#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

Katika mapendekezo alio pendekeza mh hayati magufuri. Askofu gwajima ni chaguo sahihi kwa kweli si msariti kabisa
 
Tuliambiwa hii ni vita. Sasa zaidi ya askari anataka nani tena aende mstari wa mbele katika vita hii?

Au waanze wabunge? Maana wajibu wao wa kuisimamia serikali wameshindwa kuutekeleza vema mpaka serikali imeleta chanjo!?
 
Leo nimemsikia Gwajima akisema hataruhusu vyombo vya ulinzi, madaktari, manesi na viongozi wa dini wachanjwe! Nimepatwa na mshangao mkubwa na mshituko nikajiuliza mtu huyu katoa wapi ujasiri wa kuamuru au kutoa ushsuri kwa vyombo vyetu vya ulinzi nini wafanye na nini wasifanye! Hajui kama jeshini kuna chain of command? Au siku hizi kapewa cheo cha msemaji wa jeshi letu na madaktari wetu?

Gwajima kasahau kwamba nchi hii ina Amiri jeshi mkuu ambaye pia ni Rais wa nchi ambaye aliunda jopo la wataalam wakaja na mapendekezo ya kitaalam..Yaani Gwajima anataka vyombo vyetu vya ulinzi wapinge amri halali ya Amiri jeshi mkuu!? Kwa lugha nyepesi Gwajima anafundisha uasi jeshini?

Hajui kama anachokifanya ni uhaini tena mchana kweupe? Huyu Gwajima hajui adhabu ya uhaini? Kama ana mawazo yake na mapendekezo yake hajui namna ya kuwasilisha mpaka kuanza kuwahimiza wanajeshi wetu wagome !

Huyu Gwajima amejisahau kiasi hiki au ni laana ya kumtukana Pengo? Nitashangaa huyu Gwajima asiposhughulikiwa kwa kuhimiza uasi kwa vyombo vyetu vya ulinzi na madaktari wetu!
 
wewe nae
sasa yeye azuie ana mamlaka gani
Yeye ametoa ushauri km mwananchi mzalendo anetoa maoni yake kwa mujibu wa katiba
au kuna sheria aliyovunja ?!!
Wewe unaweza kutoka ukatoa ushauri kwa vyombo vyetu vya ulinzi kupingana na amri halali zilizotolewa na mamlaka?
 
Mimi napatwa na mshangao kwa wewe kushangaa wabunge ambao hawana kibali cha wananchi kukengeuka.Wewe ndiye una matatizo.
 
Leo nimemsikia Gwajima akisema hataruhusu vyombo vya ulinzi, madaktari, manesi na viongozi wa dini wachanjwe! Nimepatwa na mshangao mkubwa na mshituko nilikuuliza mtu huyu katoa wapi ujasiri wa kuamuru vyombo vyetu cya ulinzi nini wafanye na nini wasifanye!

Gwajima kasahau kwamba nchi hii ina Amiri jeshi mkuu ambaye pia ni Rais wa nchi ambaye aliunda jopo la wataalam wakaja na mapendekezo ya kitaalam..Yaani Gwajima anataka vyombo vyetu vya ulinzi wapinge amri halali ya Amiri jeshi mkuu!? Kwa lugha nyepesi Gwajima anafundisha uasi jeshini?
Hajui kama anachokifanya ni uhaini tena mchana kweupe? Huyu Gwajima hajui adhabu ya uhaini? Kama ana mawazo yake na mapendekezo yake hajui namna ya kuwasilisha mpaka kuanza kuwahimiza wanajeshi wetu wagome !
Huyu Gwajima amejisahau kiasi hiki au ni laana ya kumtukana Pengo? Nitashangaa huyu Gwajima asiposhughulikiwa kwa kuhimiza uasi kwa vyombo vyetu vya ulinzi na madaktari wetu!
Kweli mkuu ulikosa majina mwaka 2013 hadi ujitukane na kujiita nguruwe!
 
Atuoneshe mabadiliko tangu kuingia bungeni
 
Ndio somo la maandiko ya biblia yalikuwa yanamuongoza ahubiri hivyo?
Hivi hili kanisa lina utaratibu wa vikao vya kanisa?
Akiwa bungeni nani huwa analiongoza
 
Leo nimemsikia Gwajima akisema hataruhusu vyombo vya ulinzi, madaktari, manesi na viongozi wa dini wachanjwe! Nimepatwa na mshangao mkubwa na mshituko nikajiuliza mtu huyu katoa wapi ujasiri wa kuamuru au kutoa ushsuri kwa vyombo vyetu vya ulinzi nini wafanye na nini wasifanye! Hajui kama jeshini kuna chain of command? Au siku hizi kapewa cheo cha msemaji wa jeshi letu na madaktari wetu?

Gwajima kasahau kwamba nchi hii ina Amiri jeshi mkuu ambaye pia ni Rais wa nchi ambaye aliunda jopo la wataalam wakaja na mapendekezo ya kitaalam..Yaani Gwajima anataka vyombo vyetu vya ulinzi wapinge amri halali ya Amiri jeshi mkuu!? Kwa lugha nyepesi Gwajima anafundisha uasi jeshini?
Hajui kama anachokifanya ni uhaini tena mchana kweupe? Huyu Gwajima hajui adhabu ya uhaini? Kama ana mawazo yake na mapendekezo yake hajui namna ya kuwasilisha mpaka kuanza kuwahimiza wanajeshi wetu wagome !
Huyu Gwajima amejisahau kiasi hiki au ni laana ya kumtukana Pengo? Nitashangaa huyu Gwajima asiposhughulikiwa kwa kuhimiza uasi kwa vyombo vyetu vya ulinzi na madaktari wetu!
Umekula hela za wenye chanjo wewe sio bure maana unaandika kwa ghadhabu na wewe unaweza toa ushauri wako kuwa wachanjwe achana na Gwajima
 
Askofu Gwajima amemtaka mwenyekiti wa CHADEMA mh Mbowe kufuta kauli yake ya kutaka chanjo ya Corona iwe ni lazima.

Gwajima amesema Chadema ni chama cha demokrasia hivyo ni lazima Mbowe aishi kama mwanademokrasia na siyo dikteta.
Kama Freeman Mbowe analazimisha chanjo angali yupo Ufipa je akifika Ikulu itakuwaje?!

Mungu awabariki!

Pia soma > #COVID19 - CHADEMA: Chanjo ya COVID-19 iwe ya lazima
 
Ni wazo baya sana kuwachanja chanjo ya Corona askari wa majeshi yetu kwa sababu hatujui usalama wa hizo chanjo.

Baba Gwajima amesema anapinga kwa 100% vyombo vya dola kuchanjwa kwa sababu tunaweza kupoteza taifa. Askofu Gwajima amesema haya Kanisani kwake leo.

Askofu Gwajima amewataka wafuasi wake na wapiga kura wa jimbo la Kawe wakatae kabisa kuchanja kwa sababu watapata hasara kubwa sana maishani.

" Naikataa kabisa chanjo ya Corona " amesisitiza baba askofu.

Source: Mtandao wa You tube!
Kwa sababu wao corona inawaogopa?
 
Back
Top Bottom