#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

Wewe unaona kichekesho mwenzako yuko serious.
Sompigii kampeni na wala siko upande wa Gwajima.
I really don't love this person
Mwenzangu? Nani kakupa hayo mamlaka ya kuniamulia?

Wewe ndio upo serious kuliko hata huyo Gwajima mwenyewe,

Ila kwa akili ya kawaida tu hakuna ukweli wowote hapo bali wewe mdio umeamua tu kuanzisha thd inayomuhusu Gwajima coz now anatrend kwenye issue ya covid-19 vaccine.
 
Mods naomba msiunganishe hii thread naomba ibaki hapa hapa...tuanze sasa...

Nipo nadrive ila nimepaki kwanza pembeni niandike captions kidogo tu

Kwanza kabisa kuna mtu atauliza mbona tulichanjwa toka utotoni sasa kwanini tupinge hii Nikuelemishe kidogo tu
Umechanjwa chanjo utotoni sawa hata mm pia ...hivi unajua kwamba chanjo za covid za pfzer,modena na j&j zimetengenezwa tofauti na chanjo nyingine zitengenezwavyo hizo tatu zimetengenezwa na mrna technology ambayo inaingizwa kwenye cell,vinasaba dna pamoja na genetics ambavyo ni hatari ndo maana watu wanapinga......

Gwajima yupo sahihi kwa asilimia 100%

Gwajima kaongea fact tupu nakubaliana nae kabisa

Chanjo za MRNA kama pfzer,moderna na JJ hazifai ni hatari tupu

Chanjo zote ni emergency authorization na hazijathibitishwa

Zote zinahesabiwa kama majaribio tu na madhara ni juu yako wewe mtumiaji

Chanjo hizi za mrna ni uongo mwingi mnooo na hata uwezo wake wa kuzuia version mpya ya virus ni mdogo unazuia mno ile ya wimbi la mwanzo tu

Wanaokufa wamechoma mrna vaccine ni maelfu huko marekani lakini media za mabeberu hawatangazi japo kwa uchache mnooo

Gwajima kaongea fact kabisa hata hao wanaojimwambafy wamechoma na wamegeuka pro chanjo kama yule wa ndege za tanapa kukodi yule tunamjua anavyoweza kutumika kwa vipande vya fedha.....

Gwajima nakuunga mkono sikatai chanjo ila hizi za mrna hapana aisee bora hata zile za wachina na wacuba ila sio huo utupolo wa mrna vaccines wa kuchoma mkachome ila mjue mrna zinagusa mpaka cell, dna,aka vinasaba na genetics hapo ndo noma

Halaf hawatengenezi kwa njia kama zilivyo za surua,polio etc....wao wanatengeneza kwa liteknolojia la mrna ambalo halijawahi kutengeza chanjo yoyote ile hiyo kitu ni hatari mno nenda hata google mkasome....

Mwishoni big up gwajima........umejitahidi sana broo....umeukataa huu ushetani

Ngoja niendelee na safari....tukutane baadae
 
Hahahaaaaq nchi nzima wameshindwa kupangua hoja za gwaji zaidi ya matusi na kejeli
 
Mtumishi wa Bwana

Nataka ujuwe sipingani na wewe wala sipo kinyume na wewe, nataka nieleze mawazo yangu kuhusu somo lako la leo kuhusu kuchanjwa.

Leo umehubiri kuhusu chanjo kwamba waumini wako wasikubali kuchanjwa, napenda nikufungue macho kidogo uweze kuona,


Nilipozaliwa nikiwa mtoto mchanga kutoka tumboni mwa mama yangu nilichanjwa chanjo tano siku ile ile nazaliwa,na kwa taarifa yako hao wazungu unaowapinga kwa nguvu zote wangependa kuniangamiza wangenimalizia kwenye zile chanjo tano nilizopokea wakati nazaliwa.

Napenda nikusaidie upate kuelewa,dunia hii tunayoishi inaongozwa na watu wachache sana wala hawafiki kumi


Napenda nikufahamishe kabla corona haijaingia kuna watu walikuwa na taarifa,nimekueleza hilo ili ujue nini kinaendelea duniani
chanjo ya corona inatoka kwa wazungu na wao wameonyesha mfano kuanza kuchanjwa wao.

Nataka ujue kama wazungu wana nia mbaya na sisi wangeweza kutumia njia yoyote ile kutumaliza,

Kwa taarifa tupo mikononi mwao na sisi kama waafrica hatuna chance ya kusimama mbele yao kwa kuwa hatuna jambo lolote tulilofanya katika kuchangia maendeleao ya dunia tangu tunajitawala mpaka muda huu

Mtumishi naomba ujuwe kuna dunia,mwili na roho,haya ni mambo matatu yanayotofautiana sana na sijakusikia ukigusia,huu mwili ukipata chanjo hauwezi kuathiri roho kwa sababu kila kitu kinajitegema,kumbuka ukifa roho inatoka ndani ya mwili na huo mwili unabaki kurudishwa mavumbini

Shirika la Afya Duniani linasimami chanjo dunia nzima unaingilia kati na kuanza kuwanyima washarika wako wasichanjwe naona kuna hatari inakujia hapo mbele

Corona inabadilika kila siku vipi kikija kirusi ambacho waliochanjwa wanapona na ambao wamechanjwa wanakufa??
Utaficha wapi uso wako Mtumishi wa Bwana

Nikiwa kama mkristo aliyeokoka nakushauri ubiri ujumbe wa aina nyingine kwa sababu haya mambo ni magumu kidogo,kumbuka ni watumishi wangapi wa Mungu wamekufa kwa corona?

