Kama chanjo imekuja na ni salama,hofu ya nini kuwachanja wanajeshi na polisi, kwani hata wao wanaweza kuwa sehemu ya kusambaza maambuzi kwa wengine, kama wao hawafai kuchanjwa basi na wengine hawafai kuichanjwa,hili siyo taifa la wanajeshi na polisi ni taifa na watanzania wote.
Maandiko ya kisayansi yapo yanayoelezea jinsi chanjo inavyofanya kazi na composition yake na hata majaribio yaliyofanyika kuweza kujiridhisha ufanisi wake....serikali kupitia vyombo vyake husika ndio ina uwezo wa kuhakiki kilichomo...wewe unafahamu chemical composition ya coca cola ?
Unafahamu hasa kiasi cha electromagnetic waves zinazotoka kwenye simu yako kama ni salama ?
Serikali ndio inayofanya kazi ya kujua kipi ni salama kwa wananchi wake, kama serikali na vyombo husika vikisema kitu ni salama, serikali za nchi nyingine zikasema ni salama, taasisi nyingine za kimataifa zikasema ni salama then who are you kupinga bila evidence ? Kama ukisema kisitumike basi weka ushahidi katika mfumo wa andiko la kisayansi ambapo wanasayansi wengine watajifunza kutoka kwako ama kukukosoa.
Wewe hata uandike vipi watz wachache sana watachoma...survival late ni 99.9% wagonjwa hawataki 1000 kati wa watu mil 60, kwann tu vaccinate watu without knowing the long term impact? Hapa wamenoa
Nilichofanya ni kujibu hoja zako, ili kama kuna mtu hajafanya maamuzi asome pande mbili za shilingi na afanye maamuzi.
Hiyo survival rate ya 99.9% umeitoa wapi ? Unafikiri survival rate ya covid kwenye Scandinavian countries itakuwa sawa na Brazil, Ecuador, Tanzania ?
Nchi kama Tanzania hata survival rate haijulikani, kwa sababu hata data za corona zina gaps zisizoeleweka
Moshi tu KCMC tunaambiwa wameelemewa na upungufu wa mitungi ya gesi👇
Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini ya KCMC imezidiwa na idadi ya wagonjwa wanaohitaji hewa ya Oksijeni ukilinganisha na mitungi 400 inayozalishwa kwa siku huku mgonjwa mmoja akitumia mitungi 8 hadi 10 kwa siku.Hayo yamesemwa leo Ijumaa Julai 23 na Mkurugenzi Mtendaji Hospitali hiyo...
www.jamiiforums.com
Sasa hivi tunasikia corona ikiongelewa kwa sababu tu Magufuli hayupo, tunaambiwa tupo wimbi la tatu lakini ni lini tulipita wimbi la pili ? Wanatuambia wimbi la pili lilituathiri zaidi lakini ni lini tuliambiwa athari zake.
Haijulikani hasa idadi ya wagonjwa waliopo Tanzania kwa sababu hatuna kampeni ya kupima watu kwa wingi na hatuna huo uwezo.
Wengi wanakimbilia kusema "long term impact" lakini ndio hao hao akipata mafua ananunua Antibiotics pharmacy anapona bila kuwaza long-term impact ya kitendo hicho, baadae anakuja kupata bacterial infection sugu anaondoka, wengine wanabugia panadol kila siku kichwa kikiuma kumbe anashida nyingine mwisho wa siku anakuta amechoma maini. Sarakasi zote za kupinga chanjo zimeletwa na utandawazi, hakuna kingine !
Tusikimbilie kujibu hoja kabla ya kutafakari kwa kina na kunwelewa mtoa hoja.
Binafsi namuunga mkono 100% Askofu Gwajima kwa sababu nimeielewa hoja yake ya msingi.
Kumbukeni, hata ile Tume ya Corona haikuleta majibu yoyote yatokanayo na watu kuhofia usalama wa chanjo.
