#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

Kama hadi leo bado kuna watu kama wewe ambao wanaamini kila anachosema Antonio Faucci,basi hao ni walking dead bodies.

Faucci huyuhuyu aliyedanganya kwenye mambo mengi sana ambayo hadi sasa yanadhuru na kuua watu wengi hasa waafrika bado unamwamini kwenye suala hili tena....

Tatizo ni kwamba,watu wengi wanajiona wanajua sana kumbe wanachokijua ni upuuzi tu....

Narudia:Kazi ya propaganda ni kumfanya mtu mwenye akili timamu aamini kile anachoambiwa na mwingine zaidi ya kile anachokiona yeye mwenyewe.

Aliyedanganya kwenye HIV/AIDS bado anaendelea kuaminiwa kwenye hili la corona!!! bado watu wako nyuma sana kiuelewa ingawa wao wanajiona wanajua.....

Swali:Taja dalili MOJA tu ya covid19 ambayo ipo kwenye covid19 pekee na hauwezi kuikuta kwenye Seasonal Influenza.Ukishindwa kujibu nakuruhusu ukaulize hata kwa daktari yeyote unayemwamini.
 
Kama ni survival of the fittest. It's OK. Hata kabla ya hospital Kuja kuna watu waliishi miaka mingi pia. Ila umri wa kuishi imeongezeka.

South Africa life expectancy imeshuka below 60 years kwa sababu ya Cov 19.
 
very poor argument!
 
Unaandika bila kuweka ushahidi wa kuthibitisha ulichoandika. Fauci alidanganya nini ná hao Waafrika walikufa katika nchi zipi na nini kiliwaua?

fauci angekuwa hana CREDIBILITY NÁ REPUTATION Biden asingethubutu kumuweka kama Advisor wake katika COVID-19.

Wapumbavu kama wewe hamjui chochote vyanzo vyenu vya habari they are not credible mnaokota okota udaku kila mnauona mtandaoni na kuamini kama ni kweli.

Eti FAUCI kaua Waafrika wengi ná bado Biden amuone anastahili kuwa advisor wake kuliko mmarekani mwingine yoyote yule kwenye ugonjwa wa COVID-19.
😂😂😂😂😂😂

Weka ushahidi hapa au ujinga ná uzushi wako peleka kwingine siyo humu.

Kama hadi leo bado kuna watu kama wewe ambao wanaamini kila anachosema Antonio Faucci,basi hao ni walking dead bodies.
Faucci huyuhuyu aliyedanganya kwenye mambo mengi sana ambayo hadi sasa yanadhuru na kuua watu wengi hasa waafrika bado unamwamini kwenye suala hili tena...
 
Kama ni survival of the fittest. It's OK. Hata kabla ya hospital Kuja kuna watu waliishi miaka mingi pia. Ila umri wa kuishi imeongezeka.

South Africa life expectancy imeshuka below 60 years kwa sababu ya Cov 19.
Asante kwa kulitambua hilo mkuu, kwahiyo ile kauli yako ya kusema kwamba watu wakachanjwe ama laa watafukiwa chini futi sita, sio sahihi saaana....Nikiwa na maana hata aliyechanjwa anaweza kufikiwa kwasababu yoyote ile.
 
Here’s Why Vaccinated People Still Need to Wear a Mask

The new vaccines will probably prevent you from getting sick with Covid. No one knows yet whether they will keep you from spreading the virus to others — but that information is coming.

Scientists worry that if vaccinated people are silent spreaders of the virus, they may keep it circulating in their communities, putting unvaccinated people at risk.
Scientists worry that if vaccinated people are silent spreaders of the virus, they may keep it circulating in their communities, putting unvaccinated people at risk.Credit...Max Whittaker for The New York Times

Updated July 21, 2021
The new Covid-19 vaccines from Pfizer and Moderna seem to be remarkably good at preventing serious illness. But it’s unclear how well they will curb the spread of the coronavirus.

That’s because the Pfizer and Moderna trials tracked only how many vaccinated people became sick with Covid-19. That leaves open the possibility that some vaccinated people get infected without developing symptoms, and could then silently transmit the virus — especially if they come in close contact with others or stop wearing masks.

If vaccinated people are silent spreaders of the virus, they may keep it circulating in their communities, putting unvaccinated people at risk.

“A lot of people are thinking that once they get vaccinated, they’re not going to have to wear masks anymore,” said Michal Tal, an immunologist at Stanford University. “It’s really going to be critical for them to know if they have to keep wearing masks, because they could still be contagious.”
very poor argument!
 
Mm naomba police wawe wa Mfano kuchanjwa wajeshi na usalama waache maana police hata wakibaki wachache haina shida maana wabambikzia watu kesi
 
Namkubali sana mtu huyu kama JPM kuhusu Uviko


Wanaompinga Gwajima mbina hawaji na majibu ya hoja zake??

Wanapayuka tu na vitisho...

Unajua kwanini?? Jibu ni COVAX

don't dare say its free
Can you imagine this[emoji1313][emoji1313][emoji1313]View attachment 1870229
 
Wewe huna uwezo wa kitaaluma na wa kiakili wa kujadiliana na Deception

Yule ni injini kubwa ya scania hachezi na watoto wadogo wenye maarifa machache.

Wewe kajadiliane na wale makahaba wa kula tunda la masihara. Huko ndipo penye hadhi yako.
 
huyu askofu amesema ukweli hajakubali kununuliwa na mataifa maovu na kuacha watanzania tudhulike na sumu za mabeberu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…