Nikuelemishe kidogo tu
Umechanjwa chanjo sawa...hivi unajua kwamba chanjo za covid za pfzer,modena na j&j zimetengenezwa tofauti na chanjo nyingine zitengenezwavyo hizo tatu zimetengenezwa na mrna technology ambayo inaingizwa kwenye cell,vinasaba dna pamoja na genetics ambavyo ni hatari ndo maana watu wanapinga......
 
Habari!
Hili jambo nililisikia 2020 toka kwa waumini 2 wa Gwajima.
Mimi niko karibu na waumini kadhaa wa Askofu Gwajima ambapo kati yao 2 ninafanya nao kazi ofisi moja, idara moja. Na hao wote ni wachungaji wa kikundi ( Ministry pastors) wa kanisa la Ufufuo na Uzima.
Aliamini huenda angerithi mikoba ya Magufuli 2025 lakini Magufuli ametangulia mbele za haki.
Je, atasubiri mpaka 2030 pindi atakapomaliza Rais Samia Suluhu?
Hapana.
Hataweza kusubiri 2030 bali atajaribu karata yake ya bahati 2025.
Msitegemee 100% kuwa Gwajima atamuunga mkono Rais Samia Suluhu kwa sasa.
Gwajima mtu mwenye akili nyingi anaweza kuipiga ngome ya mama na ikapigika.
Ngoja tusubiri.
Hii ni tetesi hivyo naomba msiufute huu uzi, hauna dhamira ya uchochezi.
Labda urais wa kanisa lake.
 
Gwajima ni CCM mwenzangu....

Ila....

Ni mtu mjinga sana.....ndio maana NCHI ZETU tukatenganisha DINI NA UTAWALA.....

Hawa watu wa IMANI KALI za DINI ukiwapa waendeshe IKULU basi ujue TUTAUISHI UJINGA NA UPUMBAVU.....

#TwendeniTukachanjwe
#KaziIendelee
#NchiKwanza
Ukachanjwe wewe aisee
 
Good, hii ndio ccm niijuayo, mijadala inaruhusiwa

Kuna kukubali kutokubaliana pia.
 
Mimi na ukoo wangu hatuchanjwi ng'ooo, period.
 
Hatutaki wote mchanjwe, kwanza hazitoshi.
Tunachotaka ni muache upotoshaji mkiongozwa na askofu wenu uchwara gwajifix
Mitazamo yote ya corona iliyotofauti na nyie mnaita upotoshaji, huko Yotube video za wataalamu mbalimbali zinafutwa Facebook pia post zao zinafutwa. Kwahivyo sishangai huku Tanzania Kumshambulia Gwajima kuwa ni mptoshaji.
 
Mbona hamuiti maghorofa yakachipuka kama uyoga?

Ulichoandika pale hata dogo anayejitambua wa darasa la 2 atakupiga chini tu.
Ita kufa kama baada ya muda hujapotea kweli.
 
Mods naomba msiunganishe hii thread naomba ibaki hapa hapa...tuanze sasa...

Nipo nadrive ila nimepaki kwanza pembeni niandike captions kidogo tu

Kwanza kabisa kuna mtu atauliza mbona tulichanjwa toka utotoni sasa kwanini tupinge hii Nikuelemishe kidogo tu
Umechanjwa chanjo utotoni sawa hata mm pia ...hivi unajua kwamba chanjo za covid za pfzer,modena na j&j zimetengenezwa tofauti na chanjo nyingine zitengenezwavyo hizo tatu zimetengenezwa na mrna technology ambayo inaingizwa kwenye cell,vinasaba dna pamoja na genetics ambavyo ni hatari ndo maana watu wanapinga......

Gwajima yupo sahihi kwa asilimia 100%

Gwajima kaongea fact tupu nakubaliana nae kabisa

Chanjo za MRNA kama pfzer,moderna na JJ hazifai ni hatari tupu

Chanjo zote ni emergency authorization na hazijathibitishwa

Zote zinahesabiwa kama majaribio tu na madhara ni juu yako wewe mtumiaji

Chanjo hizi za mrna ni uongo mwingi mnooo na hata uwezo wake wa kuzuia version mpya ya virus ni mdogo unazuia mno ile ya wimbi la mwanzo tu

Wanaokufa wamechoma mrna vaccine ni maelfu huko marekani lakini media za mabeberu hawatangazi japo kwa uchache mnooo

Gwajima kaongea fact kabisa hata hao wanaojimwambafy wamechoma na wamegeuka pro chanjo kama yule wa ndege za tanapa kukodi yule tunamjua anavyoweza kutumika kwa vipande vya fedha.....

