#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

1. Mwinyi mzee wetu. Huchomi chanjo?

2. Kikwete huchomi chanjo?

Anyway.... Kachomeni chanjo. Na mchome waziwazi watu wasiseme mnaiigiza. Tumeona watu wakikosoa uchomaji wa Rais Samia..mi naamini alichoma ila walitumia sindano ambayo haiumizi au walimchoma ganzi kwanza.

Maana mpaka amemaliza kuchomwa alikuwa hajui ikabidi aambiwe tayari bila shaka. Jinsi alivyo ngangari.

Ni akina nani wapo nyuma ya Gwajima? Gwajima ana watu. Niamini mimi ana watu ambao wanajua anafanya nini.

Mimi huwa sikubaliani na Gwajima katika mambo yake mengi toka kipindi ameanza jihusisha na siasa zake za conflict n.k

Lakini ni nini anachokifahamu vizuri ila hakisemwi na watu wengine? Mi nashauri serikali iwateua mabalozi wa chanjo wawaelezee watanzania umuhimu wa chanjo.
 
1. Mwinyi mzee wetu. Huchomi chanjo?

2. Kikwete huchomi chanjo?

Anyway.... Kachomeni chanjo. Na mchome waziwazi watu wasiseme mnaiigiza. Tumeona watu wakikosoa uchomaji wa Rais Samia..mi naamini alichoma ila walitumia sindano ambayo haiumizi au walimchoma ganzi kwanza.

Maana mpaka amemaliza kuchomwa alikuwa hajui ikabidi aambiwe tayari bila shaka. Jinsi alivyo ngangari.

Ni akina nani wapo nyuma ya Gwajima? Gwajima ana watu. Niamini mimi ana watu ambao wanajua anafanya nini.

Mimi huwa sikubaliani na Gwajima katika mambo yake mengi toka kipindi ameanza jihusisha na siasa zake za conflict n.k

Lakini ni nini anachokifahamu vizuri ila hakisemwi na watu wengine? Mi nashauri serikali iwateua mabalozi wa chanjo wawaelezee watanzania umuhimu wa chanjo.
Mi nadhani hao wote uliowataja akiwemo Samia mwenyewe walishachanjwa tangu zamani Kama wanaziamini chanjo hizi wasingesubiri hadi leo.

Alichokifanya Samia siku ile ilikuwa "demonstration" Kama wanavyozindua ujenzi wa majengo kwa kukata utepe.

Angesema ameshachanjwa asingeeleweka kirahisi Kama Rais. Walikosea kumuaandaa tu ndiomaana ikawa vile
 
Mi nadhani hao wote uliowataja akiwemo Samia mwenyewe walishachanjwa tangu zamani Kama wanaziamini chanjo hizi wasingesubiri hadi leo.

Alichokifanya Samia siku ile ilikuwa "demonstration" Kama wanavyozindua ujenzi wa majengo kwa kukata utepe.

Angesema ameshachanjwa asingeeleweka kirahisi Kama Rais. Walikosea kumuaandaa tu ndiomaana ikawa vile
Uko sahihi kabisa
 
1. Mwinyi mzee wetu. Huchomi chanjo?

2. Kikwete huchomi chanjo?

Anyway.... Kachomeni chanjo. Na mchome waziwazi watu wasiseme mnaiigiza. Tumeona watu wakikosoa uchomaji wa Rais Samia..mi naamini alichoma ila walitumia sindano ambayo haiumizi au walimchoma ganzi kwanza.

Maana mpaka amemaliza kuchomwa alikuwa hajui ikabidi aambiwe tayari bila shaka. Jinsi alivyo ngangari.

Ni akina nani wapo nyuma ya Gwajima? Gwajima ana watu. Niamini mimi ana watu ambao wanajua anafanya nini.

Mimi huwa sikubaliani na Gwajima katika mambo yake mengi toka kipindi ameanza jihusisha na siasa zake za conflict n.k

Lakini ni nini anachokifahamu vizuri ila hakisemwi na watu wengine? Mi nashauri serikali iwateua mabalozi wa chanjo wawaelezee watanzania umuhimu wa chanjo.
Hata mimi sijachoma, lakini nikiihitaji nitachoma sina shida. Ila huyo mhubiri anatumia vibaya sehemu yake kwa kulaghai wasikilizaji wake. Mimi ni Mkatoliki, lakini padri au askofu wangu akihubiri pumba siwezi kukaa na kuendelea kumsikiliza. Kila mahubiri lazima niyachuje na kuyapima kama yanaendana na masomo ya hiyo siku na kama ni mifano inayotolewa je inaendana? Lakini kuhubiri mambo ambayo ni unrelated na bila justification huwa naona ni wastage of time. Wahubiri wengi wanajificha kwenye Neno la Mungu, lakini wanachohubiri ni off-point na out of place.
 
