#COVID19 Askofu Gwajima: Nasubiri wataalamu wa ndani wa chanjo ya COVID-19 waongee kisha nitawapiga kwa risasi moja tu watawanyike

#COVID19 Askofu Gwajima: Nasubiri wataalamu wa ndani wa chanjo ya COVID-19 waongee kisha nitawapiga kwa risasi moja tu watawanyike

Watu aina ya Gwajima nawakubali sana.
Lazima tuwe watu wenye misimamo isiyo yumbishwa, sio leo njano kesho nyekundu.
Mbona hata yeye hana msimamo, alisema ubunge ni demotion leo yapo wapi?
 
Uongo wa Gwajima ni upi hapo?

Katika Nchi yeyote iliyokuwa makini, wale viongozi waliokuwa advocates wa kijifukiza walipaswa wajiuzulu ili kupisha wengine ambao watakuwa advocates wa chanjo.

It doesn't make sense , mwezi wa pili mwaka huu ukatae katukatu chanjo na utoe sababu za kisayansi na mwaka huu huu mwezi wa sita uzikubali chanjo kwa sababu hizo za kisayansi, ni kitu gani kimebadilika ?
CCM
 
Simpendi gwajima.

Ila kauli zake tuna la kujifunza, Nchi kua na wataalam na viongoz vigeugeu Ni HATARI Sana.

Tunajenga taifa la wanafiki na walamba viatu[emoji3525]
 
Gwaji boy!
Hawa wataalamu walipokuwa wanajenga jiko Muhimbili ulipewa paper ya research ?
Were nawe ni mfuata mkumbo wa Mwendazake, vinginevyontupe paper ya hilo unalo liamini na kulitangaza. Msimamo wako huu ni waaliye kuingiza kwenye ubunge (Mwendazake)

Ni kweli viongozi na wataalam wetu ni wachumia tumbo. Wanaelekea upande wa anae wapa ugali, ndo mana tunataka Uhuru kwa kudai katiba inayo wapa Uhuru watu kuwa kinyume na anaye wapa ugali kama wanaona inafaa.

Hata wewe ni mmoja wao, isipo kuwa kwa huyu mama umekata tamaa ya kupewa chochote kama ulivyo ahifiwa na Msukuma mwenzio aliye kuingiza ubunge kwa kharamu.
huyo askofu ni fala sana,
 
Gwajima anasema viongozi na wataalamu wetu ni vigeugeu na hawafai kuongoza, Wanafanya mambo kwa kuangalia upepo na sio utaalamu

Anasisitiza wajiuzulu mapema kwenye suala la covid-19

Akihutubia maelfu ya waumini wake leo Gwajima amesema wataalamu wetu ndio hao walijenga pale muhimbili jiko la kujifukiza nyungu na waliwaaminisha wananchi kuwa chanjo hazifai

Gwajima anasema Leo ghafla wataalamu hao wanahubiri chanjo, Je wanamdanganya nani?

Gwajima anahoji lile jiko sasa wana alitumia kwa kazi gani pale muhimbili kwani waliokataa chanjo ndio hao vinara wa kusisitiza chanjo

Gwajima anasisitiza hao wataalamu wa ndani walete Papers au Research zao wamefanya lini na wapi kuhusu chanjo za korona?

Gwajima anasema waje wataalamu hao wa ndani waeleze Madhara ya muda mrefu na mfupi wa chanjo ndio hapo atakuja na Maswali magumu ya kufanya watawanyike

Anasema viongozi makini wangejiuzuru kazi hawafai kuongoza Taifa kwa kuwa vigeugeu kwa kuangalia nani anaongoza juu yao
Gwajima gani?
 
Gwajiboy ungekuwa unatoa hoja nzito zakuwalazimisha waliokuwa wanampamba Magu kuhusu korona wajiuzulu kwa kumshauri vibaya ningekuelewa.
Habari ya research kuletewa were hapo umechemka kwani huna utaalamu wakisayansi kujua hiyo research.
Ni sawa na aliyepima Mapapai na Mafenesi
 
Gwajima hana legitimacy ya kuwananga wenziwe juu a ukigeugeu.

