Kwangu chanjo ya corona haijanifanya niwe hai mpaka sasa hivi! Nitaendelea na vilivyonilinda dhidi ya vijicorona, malaria, hepatitis B, ukimwi nk! Chanjo ya corona haimo ktk orodha ya walinzi wangu and guess what...I'm happy and peaceful! We panya wa majaribio kimbilia experimental vaccine!
Kwangu chanjo ya corona haijanifanya niwe hai mpaka sasa hivi! Nitaendelea na vilivyonilinda dhidi ya vijicorona, malaria, hepatitis B, ukimwi nk! Chanjo ya corona haimo ktk orodha ya walinzi wangu and guess what...I'm happy and peaceful! We panya wa majaribio kimbilia experimental vaccine!
Yeye ametoa hoja kwa nini uchanjwe then ufate taratibu ambazo mtu asiechanjwa anafata? Inakuwaje upewe chanjo ya Ukimwi then unaambiwa utumie condom kunyanduana??
Nataka ujuwe sipingani na wewe wala sipo kinyume na wewe, nataka nieleze mawazo yangu kuhusu somo lako la leo kuhusu kuchanjwa.
Leo umehubiri kuhusu chanjo kwamba waumini wako wasikubali kuchanjwa, napenda nikufungue macho kidogo uweze kuona,
Nilipozaliwa nikiwa mtoto mchanga kutoka tumboni mwa mama yangu nilichanjwa chanjo tano siku ile ile nazaliwa,na kwa taarifa yako hao wazungu unaowapinga kwa nguvu zote wangependa kuniangamiza wangenimalizia kwenye zile chanjo tano nilizopokea wakati nazaliwa.
Napenda nikusaidie upate kuelewa,dunia hii tunayoishi inaongozwa na watu wachache sana wala hawafiki kumi
Napenda nikufahamishe kabla corona haijaingia kuna watu walikuwa na taarifa,nimekueleza hilo ili ujue nini kinaendelea duniani
chanjo ya corona inatoka kwa wazungu na wao wameonyesha mfano kuanza kuchanjwa wao.
Nataka ujue kama wazungu wana nia mbaya na sisi wangeweza kutumia njia yoyote ile kutumaliza,
Kwa taarifa tupo mikononi mwao na sisi kama waafrica hatuna chance ya kusimama mbele yao kwa kuwa hatuna jambo lolote tulilofanya katika kuchangia maendeleao ya dunia tangu tunajitawala mpaka muda huu
Mtumishi naomba ujuwe kuna dunia,mwili na roho,haya ni mambo matatu yanayotofautiana sana na sijakusikia ukigusia,huu mwili ukipata chanjo hauwezi kuathiri roho kwa sababu kila kitu kinajitegema,kumbuka ukifa roho inatoka ndani ya mwili na huo mwili unabaki kurudishwa mavumbini
Shirika la Afya Duniani linasimami chanjo dunia nzima unaingilia kati na kuanza kuwanyima washarika wako wasichanjwe naona kuna hatari inakujia hapo mbele
Corona inabadilika kila siku vipi kikija kirusi ambacho waliochanjwa wanapona na ambao wamechanjwa wanakufa??
Utaficha wapi uso wako Mtumishi wa Bwana
Nikiwa kama mkristo aliyeokoka nakushauri ubiri ujumbe wa aina nyingine kwa sababu haya mambo ni magumu kidogo,kumbuka ni watumishi wangapi wa Mungu wamekufa kwa corona?
Ww kichaa, hata Gwajima hajapinga chanjo na hata yy na watoto wake wamechanjwa chanjo za ukweli siyo hiyo ya majaribio ya corona inayogandisha damu! Na pia chanjo tulizochanjwa sote huko nyuma zilikuwa hazihusishi vina7!
Mimi nipo na Gwajiboy ktk hili, siko na wasomi uchwara waliokaririshwa na pia kupokea mlungula kuwahadaa wadanganyika! Ww mbulula hujiulizi shaka na wasiwasi uliopo juu ya vijichanjo uchwara hivi vya corona kuwa kuna kitu nyuma ya pazia!?
