#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

Mtumishi wa Bwana

Nataka ujuwe sipingani na wewe wala sipo kinyume na wewe, nataka nieleze mawazo yangu kuhusu somo lako la leo kuhusu kuchanjwa.

Leo umehubiri kuhusu chanjo kwamba waumini wako wasikubali kuchanjwa, napenda nikufungue macho kidogo uweze kuona,


Nilipozaliwa nikiwa mtoto mchanga kutoka tumboni mwa mama yangu nilichanjwa chanjo tano siku ile ile nazaliwa,na kwa taarifa yako hao wazungu unaowapinga kwa nguvu zote wangependa kuniangamiza wangenimalizia kwenye zile chanjo tano nilizopokea wakati nazaliwa.

Napenda nikusaidie upate kuelewa,dunia hii tunayoishi inaongozwa na watu wachache sana wala hawafiki kumi


Napenda nikufahamishe kabla corona haijaingia kuna watu walikuwa na taarifa,nimekueleza hilo ili ujue nini kinaendelea duniani
chanjo ya corona inatoka kwa wazungu na wao wameonyesha mfano kuanza kuchanjwa wao.

Nataka ujue kama wazungu wana nia mbaya na sisi wangeweza kutumia njia yoyote ile kutumaliza,

Kwa taarifa tupo mikononi mwao na sisi kama waafrica hatuna chance ya kusimama mbele yao kwa kuwa hatuna jambo lolote tulilofanya katika kuchangia maendeleao ya dunia tangu tunajitawala mpaka muda huu

Mtumishi naomba ujuwe kuna dunia,mwili na roho,haya ni mambo matatu yanayotofautiana sana na sijakusikia ukigusia,huu mwili ukipata chanjo hauwezi kuathiri roho kwa sababu kila kitu kinajitegema,kumbuka ukifa roho inatoka ndani ya mwili na huo mwili unabaki kurudishwa mavumbini

Shirika la Afya Duniani linasimami chanjo dunia nzima unaingilia kati na kuanza kuwanyima washarika wako wasichanjwe naona kuna hatari inakujia hapo mbele

Corona inabadilika kila siku vipi kikija kirusi ambacho waliochanjwa wanapona na ambao wamechanjwa wanakufa??
Utaficha wapi uso wako Mtumishi wa Bwana

Nikiwa kama mkristo aliyeokoka nakushauri ubiri ujumbe wa aina nyingine kwa sababu haya mambo ni magumu kidogo,kumbuka ni watumishi wangapi wa Mungu wamekufa kwa corona?


Hata uko ulaya Kuna baadhi ya watu wanamtizamo kinyume kuhusu hyo chanjo kwa hyo kuwa na mashaka na hyo chanjo sio kwa gwajima tuu hta uko mbele wengne wanaipinga
 
Kijana acha ujuaji...wa ajabu....ajabu... !
 
Kwa taarifa tupo mikononi mwao na sisi kama waafrica hatuna chance ya kusimama mbele yao kwa kuwa hatuna jambo lolote tulilofanya katika kuchangia maendeleao ya dunia tangu tunajitawala mpaka muda huu
Wewe umesema ni mkristo lakini hujui lengo la Kristu kuja duniani. Fikra zako dhaifu ndio maana umekuja na mawazo dhaifu. Mimi sio muumini wa gwajima lakini nafahamu hakuna kinachoweza kumuangamiza binadamu zaidi ya kukosa maarifa.

Maarifa ni matokeo ya kuwa na taarifa sahihi wewe kwa namna ulivyo weka hoja zako inaonesha unaudhaifu wa kutafuta maarifa kwa lugha rahisi (hausomi vitabu)

Nakushauri uongeze juhudi kupata maarifa sahihi ili wakati mwingine upate ufahamu kabla ya kutetea mambo yalio nje ya uwezo wako
 
'Kwa taarifa tupo mikononi mwao na sisi kama waafrica hatuna chance ya kusimama mbele yao'........wewe mburula kama uko mikononi mwa wazungu ni wewe na ukoo wako, usituingize wengine ambao maisha yetu tunamtegemea Mungu Mwenyezi.....
 
Mtu mwongo, mnafiki na asiye na maadili kabisa ya huduma ya kumtumikia MUNGU. Nawasikitikia wanaosikiliza porojo zake.
 
Kama akitokea mtu na kushibitisha kasoma na Gwajima A-level nitampa ths 100,000. Ukweli ni kwamba hajasoma hata A-level na stori yake ya maisha ni fake. Leo hii tunataka kumlinganisha na madaktari wa binadamu😷 tuacheni vichekesho
 
Wengi wanakifahamu au wamewahi kukisikia kisa cha Joseph Kibweteere wa Uganda mshirika aliyejitenga kutoka kanisa katoliki na akaanzisha huduma yake iliyokuwa na mafundisho mengi ya ajabu lakini ikijitambulisha kama dhehebu la Kikristo.