Gwajima kasemea watu wengi Sana hata wataalamu wa afya,maana haijawahi patikana chanjo ndani ya mwaka mmoja.

Chanjo ambayo hata aliyechanjwa haiamini.Tangu rais achanjwe anaendelea kuvaa barakoa, Sasa chanjo ya Nini?
 
Kikwete yuko London kwenye mkutano wa Global education, na mama ndalichako haiwezekani ameruhusiwa kuingia UK bila kuwa na chanjo. Huyu mzee atakuwa aliifuata chanjo Marekani ya pfizer au moderna.
 
1. Mwinyi mzee wetu. Huchomi chanjo?

2. Kikwete huchomi chanjo?

Anyway.... Kachomeni chanjo. Na mchome waziwazi watu wasiseme mnaiigiza. Tumeona watu wakikosoa uchomaji wa Rais Samia..mi naamini alichoma ila walitumia sindano ambayo haiumizi au walimchoma ganzi kwanza.

Labda. Lakini tunajua kitu kimoja, kwamba, imeandikwa "....hamkosi kuzitambua hila (mikakati yake - shetani kwa kutumia agents wake) mbaya..."
Maana mpaka amemaliza kuchomwa alikuwa hajui ikabidi aambiwe tayari bila shaka. Jinsi alivyo ngangari.

Ni akina nani wapo nyuma ya Gwajima? Gwajima ana watu. Niamini mimi ana watu ambao wanajua anafanya nini.
Unaumiza kichwa chako bure. Inasikitisha hata humjui wala kum - acknowledge aliyekuumba na anayeendelea kukufanya uishi mpaka leo na kuandika. Naye huyo aliyekuumba anasema hivi; "....watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa..." HOSEA 4:6a

Aliye nyuma ya Gwajima ni mmoja tu. Mungu Muumba wa mbingu na nchi na vyote vilivyomo katika Yesu Kristo. Huyu ndiye anayempa jeuri Gwajima kumpinga shetani na kazi zake zote...!!
Mimi huwa sikubaliani na Gwajima katika mambo yake mengi toka kipindi ameanza jihusisha na siasa zake za conflict n.k

Mwisho utakubaliana naye tu. Yuko huko for a special mission. Na mission hiyo ndiyo taratibu inaanza kuwa wazi. Wengi hatukumwelewa lakini sasa tunaelewa kwanini aliamua kuingia kwenye active politics kwa namna ile...
Lakini ni nini anachokifahamu vizuri ila hakisemwi na watu wengine? Mi nashauri serikali iwateua mabalozi wa chanjo wawaelezee watanzania umuhimu wa chanjo.
Ni uwezo aliopewa na Mungu Yehova ktk Yesu Kristo ma kuona mambo beyond normal human being capability.. Hii ndiyo tofauti yake na wewe na wengine. Mimi naelewa na sishangai wala ku doubt kila asemacho..
 
Gwajima ndio kabaki kuwa taa ya Tanzania kipindi hiki... Wengine ni mamluki na madalali wa chanjo
 
Maana mpaka amemaliza kuchomwa alikuwa hajui ikabidi aambiwe tayari bila shaka. Jinsi alivyo ngangari
🤣

153126574_1057547231435223_1607671515739183962_n.jpg
 
Kila mahubiri lazima niyachuje na kuyapima kama yanaendana na masomo ya hiyo siku na kama ni mifano inayotolewa je inaendana? Lakini kuhubiri mambo ambayo ni unrelated na bila justification huwa naona ni wastage of time.
Msubiri kesho analeta dose nyingine
 
Gwajima ndio kabaki kuwa taa ya Tanzania kipindi hiki... Wengine ni mamluki na madalali wa chanjo
Naam anaangaza njia ya kwenda kuzimu. Hivi Huyo Gwajima ndiye huyu au mwingine?
Mkono wa baunsa1.png
Kama ndiye huyu, ingawa nakiri sina hakika, anaangaza kweli kweli!
 