Gwajima nakuunga mkono sikatai chanjo ila hizi za mrna hapana aisee bora hata zile za wachina na wacuba ila sio huo utupolo wa mrna vaccines wa kuchoma mkachome ila mjue mrna zinagusa mpaka cell, dna,aka vinasaba na genetics hapo ndo noma

Halaf hawatengenezi kwa njia kama zilivyo za surua,polio etc....wao wanatengeneza kwa liteknolojia la mrna ambalo halijawahi kutengeza chanjo yoyote ile hiyo kitu ni hatari mno nenda hata google mkasome....

Mwishoni big up gwajima........umejitahidi sana broo....umeukataa huu ushetani

Ngoja niendelee na safari....tukutane baadae
It is a pity unaongea kama lumpen
 
Ulichoandika hapa ni UONGO MTUPU! 99% ya wanaokufa ni wale ambao hawajapata chanjo ná 97% ya wanaolazwa ni wale ambao pia hawajapata chanjo.

Wanaokufa wamechoma mrna vaccine ni maelfu huko marekani lakini media za mabeberu hawatangazi japo kwa uchache mnooo

Mods naomba msiunganishe hii thread naomba ibaki hapa hapa...tuanze sasa...


Nipo nadrive ila nimepaki kwanza pembeni niandike captions kidogo tu

Kwanza kabisa kuna mtu atauliza mbona tulichanjwa toka utotoni sasa kwanini tupinge hii Nikuelemishe kidogo tu
Umechanjwa chanjo utotoni sawa hata mm pia ...hivi unajua kwamba chanjo za covid za pfzer,modena na j&j zimetengenezwa tofauti na chanjo nyingine zitengenezwavyo hizo tatu zimetengenezwa na mrna technology ambayo inaingizwa kwenye cell,vinasaba dna pamoja na genetics ambavyo ni hatari ndo maana watu wanapinga......

Gwajima yupo sahihi kwa asilimia 100%

Gwajima kaongea fact tupu nakubaliana nae kabisa

Chanjo za MRNA kama pfzer,moderna na JJ hazifai ni hatari tupu

Chanjo zote ni emergency authorization na hazijathibitishwa

Zote zinahesabiwa kama majaribio tu na madhara ni juu yako wewe mtumiaji

Chanjo hizi za mrna ni uongo mwingi mnooo na hata uwezo wake wa kuzuia version mpya ya virus ni mdogo unazuia mno ile ya wimbi la mwanzo tu

Wanaokufa wamechoma mrna vaccine ni maelfu huko marekani lakini media za mabeberu hawatangazi japo kwa uchache mnooo

Gwajima kaongea fact kabisa hata hao wanaojimwambafy wamechoma na wamegeuka pro chanjo kama yule wa ndege za tanapa kukodi yule tunamjua anavyoweza kutumika kwa vipande vya fedha.....

Gwajima nakuunga mkono sikatai chanjo ila hizi za mrna hapana aisee bora hata zile za wachina na wacuba ila sio huo utupolo wa mrna vaccines wa kuchoma mkachome ila mjue mrna zinagusa mpaka cell, dna,aka vinasaba na genetics hapo ndo noma

Halaf hawatengenezi kwa njia kama zilivyo za surua,polio etc....wao wanatengeneza kwa liteknolojia la mrna ambalo halijawahi kutengeza chanjo yoyote ile hiyo kitu ni hatari mno nenda hata google mkasome....

Mwishoni big up gwajima........umejitahidi sana broo....umeukataa huu ushetani

Ngoja niendelee na safari....tukutane baadae
 
Tusikimbilie kujibu hoja kabla ya kutafakari kwa kina na kunwelewa mtoa hoja.
Binafsi namuunga mkono 100% Askofu Gwajima kwa sababu nimeielewa hoja yake ya msingi.
Kumbukeni, hata ile Tume ya Corona haikuleta majibu yoyote yatokanayo na watu kuhofia usalama wa chanjo.
Miongoni mwa mambo ya msingi waliyotakiwa kutueleza bayana ni na:-
(1) Chanjo hiyo ina madhara(side effect) gani kwa binadamu?
(2)Je, ukipata hiyo Chanjo huwezi kuambukiza au kuambukizwa Corona?
(3) Je, tangu Chanjo ianze kutolewa katika Nchi mbalimbali Duniani, ni Nchi ngapi mpaka sasa hazina Corona kabisa kutokana na Wananchi wake kuwa wamepata Chanjo?
Hayo ni machache tu, ingawa hata hayo machache hawakuweza kuyatafutia majibu.
Swali la msingi la Askofu Gwajima ni, kwa nini Corona inapigiwa debe sana wakati huu tofauti na wakati wa JPM?
Kuna nini nyuma ya pazia?
Tunataka majibu ya maswali hayo kwanza kabla ya kutulaghai kutumia Chanjo.
Ajabu zaidi kulikuwa na tume ya Corona iliyoteuliwa na Mwendazake wakiwa na Samia,mbona iliwekwa pembeni kabla ya kuleta riport? Badala yake ikateuliwa tume ya waganga njaa waliocopy na kupaste riport za nchi zingine tu.
 
Back
Top Bottom