Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Kupata kichekesho kama hiki bonyeza #1058
Bwashee umechanganya madesa!Wote wana kesi za kujibu. Ushahidi na uhalisia wa kesi ndiyo utakaotambua haki ya kila moja. Ni kosa kuingilia uhuru wa mahakama
Mwenzangu? Nani kakupa hayo mamlaka ya kuniamulia?Wewe unaona kichekesho mwenzako yuko serious.
Sompigii kampeni na wala siko upande wa Gwajima.
I really don't love this person
Tatizo una threads nyingi Eroo mpaka najichanganya😀Bwashee umechanganya madesa!
Nikuelemishe kidogo tuMtumishi wa Bwana
Nataka ujuwe sipingani na wewe wala sipo kinyume na wewe, nataka nieleze mawazo yangu kuhusu somo lako la leo kuhusu kuchanjwa.
Leo umehubiri kuhusu chanjo kwamba waumini wako wasikubali kuchanjwa, napenda nikufungue macho kidogo uweze kuona,
Nilipozaliwa nikiwa mtoto mchanga kutoka tumboni mwa mama yangu nilichanjwa chanjo tano siku ile ile nazaliwa,na kwa taarifa yako hao wazungu unaowapinga kwa nguvu zote wangependa kuniangamiza wangenimalizia kwenye zile chanjo tano nilizopokea wakati nazaliwa.
Napenda nikusaidie upate kuelewa,dunia hii tunayoishi inaongozwa na watu wachache sana wala hawafiki kumi
Napenda nikufahamishe kabla corona haijaingia kuna watu walikuwa na taarifa,nimekueleza hilo ili ujue nini kinaendelea duniani
chanjo ya corona inatoka kwa wazungu na wao wameonyesha mfano kuanza kuchanjwa wao.
Nataka ujue kama wazungu wana nia mbaya na sisi wangeweza kutumia njia yoyote ile kutumaliza,
Kwa taarifa tupo mikononi mwao na sisi kama waafrica hatuna chance ya kusimama mbele yao kwa kuwa hatuna jambo lolote tulilofanya katika kuchangia maendeleao ya dunia tangu tunajitawala mpaka muda huu
Mtumishi naomba ujuwe kuna dunia,mwili na roho,haya ni mambo matatu yanayotofautiana sana na sijakusikia ukigusia,huu mwili ukipata chanjo hauwezi kuathiri roho kwa sababu kila kitu kinajitegema,kumbuka ukifa roho inatoka ndani ya mwili na huo mwili unabaki kurudishwa mavumbini
Shirika la Afya Duniani linasimami chanjo dunia nzima unaingilia kati na kuanza kuwanyima washarika wako wasichanjwe naona kuna hatari inakujia hapo mbele
Corona inabadilika kila siku vipi kikija kirusi ambacho waliochanjwa wanapona na ambao wamechanjwa wanakufa??
Utaficha wapi uso wako Mtumishi wa Bwana
Nikiwa kama mkristo aliyeokoka nakushauri ubiri ujumbe wa aina nyingine kwa sababu haya mambo ni magumu kidogo,kumbuka ni watumishi wangapi wa Mungu wamekufa kwa corona?
Labda urais wa kanisa lake.Habari!
Hili jambo nililisikia 2020 toka kwa waumini 2 wa Gwajima.
Mimi niko karibu na waumini kadhaa wa Askofu Gwajima ambapo kati yao 2 ninafanya nao kazi ofisi moja, idara moja. Na hao wote ni wachungaji wa kikundi ( Ministry pastors) wa kanisa la Ufufuo na Uzima.
Aliamini huenda angerithi mikoba ya Magufuli 2025 lakini Magufuli ametangulia mbele za haki.
Je, atasubiri mpaka 2030 pindi atakapomaliza Rais Samia Suluhu?
Hapana.
Hataweza kusubiri 2030 bali atajaribu karata yake ya bahati 2025.
Msitegemee 100% kuwa Gwajima atamuunga mkono Rais Samia Suluhu kwa sasa.
