Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima: Naweza kufanya kazi yoyote ambayo haijakatazwa kibiblia, Mungu alijitambulisha kwa majina tofauti!

Alishawahi kusema Kugombea Urais ,Ubunge ni kujishushia hadhi.
Leo kabadilika,!!!
Wanaobadilika wengi wala siyo ajabu. Hata wapinzani walishawahi kuwaita Lowassa na Sumaye mafisadi kisha wakaja kuwaogesha na kuwakabidhi rehani za chama. Baadaye tena wakabadilika. Hata mawe hubadilika.
 
Mpinge kwa maandiko vinginevyo unapiga kelele tu!
Laana ya mungu haiji kwa maandiko, na hiyo laana itakapo kipiga hata wewe itakushtukiza tuu.

Kumuunga mkono Shetani ni kutafuta kipigo cha mungu, mtaanza kukiona kuanzia kesho
 
Anataka kuanza kubet uyu mzee hana lolote
 

Hakuna mipaka ya Kiroho, haipo, kama ipo nionyeshe.

Kuwa kiongozi serikalini sio dhambi, kama ni dhambi pia nionyeshe.

Kipindi kile yuko Chadema mlikuwa hamuoni hilo?

Anyways, tuone itakavyo kuwa.
 
Wanaobadilika wengi wala siyo ajabu. Hata wapinzani walishawahi kuwaita Lowassa na Sumaye mafisadi kisha wakaja kuwaogesha na kuwakabidhi rehani za chama. Baadaye tena wakabadilika. Hata mawe hubadilika.
Lowasa na Sumaye ni Wanasiasa ,Gwajima ni Kiongozi wa Dini.haha
 
Unadhan andiko umelivumbua wewe?
We matako nini nimeweka haki miliki ya Biblia hapo? Kuwa mchungaji haimaanishi anajua kila kitu! Nipe quotation yoyote ktk Biblia Mungu aliyoruhusu mchungaji afanye siasa! Biblia anasema Ya Mungu mpe Mungu na ya Kaisari mpe kaisari maana achague sasa what are you saying? This YAHOO PASTOR kondoo anawala
 
Wanaobadilika wengi wala siyo ajabu. Hata wapinzani walishawahi kuwaita Lowassa na Sumaye mafisadi kisha wakaja kuwaogesha na kuwakabidhi rehani za chama. Baadaye tena wakabadilika. Hata mawe hubadilika.
Lowasa na Sumaye ni Wanasiasa ,Gwajima ni Kiongozi wa Dini.haha
 
Kwa hiyo ndo utetezi alioleta huu, kwa kweli hii korona itakuwa imeathiri makusanyo ya sadaka na sasa anatafuta kula kwenye ubunge, unafanya mchezo na njaa..
 
Sijawahi kumuona au kumsikia Msigwa anahubiri kanisa lolote toka alipokuwa mbunge, hebu wewe niambie umewahi kumuona au kumsikia akihubiri wapi zaidi ya jina tu Mchungaji Msigwa?!
 
Hapa hakuna suala la kusomea siasa, usikuze mambo, huyu mtu ni kiongozi wa kanisa lake anawaumini ambao kimsingi nao wana itikadi zao tofauti, sasa unapokuwa na kiongozi wa aina hii hao kondoo wataacha vipi kutawanyika?!

Unaleta habari ya Msigwa, binafsi toka nimjue Msigwa kama mchungaji sijawahi kumuona au kumsikia kanisani akihubiri, labda wewe uniambie uliwahi kumuona wapi Msigwa akihubiri baada ya kutoka bungeni?

Kuhusu Lwakatare ndio yaleyale, kila jambo linazungumzwa kwa wakati wake, most importantly two wrongs can't make it right, Lwakatare alipotoka so as Gwajima.

Ukishasema huyu mtu anawajibu wake kiroho maana yake ya ulimwengu ayaache, na alijua hili mapema ndio maana kuna video yake ikimuonesha yeye kwa kinywa chake akikiri kazi yake ya Uaskofu ni kubwa zaidi ya ubunge, uwaziri, hata urais, sasa kipi kimembadilisha?
 
Kwa hiyo yeye ni nani kati ya hayo majina?
 
Na huyu Nabii kijana Bilionea Shillah je amb
Sijawahi kumuona au kumsikia Msigwa anahubiri kanisa lolote toka alipokuwa mbunge, hebu wewe niambie umewahi kumuona au kumsikia akihubiri wapi zaidi ya jina tu Mchungaji Msigwa?!
Na huyu wa CHADEMA Nabii kijana Bilionea Shillah je? Nasikia ametia nia jimbo la Kilombero
 
Na huyu Nabii kijana Bilionea Shillah je ambNa huyu wa CHADEMA Nabii kijana Bilionea Shillah je? Nasikia ametia nia jimbo la Kilombero
Huu mwaka tutashuhudia mengi sadaka zimeporomoka sana!
 
Huyu si Askofu, ni mtu wa mshahara!
 
Na huyu Nabii kijana Bilionea Shillah je ambNa huyu wa CHADEMA Nabii kijana Bilionea Shillah je? Nasikia ametia nia jimbo la Kilombero
Nisome juu kabisa ya huu uzi msimamo wangu kuhusu watu wa aina hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…