Hata mimi sijachoma, lakini nikiihitaji nitachoma sina shida.
Vizuri kwa kuwa utatumia hiari yako kuchagua kati ya nzuri na mbaya. Ni hiari yako
Ila huyo mhubiri anatumia vibaya sehemu yake kwa kulaghai wasikilizaji wake.
Tangu lini giza likapatana na nuru? Nuru huangaza na giza huitii nuru. Wewe bado uko gizani, huwezi kuona kitu. Utakachoona kwa mtumishi huyu wa Mungu ni kile ambacho uono wako unakiona - ulaghai...!
Mimi ni Mkatoliki, lakini padri au askofu wangu akihubiri pumba siwezi kukaa na kuendelea kumsikiliza.
Bahati mbaya yeye sio mkatoliki kama ulivyo wewe. Yeye haabudu dini, anamwabudu Mungu aliye hai..!
Kila mahubiri lazima niyachuje na kuyapima kama yanaendana na masomo ya hiyo siku na kama ni mifano inayotolewa je inaendana? Lakini kuhubiri mambo ambayo ni unrelated na bila justification huwa naona ni wastage of time. Wahubiri wengi wanajificha kwenye Neno la Mungu, lakini wanachohubiri ni off-point na out of place.
1. Utayachuja mahubiri hayo kwa chujio gani? Unalo hilo chujio? Kumbuka, chujio la mahubiri yoyote ni Neno la Mungu (Biblia). Lakini kwa jinsi unavyo - argue tu hapa ni ushahidi tosha kuwa una upungufu wa Neno la Mungu ndani yako..!

2. Kama Rev. Bishop Josephat Gwajima anapotosha watu (anahubiri mambo "unrelated", yasiyo na justification ki - Biblia) kama ulivyosema mwenyewe hapo juu, hebu prove kuwa yuko wrong kwa wewe kuleta justification ya ki - Biblia - Neno la Mungu..!!
 
Ana watu wapi , tatizo la Gwajima kujifanya ni spy aliechangamka, leo utamuona Gwajima ana watu ,ila ogopa watu Kama Mzee wa upako, yule ni simba na mitandao wake upo intact, na mzee yupo kimia na kupiga injili , ila yule nawambieni na amini connection yake nje ya utumishi wa mungu ipo juu Sana,

Jiulize why Maghufuli alienda sali kakika kanisa lake tena kipindi Cha KWANZA mwanzoni ya utawala wake, ? Why 2015 wakati wa Lowasa alitamka wazi pale mlimani city kwamba Kuna kushindwa uchaguzi, lakini pia ni mwalim mzuri wa kareti aliwai dhibitisha mwenyewe


Mzee wa upako ni mtumishi wa Mungu , ila mengine mungu ndo anajua juu ya maisha yake, WENDA ni Mara 100 ya Gwajima nasema, Taifa Hili Lina mfumo mgum SANA,KATIBA NI SASA,
Ni wazo baya sana kuwachanja chanjo ya Corona askari wa majeshi yetu kwa sababu hatujui usalama wa hizo chanjo.

Baba Gwajima amesema anapinga kwa 100% vyombo vya dola kuchanjwa kwa sababu tunaweza kupoteza taifa. Askofu Gwajima amesema haya Kanisani kwake leo.

Askofu Gwajima amewataka wafuasi wake na wapiga kura wa jimbo la Kawe wakatae kabisa kuchanja kwa sababu watapata hasara kubwa sana maishani.

" Naikataa kabisa chanjo ya Corona " amesisitiza baba askofu.

Chanzo: Mtandao wa You tube!

======

Dar es Salaam. Wanasiasa, wananchi na viongozi wa dini wamemshukia Mbunge wa Kawe(CCM) ambaye pia ni Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima juu ya kauli yake kuwa daktari atakaye ‘shadadia’ suala la chanjo bila kufanya utafiti wa kina kujua madhara ya muda mrefu na mfupi atakufa.

Askofu Gwajima aliyasema hayo katika ibada ya Jumapili wakati akiwahubiria waumini wake huku akionyesha mashaka kuwa chanjo za Uingereza na Tanzania zinaweza kuwa hazina content sawa.

Kauli ya Askofu Gwajima imekuja ikiwa ni siku moja tangu Serikali ipokee msaada wa dozi 1,058,400 za chanjo ya corona zilizotolewa na nchi ya Marekani kupitia mpango wa Covax facility.

“Mmefanya uchambuzi wa kina kujua chemical content ya hiyo chanjo ni nini, mimi namtaka daktari atakayeshadadia nitakula naye meza moja utakufa daktari, utakufa utaona.”
Kufuatia maneno yake watu mbalimbali wametoa maoni yao kupitia kipande chake cha video kinachosambaa mitandaoni huku wengi wao wakionekana kukemea kauli hiyo.