Gwajima mtu mwenye akili nyingi anaweza kuipiga ngome ya mama na ikapigika.
Ngoja tusubiri.
Hii ni tetesi hivyo naomba msiufute huu uzi, hauna dhamira ya uchochezi.
Ukachanjwe wewe aiseeGwajima ni CCM mwenzangu....
Ila....
Ni mtu mjinga sana.....ndio maana NCHI ZETU tukatenganisha DINI NA UTAWALA.....
Hawa watu wa IMANI KALI za DINI ukiwapa waendeshe IKULU basi ujue TUTAUISHI UJINGA NA UPUMBAVU.....
#TwendeniTukachanjwe
#KaziIendelee
#NchiKwanza
Haya ndicho ulichoona tuSawa tumejua una gari subiri mapovu [emoji23]
Mitazamo yote ya corona iliyotofauti na nyie mnaita upotoshaji, huko Yotube video za wataalamu mbalimbali zinafutwa Facebook pia post zao zinafutwa. Kwahivyo sishangai huku Tanzania Kumshambulia Gwajima kuwa ni mptoshaji.Hatutaki wote mchanjwe, kwanza hazitoshi.
Tunachotaka ni muache upotoshaji mkiongozwa na askofu wenu uchwara gwajifix
Ita kufa kama baada ya muda hujapotea kweli.Mbona hamuiti maghorofa yakachipuka kama uyoga?
Ulichoandika pale hata dogo anayejitambua wa darasa la 2 atakupiga chini tu.
It is a pity unaongea kama lumpenMods naomba msiunganishe hii thread naomba ibaki hapa hapa...tuanze sasa...
Nipo nadrive ila nimepaki kwanza pembeni niandike captions kidogo tu
Kwanza kabisa kuna mtu atauliza mbona tulichanjwa toka utotoni sasa kwanini tupinge hii Nikuelemishe kidogo tu
Umechanjwa chanjo utotoni sawa hata mm pia ...hivi unajua kwamba chanjo za covid za pfzer,modena na j&j zimetengenezwa tofauti na chanjo nyingine zitengenezwavyo hizo tatu zimetengenezwa na mrna technology ambayo inaingizwa kwenye cell,vinasaba dna pamoja na genetics ambavyo ni hatari ndo maana watu wanapinga......
Gwajima yupo sahihi kwa asilimia 100%
Gwajima kaongea fact tupu nakubaliana nae kabisa
Chanjo za MRNA kama pfzer,moderna na JJ hazifai ni hatari tupu
Chanjo zote ni emergency authorization na hazijathibitishwa
Zote zinahesabiwa kama majaribio tu na madhara ni juu yako wewe mtumiaji
Chanjo hizi za mrna ni uongo mwingi mnooo na hata uwezo wake wa kuzuia version mpya ya virus ni mdogo unazuia mno ile ya wimbi la mwanzo tu
Wanaokufa wamechoma mrna vaccine ni maelfu huko marekani lakini media za mabeberu hawatangazi japo kwa uchache mnooo
Gwajima kaongea fact kabisa hata hao wanaojimwambafy wamechoma na wamegeuka pro chanjo kama yule wa ndege za tanapa kukodi yule tunamjua anavyoweza kutumika kwa vipande vya fedha.....
Gwajima nakuunga mkono sikatai chanjo ila hizi za mrna hapana aisee bora hata zile za wachina na wacuba ila sio huo utupolo wa mrna vaccines wa kuchoma mkachome ila mjue mrna zinagusa mpaka cell, dna,aka vinasaba na genetics hapo ndo noma
Halaf hawatengenezi kwa njia kama zilivyo za surua,polio etc....wao wanatengeneza kwa liteknolojia la mrna ambalo halijawahi kutengeza chanjo yoyote ile hiyo kitu ni hatari mno nenda hata google mkasome....
Mwishoni big up gwajima........umejitahidi sana broo....umeukataa huu ushetani
Ngoja niendelee na safari....tukutane baadae
Mods naomba msiunganishe hii thread naomba ibaki hapa hapa...tuanze sasa...