Sote tu mashihidi - siku za huko nyuma hajajiingiza kwenye siasa aliwanangaga vibaya sana Waislamu na Wakatoliki lakini mwaka jana wakati wa kuomba kura za ubunge Kawe akafanya u-turn kama shemeji yake Doro alivyofanya kwenye korona - akawaita Wakatoliki na Waislamu ni watu wema sana na in fact eti walimlea alivyokuwa kijana hadi kupewa jina la Kiislamu Rashidi.

Huyu jamaa ni tapeli lililojificha ndani ya majoho ya kanisa!
mpaka akasema yeye anaitwa Rashidi
 
Paulo walikuwa mtumishi wa Mungu, hakushiriki dhulma ya watawala kama ambavyo huyu alivyo shiriki kupata ubunge wa dhulma toka kwa Mwendazake.
Paulo hakuwa mkabila kama huu alivyo Sukuma gang.
Paulo alikuwa hawaongopei watu ila huyu anamengi anayo ongopa moja wapo nihili la chanjo na majigambo ya kumfufua Amina Chifupa.
Ni mengi anatofautiana na Paulo. Huyu anapenda mapato ya aibu.kama haya y ubunge. Pia waumini wake wananjaa yeye anaishinkwa Anasa kwa pesa zao, hivi sivyo kwa Paul.
paulo makonda😂😂😂😂😂😂
 
Hakuna virologists nchii hii, kuna makasuku tu ambao hawawezi kufanya lolote mpaka wasubiri kuona mzungu amefanya nini!

Kuwa virologist sio tu kukariri kariri hovyo majina ya vijidudu. Lazima elimu zao zionekane zinaisadia namna gani jamii.

Huu ni mwaka wa pili wa UVIKO, lakini hao virologists wako wamejificha uvunguni wamejikunyata hawajui la kufanya. Wanasubiri mabeberu yatengeneza chanjo kisha wao wadandie treni kwa mbele.
Kuna mdau aliwahi kuleta Uzi humu, NIMRI ifutwe TU.

Wanafanya KAZI ya kusambaza vyandarua, hamna tafiti ya maana waliwahi fanya ikasaidia jamii.

Hata hili la Corona,
Walituaminisha dawa ya madagaskar Ni KIBOKO ya Corona.

Sahv wamekaa kimya Kama sio wao.

Gwajima anapoint[emoji106]
 
Kuna mdau aliwahi kuleta Uzi humu, NIMRI ifutwe TU.

Wanafanya KAZI ya kusambaza vyandarua, hamna tafiti ya maana waliwahi fanya ikasaidia jamii.

Hata hili la Corona,
Walituaminisha dawa ya madagaskar Ni KIBOKO ya Corona.

Sahv wamekaa kimya Kama sio wao.

Gwajima anapoint[emoji106]
lilikua ni shinikizo la mwendawazimu meko
 
Ahaa cariha unaposema aliufyata kwa magufuli###
hauoni kinachoendelea je huyo magufuli aliruhusu chanjo?

Anacho kizungumza gwajima tusaidie kujibu wewe maana wataalamu wakiwa ndani ya ccm wanapotea sijui kwanini

Caria usijsahaulishe anachouliza gwajima hichi hapo chini wala usijitie upofu

Gwajima amehoji hoja za msingi sana haikufaa kumpiga biti ili kutetea ugali walifaa kujibu kwa hoja.

Fundamental questions:
1. Nikichanjwa naacha kuvaa barakoa?
WHO: Lazima uvae

2. Nikichanjwa sitaambukizwa?
WHO: Unaweza kuambukizwa

3. Nikichanjwa siwezi kuugua?
WHO: Utaugua

4. Nikichanjwa siwezi kufa?
WHO: Unaweza kufa

5. Nikichanjwa ikija Corona ya design nyingine siwezi ambukizwa?
WHO: Unaweza kuambukizwa.

Sasa Gwajima anahoji hii chanjo tunachanja ya nini???

Hili swali ndo inatakiwa wamjibu kwa niaba ya watanzania badala ya kumpiga biti.

Hoja hushindwa na hoja.
Watu wanamshambulia gwajima in person, badala ya kujibu hoja zake[emoji2]
 
gwajiboy kada pekee wa ccm alieamua kubaki na akili yake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2223][emoji2223][emoji2223]
KABisa,
Sahivi naona na polepole nae Yuko na gwajima.
 
Back
Top Bottom