Mbunge wa Bumbuli, Januari Makamba kupitia ukurasa wake wa Twitter aliandika “Kauli ya Askofu Gwajima kuhusu chanjo na dhamira ya Serikali kuleta chanjo nchini haikubaliki. Ni hatari kupotosha watu wanaotuamini kuhusu mambo ambayo hatuna utaalam nayo,”

“Mjadala kuhusu usalama wa chanjo ni sahihi lakini kiapo kwamba Serikali imeileta kuwadhuru watu si sahihi.” aliandika
Askofu Mkuu wa Kanisa la KKKT na Mwenyekiti wa Baraza la Maaskofu Tanzania (CCT), Dk Fredrick Shoo amehimiza wananchi kuendelea kujikinga na wimbi la tatu la corona na kusisitiza kuendelea na maombi ya kufunga na kutubu, ili kujinusuru na janga hilo.

“Nawaonya viongozi wa dini kuacha kuhusisha suala la chanjo ya Covid 19 na mpango wa shetani kwani huko ni kumjaribu Mungu,” alisema.

Solomon Franco @mamgunda1 kupitia ukurasa wake wa twitter aliandika “Huyu hana elimu ya utabibu lakini ndio anaongoza kupotosha watu,”

Aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa aliiomba Serikali imchukulie hatua Askofu Gwajima kwa sababu atasababisha watanzania wengi wafe kwa mafundisho yanayopotosha

“Hana scientific evidence kwa vitu anavyozungumza, hajui mambo ya kitatibu na siyo mtabibu, ningemshauri na nimsihi aheshimu taaluma za watu, akawasikiliza wataaluma,”

“Pia kitendo cha kusema wanaopigia chapuo madawa haya wamepewa pesa anamaanisha anamtuhumu hata Rais ambaye pia ni mwenyekiti wa chama chake, hivyo ni vyema achukuliwe hatua,” alisema.

Chama Cha Mapinduzi(CCM) kimesema kinafutilia kwa makini mienendo ya baadhi viongozi wake ambao wamekuwa wakipotosha umma na kwenda kinyume na maelekezo ya Mwenyekiti wa CCM na Rais Samia Suluhu na maadili ya chama.

Taarifa iliyotolewa leo na CCM, Katibu wa Halmshauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka inawakikishia wanachama na Watanzania kuwa hatua kali za kinidhamu zitachukuliwa dhidi ya wote ambao wanatumia nafasi iyo kusukuma ajenda zao binafsi, kwa mujibu wa Katiba, kanuni za maadili na uongozi za CCM

Chanzo: Mwananchi
View attachment 1869726
 
Ana watu wapi , tatizo la Gwajima kujifanya ni spy aliechangamka, leo utamuona Gwajima ana watu ,ila ogopa watu Kama Mzee wa upako, yule ni simba na mitandao wake upo intact, na mzee yupo kimia na kupiga injili , ila yule nawambieni na amini connection yake nje ya utumishi wa mungu ipo juu Sana,

Jiulize why Maghufuli alienda sali kakika kanisa lake tena kipindi Cha KWANZA mwanzoni ya utawala wake, ? Why 2015 wakati wa Lowasa alitamka wazi pale mlimani city kwamba Kuna kushindwa uchaguzi, lakini pia ni mwalim mzuri wa kareti aliwai dhibitisha mwenyewe


Mzee wa upako ni mtumishi wa Mungu , ila mengine mungu ndo anajua juu ya maisha yake, WENDA ni Mara 100 ya Gwajima nasema, Taifa Hili Lina mfumo mgum SANA,KATIBA NI SASA,
Mkuu umegusa kitu kwa Mzee wa upako, hebu funguka hata kwa codes basi?
 
Kama wewe unayaamini, mimi siyaamini na wote - mimi na wewe - tuna uhuru wa kuamini kwa namna tunavyoguswa. Mimi sijawahi kuguswa na hizi 'blanket statements' au 'hoja zoazoa'.
 
Mkuu umegusa kitu kwa Mzee wa upako, hebu funguka hata kwa codes basi?
Code, ???? , Mfateni akawapeni code ,mnayoita code mie simo, najua Gwajima Cha mtoto KWa mzee wa upako, japo hajiona anajua kila kitu ,asema bwana,2015 WAKATI mzee wa upako anatoa au kuidi mchango wake KWa Lowasa si chin mil MOJA pale mlimani city, Gwajima yupo busy mjibu SLAA NA MKE WAKE pale hotel maeneo ya River side ,jina limenitoka ila nilikuepo , msafara wa Gwajima ulikuja yeye akiwa kwenye Gari yake ya Hammer,

Kweli kipindi hicho alikua kweli amesimama Kama Askofu, na ni kweli watz walimpenda, nikiwapo mie KWa kusimamia haki,ila Gwajima wa 2015, akisima na Gwajima wa 2021 watatoana makamasi nasema,
 
Back
Top Bottom