Akina kibwetere hawatakuja kuisha hapa Duniani!!! Gwajima pia anaweza kujaribiwa na Shetani,... kama Mtume wote kina Daudi, Petro, Paulo alijaribiwa na Ba yesu mchawi tena wazi wazi kwani yeye gwajima ni nani asijaribiwe??...
hata km Gwajima ni mtumishi wa Mungu kweli hawezi kuzidi utumishi wa mtume Paulo ... Jamani wa TZ kwa nini hamuelewi? mmeruhusiwa kuwajaribu hawa wachungaji wenu wano jiita watumishi!!
km haitoshi Yesu Mwana wa Mungu hasaa!! alijaribiwa na shetani tena mara kibao tu! eti '' ageuze mikate ale''!! Gwajima yeye nani asijaribiwe kwa hili ili kupoteza umati wa TZ?? eti awe sahihi tuuu! wkt woote?? mweee!! akome tena
ningekuwa Rais ningeanza nae ili aka ombewe vizuri hukohuko kizuizini akili imkae sawa!! KM kweli unamuabudu Mungu wa kweli Basi atakuwa wa wote tulioumbwa nae!! siyo yeye tu!! hata kipindi cha Yesu kulikuwa na Manabii wa uongo weeengi!!
Na ilitabiliwa zamani sana kuwa siku za Mwisho kutakuwa na Manabii wa uongo!! watafanya maajabu ''wajaribuni!!! yamkini watashusha Moto kutoka Mbinguni. hayo ya miujiza kuokoa misukule!! kweli utaokoa sana lkn sisi kamwe Gwajima haya tutishi!!! elewa hivo...
Mungu ni wa wote Gwajima anapaswa kujua hili si wa Gwajima peke yake!! kiasi kwamba tumsikilize yeye tuuu!! Tujisaidie kwa kumuweka Mungu wetu mbele! wkt tukichukua tahadhari !! sisi km taifa hatuta kaa kusubili mungu wa Gwajima atende!!
Mungu wa Sabato, Islam, Rc, Budha nk ndiyo Mungu wa Gwajima au... hata hao waumini wake ni kuwachapa viboko tu mpaka watie akili, huyo mungu wako anaruhusu Bendera ya sinagogi la shetani tena kwenye Mimbali ya kanisani kwako!! wengine wanaona si kweli!
Km kweli Wazungu wanataka tufe!! ,... mbona wao wanakufa sasa?? km haitoshi wana wa israel waliuawa huko Misri lkn bado wakawa wengi tu? Ukimwi tumeletewa Mbona tunakula bata sambamba kwa mtiti wa watu kuliko hata hao waletaji??
hata wakileta hiyo covid acha ije hatuogopi tutachukua tahadhari km kawaida lkn Mungu ana jambo na sisi!!! huwezi zuia kauli ya Mungu kwa kuweka tahadhari ambazo Mungu hakusema, Imani yako ndo itakuokoa siyo imani ya gwajima!!
alisema siku za mwisho yatakuja Magonjwa hatari yasiyo kuwa na Dawa!! sasa si ndo safi unabii unatimia? omba kwa bidii ukijua mwisho sas unatimia!!! kuyakwepa hayo ni kupinga unabii wa Mungu usitimie yawache yaje!! unabii utimie!!
Kuto chukua tahadhari Maksudi eti gwajima mtumishi amesema ni kumjaribu Mungu!! utakufa wewe gwajima kwanza! kmkibwetere alivo potea usicheze wewe...Unisikie!! najua unapita pita humu na walee wachungaji wako! watakwambia!
Atatuvusha salama tu km alivo vusha wana wa Israel! lkn siyo wewe gwajima utuvushe !! mtu km wewe pia unae weza rubuniwa na shetani huyo huyo! ili kupoteza umati!! haya yalimpata mtume paul pia!!! ebu tupe nafasi tuabudu kwa uhuru bana......