzi imesahahu kama yenyewe iliiambia hiyo misukule yake kwamba haiwezi kugombea ubunge maana ni demotion?
nimeshagundua kinachoisumbua hii mbuzi inataka umaarufu wa kuongelewa mitandaoni
Wewe ni mbwa piaW ewe ni mbwa sana, huwezi kutoa mvhango bila kuudhi mtu?
Labda utopiaGwajima 2025 anaweza kuchukua nchi jamani🤣
Ahaa cariha unaposema aliufyata kwa magufuli###Mbona enzi za Magufuli aliufyata huyu ana mpima Samia, ngoja akinyooshwa tu kidogo atatulia
angetueleza kwanza yeye kilichofanya akabadili upepo kugombea ubunge ni nini?Jadili hoja, sio mto hoja.
Inaeleka baba yako alipoteza pesa zake bure kukupeleka shule, bora angezipeleka bar tu.
Viongozi na wataalam hao hao ndio walio kua mistari wa mbele kutushauri Wananchi kua chanjo hazifai badala yake tujifukize, sasa leo vipi wanageuka tena?
Au wanafuata upepo unapo vuma?
Gwajima anasema viongozi na wataalamu wetu ni vigeugeu na hawafai kuongoza, Wanafanya mambo kwa kuangalia upepo na sio utaalamu
Anasisitiza wajiuzulu mapema kwenye suala la korona
Akihutubia maelfu ya waumini wake leo Gwajima amesema wataalamu wetu ndio hao walijenga pale muhimbili jiko la kujifukiza nyungu na waliwaaminisha wananchi kuwa chanjo hazifai
Gwajima anasema Leo ghafla wataalamu hao wanahubiri chanjo, Je wanamdanganya nani?
Gwajima anahoji lile jiko sasa wana alitumia kwa kazi gani pale muhimbili kwani waliokataa chanjo ndio hao vinara wa kusisitiza chanjo
Gwajima anasisitiza hao wataalamu wa ndani walete Papers au Research zao wamefanya lini na wapi kuhusu chanjo za korona?
Gwajima anasema waje wataalamu hao wa ndani waeleze Madhara ya muda mrefu na mfupi wa chanjo ndio hapo atakuja na Maswali magumu ya kufanya watawanyike
Anasema viongozi makini wangejiuzuru kazi hawafai kuongoza Taifa kwa kuwa vigeugeu kwa kuangalia nani anaongoza juu yao
Gwajima hana legitimacy ya kuwananga wenziwe juu a ukigeugeu.Gwajima anasema viongozi na wataalamu wetu ni vigeugeu na hawafai kuongoza, Wanafanya mambo kwa kuangalia upepo na sio utaalamu
Anasisitiza wajiuzulu mapema kwenye suala la korona
Akihutubia maelfu ya waumini wake leo Gwajima amesema wataalamu wetu ndio hao walijenga pale muhimbili jiko la kujifukiza nyungu na waliwaaminisha wananchi kuwa chanjo hazifai
Gwajima anasema Leo ghafla wataalamu hao wanahubiri chanjo, Je wanamdanganya nani?
Gwajima anahoji lile jiko sasa wana alitumia kwa kazi gani pale muhimbili kwani waliokataa chanjo ndio hao vinara wa kusisitiza chanjo
Gwajima anasisitiza hao wataalamu wa ndani walete Papers au Research zao wamefanya lini na wapi kuhusu chanjo za korona?
Gwajima anasema waje wataalamu hao wa ndani waeleze Madhara ya muda mrefu na mfupi wa chanjo ndio hapo atakuja na Maswali magumu ya kufanya watawanyike
Anasema viongozi makini wangejiuzuru kazi hawafai kuongoza Taifa kwa kuwa vigeugeu kwa kuangalia nani anaongoza juu yao
Jamaa anawachana Dr Gwajima na Dr Mollel
Na viongozi wengine... anajiamini nini
Da TanzaniaDodoma hapakalini. Pale wamemwaga Damu ya Lissu kila wakifika pale miguu inawasha.
Rejea mlima Gilboa alikouawa Mfalme Sauli palilaaniwa pakakosa Mvua na umande na hakuna mtu wa maana anapakaa.
Paulo walikuwa mtumishi wa Mungu, hakushiriki dhulma ya watawala kama ambavyo huyu alivyo shiriki kupata ubunge wa dhulma toka kwa Mwendazake.Achana na Gwajima, hutomweza atakupoteza kwenye ulimwengu wa siasa kwa jina la Yesu. Kamuulize walichomfanya paulo.
😅😅😅Mmiliki wa majikoPana mambo hayana maswali wala hayahitaji majibu:
1. Majaliwa, Jaffo na Vigogo Afya Waachie Ngazi
View attachment 1885177
2. Mawaziri waachie Ngazi kutoa Nafasi kwa Mwanzo Mpya
View attachment 1885173
Ila mwenye majiko yake yule mwenyewe kabisa yuko Chatto.
View attachment 1885175
Bila kuwaondosha japo hao safari bado sana.
Ni kweli, sio leo sigombei ubunge ni sababu ni 'demotion' halafu kesho unagombea. Sio 'nafufua watu' halafu hufufui. Lazima uwe na msimamo, hahahahaaaaaaWatu aina ya Gwajima nawakubali sana.
Lazima tuwe watu wenye misimamo isiyo yumbishwa, sio leo njano kesho nyekundu.
Gwajima ni nabii wa uongo. Kalaghabahoo wanapigwa wajingaPaulo walikuwa mtumishi wa Mungu, hakushiriki dhulma ya watawala kama ambavyo huyu alivyo shiriki kupata ubunge wa dhulma toka kwa Mwendazake.
Paulo hakuwa mkabila kama huu alivyo Sukuma gang.
Paulo alikuwa hawaongopei watu ila huyu anamengi anayo ongopa moja wapo nihili la chanjo na majigambo ya kumfufua Amina Chifupa.
Ni mengi anatofautiana na Paulo. Huyu anapenda mapato ya aibu.kama haya y ubunge. Pia waumini wake wananjaa yeye anaishinkwa Anasa kwa pesa zao, hivi sivyo kwa Paul.
Hata yeye Gwajima ni kigeugeu na hana msimamo kama Haji ManaraAnachotaka ni nini jasa? Hayo mambo si yaliisha isha?
Amesahahu kama yenyewe iliiambia hiyo misukule yake kwamba haiwezi kugombea ubunge maana ni demotion?
nimeshagundua kinachoisumbua hii mbuzi inataka umaarufu wa kuongelewa mitandaoni
Kuna wakati hata saa mbovu husema ukweli#gwajimaGwajima hana legitimacy ya kuwananga wenziwe juu a ukigeugeu.
Sote tu mashihidi - siku za huko nyuma hajajiingiza kwenye siasa aliwanangaga vibaya sana Waislamu na Wakatoliki lakini mwaka jana wakati wa kuomba kura za ubunge Kawe akafanya u-turn kama shemeji yake Doro alivyofanya kwenye korona - akawaita Wakatoliki na Waislamu ni watu wema sana na in fact eti walimlea alivyokuwa kijana hadi kupewa jina la Kiislamu Rashidi.
Huyu jamaa ni tapeli lililojificha ndani ya ma