Nipo nadrive ila nimepaki kwanza pembeni niandike captions kidogo tu
Kwanza kabisa kuna mtu atauliza mbona tulichanjwa toka utotoni sasa kwanini tupinge hii Nikuelemishe kidogo tu
Umechanjwa chanjo utotoni sawa hata mm pia ...hivi unajua kwamba chanjo za covid za pfzer,modena na j&j zimetengenezwa tofauti na chanjo nyingine zitengenezwavyo hizo tatu zimetengenezwa na mrna technology ambayo inaingizwa kwenye cell,vinasaba dna pamoja na genetics ambavyo ni hatari ndo maana watu wanapinga......
Gwajima yupo sahihi kwa asilimia 100%
Gwajima kaongea fact tupu nakubaliana nae kabisa
Chanjo za MRNA kama pfzer,moderna na JJ hazifai ni hatari tupu
Chanjo zote ni emergency authorization na hazijathibitishwa
Zote zinahesabiwa kama majaribio tu na madhara ni juu yako wewe mtumiaji
Chanjo hizi za mrna ni uongo mwingi mnooo na hata uwezo wake wa kuzuia version mpya ya virus ni mdogo unazuia mno ile ya wimbi la mwanzo tu
Wanaokufa wamechoma mrna vaccine ni maelfu huko marekani lakini media za mabeberu hawatangazi japo kwa uchache mnooo
Gwajima kaongea fact kabisa hata hao wanaojimwambafy wamechoma na wamegeuka pro chanjo kama yule wa ndege za tanapa kukodi yule tunamjua anavyoweza kutumika kwa vipande vya fedha.....
Gwajima nakuunga mkono sikatai chanjo ila hizi za mrna hapana aisee bora hata zile za wachina na wacuba ila sio huo utupolo wa mrna vaccines wa kuchoma mkachome ila mjue mrna zinagusa mpaka cell, dna,aka vinasaba na genetics hapo ndo noma
Halaf hawatengenezi kwa njia kama zilivyo za surua,polio etc....wao wanatengeneza kwa liteknolojia la mrna ambalo halijawahi kutengeza chanjo yoyote ile hiyo kitu ni hatari mno nenda hata google mkasome....
Mwishoni big up gwajima........umejitahidi sana broo....umeukataa huu ushetani
Ngoja niendelee na safari....tukutane baadae
Ajabu zaidi kulikuwa na tume ya Corona iliyoteuliwa na Mwendazake wakiwa na Samia,mbona iliwekwa pembeni kabla ya kuleta riport? Badala yake ikateuliwa tume ya waganga njaa waliocopy na kupaste riport za nchi zingine tu.Tusikimbilie kujibu hoja kabla ya kutafakari kwa kina na kunwelewa mtoa hoja.
Binafsi namuunga mkono 100% Askofu Gwajima kwa sababu nimeielewa hoja yake ya msingi.
Kumbukeni, hata ile Tume ya Corona haikuleta majibu yoyote yatokanayo na watu kuhofia usalama wa chanjo.
Miongoni mwa mambo ya msingi waliyotakiwa kutueleza bayana ni na:-
(1) Chanjo hiyo ina madhara(side effect) gani kwa binadamu?
(2)Je, ukipata hiyo Chanjo huwezi kuambukiza au kuambukizwa Corona?
(3) Je, tangu Chanjo ianze kutolewa katika Nchi mbalimbali Duniani, ni Nchi ngapi mpaka sasa hazina Corona kabisa kutokana na Wananchi wake kuwa wamepata Chanjo?
Hayo ni machache tu, ingawa hata hayo machache hawakuweza kuyatafutia majibu.
Swali la msingi la Askofu Gwajima ni, kwa nini Corona inapigiwa debe sana wakati huu tofauti na wakati wa JPM?
Kuna nini nyuma ya pazia?
Tunataka majibu ya maswali hayo kwanza kabla ya kutulaghai kutumia Chanjo.