Kilele cha huyu bwana ilikuwa March 17,2000 alipowafungia waumini wake takribani 700 ndani ya kanisa akawaaminisha mwaka 2000 ulikuwa mwisho wa dunia na wakakubali kuchomwa moto wote hadi kufa huko Kanungu Uganda.

Kibwetere mwenyewe haiweleweki mpaka leo kama alijichoma moto na washirika wake au yeye alichoropoka, mpaka leo amebaki katika listi ya mojawapo wa watu wanaotafutwa sana Uganda.

Nikirudi hapa nyumbani katika video na taarifa ziliozasambaa sana leo ni pamoja na ya Askofu Gwajima akihubiri kanisani kwake akiwasisitiza sana wafuasi wake wakatae chanjo kwa sababu wanaweza kugeuka mazombi.

Ameenda mbali zaidi akiipuzulia mapendekezo ya kamati ya wataalamu wa serikali iliyondwa kumshauri Rais katika suala la Corona.

Njia inayoonekana bora katika kukabiliana na Corona mpaka sasa ni chanjo, ikiwa Gwajima atasikilizwa na kutiliwa maanani na maelfu ya watu katika makundi hatarishi ya kupata na kufa kwa korona atakuwa hana tofauti na Kibweteere wa Uganda
 
Achana naye huyo, kakaririshwa ya wazungu yote hata kama wametengeneza takwimu na kuwanunua ma editors wa 'the nature' ! Common sense kwake siyo common 😜!
Tufafanulie hiyo scientific reasoning.
 
We hamnazo kabisa! Kwani hakuna long distance learning 😜!?
Kauzu kweli weye!
Kama akitokea mtu na kushibitisha kasoma na Gwajima A-level nitampa ths 100,000. Ukweli ni kwamba hajasoma hata A-level na stori yake ya maisha ni fake. Leo hii tunataka kumlinganisha na madaktari wa binadamu😷 tuacheni vichekesho
 
Watu sio kwamba hatutaki chanjo. Hoja ni kuhakikishiwa usalama wake. Sio na hiyo WHO bali na vyombo vya serikali yetu.

Kama vyombo vya serikali haviwezi tujitafakari kama Taifa.
Vyombo gani vinamfunga mtu aliyetumia mbinu kutengeneza gobole badala yakumpeleka viwandani,halafu utegemee wawe na uwezo wa covid
 
Gwajima amesema Chadema ni chama cha demokrasia hivyo ni lazima Mbowe aishi kama mwanademokrasia na siyo dikteta.
Kama Freeman Mbowe analazimisha chanjo angali yupo Ufipa je akifika Ikulu itakuwaje?!
Hata mimi niliwahi kuuliza swali kama hili.
P
 
Ww ni juha aliyepiliza kwa wazimu!
Kama chanjo hiyo itakulinda kweli nenda kachanje!

Sie wenye kinga zetu msitusumbue. Hivyo vi 'delta' vyenu tumeshakutana navyo sana tu na havikufua dafu na vimesha jikatia tamaa na kujuta kutufahamu sisi!

Jichanjeni wenyewe vichanjo uchwara vyenu! Msitusumbue mfyuuuuuu 😡!
 
Mtumishi wa Bwana

Nataka ujuwe sipingani na wewe wala sipo kinyume na wewe, nataka nieleze mawazo yangu kuhusu somo lako la leo kuhusu kuchanjwa.

Leo umehubiri kuhusu chanjo kwamba waumini wako wasikubali kuchanjwa, napenda nikufungue macho kidogo uweze kuona,


Nilipozaliwa nikiwa mtoto mchanga kutoka tumboni mwa mama yangu nilichanjwa chanjo tano siku ile ile nazaliwa,na kwa taarifa yako hao wazungu unaowapinga kwa nguvu zote wangependa kuniangamiza wangenimalizia kwenye zile chanjo tano nilizopokea wakati nazaliwa.

Napenda nikusaidie upate kuelewa,dunia hii tunayoishi inaongozwa na watu wachache sana wala hawafiki kumi


Napenda nikufahamishe kabla corona haijaingia kuna watu walikuwa na taarifa,nimekueleza hilo ili ujue nini kinaendelea duniani
chanjo ya corona inatoka kwa wazungu na wao wameonyesha mfano kuanza kuchanjwa wao.