Miongoni mwa mambo ya msingi waliyotakiwa kutueleza bayana ni na:-
(1) Chanjo hiyo ina madhara(side effect) gani kwa binadamu?
(2)Je, ukipata hiyo Chanjo huwezi kuambukiza au kuambukizwa Corona?
(3) Je, tangu Chanjo ianze kutolewa katika Nchi mbalimbali Duniani, ni Nchi ngapi mpaka sasa hazina Corona kabisa kutokana na Wananchi wake kuwa wamepata Chanjo?
Hayo ni machache tu, ingawa hata hayo machache hawakuweza kuyatafutia majibu.
Swali la msingi la Askofu Gwajima ni, kwa nini Corona inapigiwa debe sana wakati huu tofauti na wakati wa JPM?
Kuna nini nyuma ya pazia?
Tunataka majibu ya maswali hayo kwanza kabla ya kutulaghai kutumia Chanjo.
No zezeta tu anayeweza kupuuza kauli ya Gwanjima,kwani ni Nani anayejua long term side effects ya hizi chanjo!
Kwanini Serikali imejitoa kuwajibika ikiwa mtu atapata madhara! Kama zipo salama?
Watu weusi unafikili tuna akili, watu hawataki hata kujifunza kwa historia tu. Kitu hakijafanyiwa clinical trials za kutosha kujua long term effects lakini mi mtu inashadadia tu
Yeye ametoa hoja kwa nini uchanjwe then ufate taratibu ambazo mtu asiechanjwa anafata? Inakuwaje upewe chanjo ya Ukimwi then unaambiwa utumie condom kunyanduana??
No zezeta tu anayeweza kupuuza kauli ya Gwanjima,kwani ni Nani anayejua long term side effects ya hizi chanjo!
Kwanini Serikali imejitoa kuwajibika ikiwa mtu atapata madhara! Kama zipo salama?
Maandiko ya kisayansi yapo yanayoelezea jinsi chanjo inavyofanya kazi na composition yake na hata majaribio yaliyofanyika kuweza kujiridhisha ufanisi wake....serikali kupitia vyombo vyake husika ndio ina uwezo wa kuhakiki kilichomo...wewe unafahamu chemical composition ya coca cola ?
Unafahamu hasa kiasi cha electromagnetic waves zinazotoka kwenye simu yako kama ni salama ?
Serikali ndio inayofanya kazi ya kujua kipi ni salama kwa wananchi wake, kama serikali na vyombo husika vikisema kitu ni salama, serikali za nchi nyingine zikasema ni salama, taasisi nyingine za kimataifa zikasema ni salama then who are you kupinga bila evidence ? Kama ukisema kisitumike basi weka ushahidi katika mfumo wa andiko la kisayansi ambapo wanasayansi wengine watajifunza kutoka kwako ama kukukosoa.
Acha upuuzi ww! Tangu lini coca cola imetiliwa shaka! Ndio ninyi mnao kariri na kupita madarasa na kupoteza kitu cha maana kupita vyote kwa msomi...kuhoji/kudadisi!
Ingetokea sintofahamu hii kwenye coca cola tusingeendelea kuitumia!
Unajifanya unaamini sayansi kuliko hata sayansi yenyewe! Unayaelezeaje matukio ya wadungwaji kuganda damu na wengine hata kufa! Unaelezeaje waliochanjwa full dose kuambukizwa na kulazwa tena hospitalini na wengine kufa pamoja kuwa walichanjwa! Au hata hufuatilii yanayojili UK na keingineko ww msomi uchwara!?
Au hufuatilii ukweli kwamba hao virusi wa mafua hujibadilibadili na hivyo hata ukidungwa vichanjo uchwara hivyo vya majaribio vyenye vina7 baada ya muda mfupi virusi vitabadirisha na kuvaa suti nyingine na kuja kusababisha maafa kwenu mliochanjwa kana kwamba hamkuchanjwa!
Ww kama umelishwa mlungula kula kimya kimya ila usituletee hadaa zako hapa pungu1!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.