Huko nyuma, kuna chanjo yoyote iliyowahi kutiliwa shaka kama hii ya corona?
Shaka yote hii ikithibitishwa na matukio ya vifo na mikasa mingi kwa waliochanjwa bado haigongi kengere la hatari kwako!
Nenda kajifanyie majaribio peke yako, tuache na Gwajima mzalendo sisi kwa amani ebo!
Kwa kifupi: Hatuma imani na hiyo chanjo yenu ya majaribio!
Noo sio kibwetere yy anataka kujua kuna components gani ndani ya hii chanjo kwanza ndio itumike haawamrishi waumini kijinga na wewe uelewe vizuri kwanza
Hajaongelea suala la kujua components yeye amesema kwa kuwa chanjo ni hiari tutumie hiari kuikataa tena kasema hata madokta na manesi (ikumbukwe wapo frontline na kwenye mazingira hatarishi sana) ni vibaya kuanza nao kuchanjwa
Kuna "Roho" na "Mwili".inamaana askofu ameacha ku-deal na Roho za watu na anashughulika na miili inayoharibika baada ya kufa kwa "korona" au "kinga" ya corona
Hajaongelea suala la kujua components yeye amesema kwa kuwa chanjo ni hiari tutumie hiari kuikataa tena kasema hata madokta na manesi (ikumbukwe wapo frontline na kwenye mazingira hatarishi sana) ni vibaya kuanza nao kuchanjwa
Ni zezeta tu anayeweza kupuuza kauli ya Gwanjima,kwani ni Nani anayejua long term side effects ya hizi chanjo!
Kwanini Serikali imejitoa kuwajibika ikiwa mtu atapata madhara! Kama zipo salama?
Hajapinga Wala hajabishana nae, jaribu kusoma kwa umakini utaelewa. Hayo ni mawazo yake binafsi habishani, Unadhani waizrael wote wange msikiliza Musa kwa mawazo yake ya kibinadamu; wangeingia nchi ya ahadi? Uvushwe jangwani na MUNGU halafu ushindwe kuingia kwenye mji? Tena si kilomita nyingi Kama kule jangwani walivyo hangaika kutembea usiku na mchana. Mambo ya kiroho tusichangaye na myama ilio shikiliwa na mifupa.
Inawezekana hiyo chanjo itawaanda wanajeshi na askari kuwa mazombi kutekeleza maelekezo ya waliozitengeneza hizo chanjo majaribio ya vina7! Hii ni pamoja na wahudumu wa afya ili tukose pa kukimbilia! Wakiambiwa asiyechanjwa mteseni mpaka aipokee chanjo...hii mizombi iliyochanjwa itatekeleza bila kutumia common sense zao za kuzigatia miiko ya taaluma zao na haki za binadamu! Maana inaweza kuwa watakuwa'controlled somehow 🤔!
Sina imani na chanjo ya majaribio ya corona ya vina7!
Siafiki kuchanjwa majeshi yetu na wataalamu wa afya!
Mtumishi wa Mungu yupo sahihi, hili swala la Corona tuendelee kumuomba Mungu atuepushe nalo
Maana hatujui hao wazungu wana mpango gani na sisi, hata viongozi wetu ni kuwa nao makini sana na kuzidi kuwaombea Mungu awe kiongozi wao
Yeye ametoa hoja kwa nini uchanjwe then ufate taratibu ambazo mtu asiechanjwa anafata? Inakuwaje upewe chanjo ya Ukimwi then unaambiwa utumie condom kunyanduana??
Kuna chanjo inayotoa "sterilizing immunity" hiyo inazuia kabisa mwili kupata maambukizi ya ugonjwa, ni chanjo chache sana zenye uwezo huo hata kwa magonjwa tuliyoyazoea kama kifua kikuu ndio maana hata watu waliopata chanjo zamani ya kifua kikuu wanaweza kupata maambukizi mapya , kuumwa na kuambukiza wengine.