Nataka ujue kama wazungu wana nia mbaya na sisi wangeweza kutumia njia yoyote ile kutumaliza,

Kwa taarifa tupo mikononi mwao na sisi kama waafrica hatuna chance ya kusimama mbele yao kwa kuwa hatuna jambo lolote tulilofanya katika kuchangia maendeleao ya dunia tangu tunajitawala mpaka muda huu

Mtumishi naomba ujuwe kuna dunia,mwili na roho,haya ni mambo matatu yanayotofautiana sana na sijakusikia ukigusia,huu mwili ukipata chanjo hauwezi kuathiri roho kwa sababu kila kitu kinajitegema,kumbuka ukifa roho inatoka ndani ya mwili na huo mwili unabaki kurudishwa mavumbini

Shirika la Afya Duniani linasimami chanjo dunia nzima unaingilia kati na kuanza kuwanyima washarika wako wasichanjwe naona kuna hatari inakujia hapo mbele

Corona inabadilika kila siku vipi kikija kirusi ambacho waliochanjwa wanapona na ambao wamechanjwa wanakufa??
Utaficha wapi uso wako Mtumishi wa Bwana

Nikiwa kama mkristo aliyeokoka nakushauri ubiri ujumbe wa aina nyingine kwa sababu haya mambo ni magumu kidogo,kumbuka ni watumishi wangapi wa Mungu wamekufa kwa corona?


Umenifumbua macho pia

Kuna "Roho" na "Mwili".inamaana askofu ameacha ku-deal na Roho za watu na anashughulika na miili inayoharibika baada ya kufa kwa "korona" au "kinga" ya corona
 
Mtumishi wa Bwana

Nataka ujuwe sipingani na wewe wala sipo kinyume na wewe, nataka nieleze mawazo yangu kuhusu somo lako la leo kuhusu kuchanjwa.

Leo umehubiri kuhusu chanjo kwamba waumini wako wasikubali kuchanjwa, napenda nikufungue macho kidogo uweze kuona,


Nilipozaliwa nikiwa mtoto mchanga kutoka tumboni mwa mama yangu nilichanjwa chanjo tano siku ile ile nazaliwa,na kwa taarifa yako hao wazungu unaowapinga kwa nguvu zote wangependa kuniangamiza wangenimalizia kwenye zile chanjo tano nilizopokea wakati nazaliwa.

Napenda nikusaidie upate kuelewa,dunia hii tunayoishi inaongozwa na watu wachache sana wala hawafiki kumi


Napenda nikufahamishe kabla corona haijaingia kuna watu walikuwa na taarifa,nimekueleza hilo ili ujue nini kinaendelea duniani
chanjo ya corona inatoka kwa wazungu na wao wameonyesha mfano kuanza kuchanjwa wao.

Nataka ujue kama wazungu wana nia mbaya na sisi wangeweza kutumia njia yoyote ile kutumaliza,

Kwa taarifa tupo mikononi mwao na sisi kama waafrica hatuna chance ya kusimama mbele yao kwa kuwa hatuna jambo lolote tulilofanya katika kuchangia maendeleao ya dunia tangu tunajitawala mpaka muda huu

Mtumishi naomba ujuwe kuna dunia,mwili na roho,haya ni mambo matatu yanayotofautiana sana na sijakusikia ukigusia,huu mwili ukipata chanjo hauwezi kuathiri roho kwa sababu kila kitu kinajitegema,kumbuka ukifa roho inatoka ndani ya mwili na huo mwili unabaki kurudishwa mavumbini

Shirika la Afya Duniani linasimami chanjo dunia nzima unaingilia kati na kuanza kuwanyima washarika wako wasichanjwe naona kuna hatari inakujia hapo mbele

Corona inabadilika kila siku vipi kikija kirusi ambacho waliochanjwa wanapona na ambao wamechanjwa wanakufa??
Utaficha wapi uso wako Mtumishi wa Bwana

Nikiwa kama mkristo aliyeokoka nakushauri ubiri ujumbe wa aina nyingine kwa sababu haya mambo ni magumu kidogo,kumbuka ni watumishi wangapi wa Mungu wamekufa kwa corona?

Hii nchi bd sn ndugu yangu, kuna watu wameshikwa masikio na mcheza porn ujue.
 
Kunilazimisha nichanje kwa nguvu sio kuvuruga amani?

Una hakika gani CHADEMA ndio wanajua kuliko raia wote wa nchi hii? Kama nyinyi CHADEMA mnadhani mnayo justification ya kulazimisha watu kuchanja vile vile na CCM nao wanayo justification ya kulazimisha amani ya nchi hii isivunjwe.
Mbowe amependekeza. Na angekuwa na uwezo wa kukulazimisha kuchanja leo asingekuwa ndani.

Wanachama wa Chadema kama raia mwingine yeyote wa Tanzania wana haki ya kikatiba ys kupendekeza chochote kwa serikali yao. CCM hawana haki au justification yeyote ya kutulazimisha wote tukubaliqna na mawazo yao. Na amani yeyote ambayo inahitaji kulazimishwa haita dumu kwa sababu haipo mioyoni mwa watu. Lakini hilo hautalielewa kwa sababu mzoea vya kunyonga....

Amandla...
 
Back
Top Bottom