Chanjo yoyote ikiwemo hata hii ya corona inategemea na mwili wa mtu, wapo ambao itawalinda kabisa wasipate maambukizi, wapo ambao watapata maambukizi lakini hautokuwa ugonjwa mkali unaohitaji mtu apelekwe hospitali, unakuwa tu kama mafua ya kawaida tu, ama uchovu (chanjo zilizopitishwa na WHO zinafanya hili kwa ufanisi mkubwa) hivyo dhumuni la chanjo ni kuongeza kinga ya mwili kuuwezesha upambane na hivyo virusi huku kukiwa na uhakika wa asilimia kubwa (kama sio 100%) kwamba mtu hatofariki kutokana na maambukizi hayo.
Tatizo la kutokufuata miongozo ya wataalamu kwa ugonjwa kama COVID-19 baada ya kupata chanjo ni kwamba unaweza ukapata virusi wala usijue wakati mwili wako unapambana kwa ufanisi wa juu lakini ukawa unaambukiza wale ambao bado hawajapata chanjo. Pale ambapo asilimia kubwa ya wananchi hasa wale waliopo kwenye makundi hatarishi wakiwa wamepatiwa chanjo ni rahisi kuachana na hayo masharti ya kujilinda na corona.
Demonstrated strong neutralizing antibody activity against the Delta (B.1.617.2) variant Persistent immune responses through at least eight months
www.jnj.com
2. Pia unaposema kwamba hazikujaribiwa kwa mtu mweusi, wakati tunaambiwa majaribio yafanyike si tuligoma tukasema sisi sio nyani wa kufanyiwa majaribio ? Nchi zenye majority ya watu weusi ambazo zilifanyiwa trials nakumbuka ilikuwa South Africa na Kenya na tuliwadhihaki kuwa wamekubali kutolewa chambo.
3. Janssen vaccine haitumii mRNA technology na ndio maana ni rahisi kuletwa Africa , mRNA inahitaji uhifadhi wa joto la chini sana kitu ambacho ni ngumu kupatikana kwenye hizi nchi zetu View attachment 1867812 View attachment 1867813
4. Hizo namba za efficacy kwa vaccines hazina maana inapotumika kulinganisha ubora wa chanjo kwa sababu efficacy figures zinapatikana katika trials, mfano Pfizer inaweza kufanyiwa trials kipindi maambukizi ni madogo nchi tofauti halafu ikaja AstraZeneca ikafanyiwa trials muda maambukizi yako juu na nchi tofauti...mpaka sasa hakuna research iliyofanyika kuangalia ipi ni chanjo bora zaidi. Kinachoangaliwa ni uwezo wa chanjo kumlinda mtu kama atapata maambukizi basi asiumwe ugonjwa mkali utakaopelekea yeye kulazwa ama kufariki , aliyepewa chanjo ana uwezekano mkubwa kuumwa kidogo sana ama kutokuumwa kabisa kama atapata maabukizi ya corona na hivyo kuufanya ugonjwa kutokuwa tishio.
5. Madhara ya chanjo ya Janssen ambayo yaliongelewa sana ni damu kuganda ambapo probability ni 0.000007% ( watu 7 kati ya milioni 1). Uwezekano wa damu kuganda iwapo utapata maambukizi ya CoVID-19 bila chanjo yoyote ni kama umelazwa hospitali ni 0.05%(mtu 1 kati ya 20) na kama upo nyumbani na ugonjwa wa usio mkali ni 0.01% (mtu 1 kati ya 100).
Tatizo taarifa zinaweza kubadilishwa kuweka hofu tu juu ya chanjo bila kuangalia hizo hizo risks zilizopo kama ukiachwa ukaambukizwa hiyo COVID-19.
Watu wamekunywa bupiji,nimricaf, covidol bila kujua humo ndani kuna nini, majaribio yamefanyikia wapi na side effects ni nini, wengine mpaka wamesababisha figo kufeli kwa kuchanganya mitishamba lakini hakuna aliyekuwa na wasi wasi nazo...jiulize hizo nyungu zina efficacy kiasi gani?
Wewe hata uandike vipi watz wachache sana watachoma...survival late ni 99.9% wagonjwa hawataki 1000 kati wa watu mil 60, kwann tu vaccinate watu without knowing the long term impact? Hapa wamenoa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.