#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

Kuna chanjo inayotoa "sterilizing immunity" hiyo inazuia kabisa mwili kupata maambukizi ya ugonjwa, ni chanjo chache sana zenye uwezo huo hata kwa magonjwa tuliyoyazoea kama kifua kikuu ndio maana hata watu waliopata chanjo zamani ya kifua kikuu wanaweza kupata maambukizi mapya , kuumwa na kuambukiza wengine.

Chanjo yoyote ikiwemo hata hii ya corona inategemea na mwili wa mtu, wapo ambao itawalinda kabisa wasipate maambukizi, wapo ambao watapata maambukizi lakini hautokuwa ugonjwa mkali unaohitaji mtu apelekwe hospitali, unakuwa tu kama mafua ya kawaida tu, ama uchovu (chanjo zilizopitishwa na WHO zinafanya hili kwa ufanisi mkubwa) hivyo dhumuni la chanjo ni kuongeza kinga ya mwili kuuwezesha upambane na hivyo virusi huku kukiwa na uhakika wa asilimia kubwa (kama sio 100%) kwamba mtu hatofariki kutokana na maambukizi hayo.

Tatizo la kutokufuata miongozo ya wataalamu kwa ugonjwa kama COVID-19 baada ya kupata chanjo ni kwamba unaweza ukapata virusi wala usijue wakati mwili wako unapambana kwa ufanisi wa juu lakini ukawa unaambukiza wale ambao bado hawajapata chanjo. Pale ambapo asilimia kubwa ya wananchi hasa wale waliopo kwenye makundi hatarishi wakiwa wamepatiwa chanjo ni rahisi kuachana na hayo masharti ya kujilinda na corona.
Unajina zuri lakini huna akili Cannabis sativa haijakusaidia?
 
Gwajima ni mpumbavu tu na wanayemuunga mkononi wapuuzi vilevile.Hoja ni chanjo au chanjo ya
mmarekani? kama hoja ni chanjo ya
mmarekani kwanini iwe ya corona pekeyake na si chanjo zingine ambazo watoaji ni wale wale.Chanjo za watoto
chini ya miaka 5 zinatolewa na hao hao bure ,kwanini nazo tusizikate, maana kama lengo ni kutuuua
watatumia hata
hizo za watoto za surua,ndu,kifua kikuu,tetekuwanga,polio ,pepopunda(tetenus) za wajawazito.Hakuna
dawa hospitalini zilizotengenezwa na waafrica,zote zinatoka kwa hao hao.Dawa za Ukimwi,kifua kikuu,
Presha ,kisukali,madawa ya operation,Cancer kwa Ujumla dawa zote zinatoka kwa hao watu weupe,
hivyo awaambie sereikali wapige marufuku dawa zote za wazungu zisitumike nchini,vinginevyo kama nia ni
kutuuua watatumia haya madawa na chanjo kutekeleza azma yao.
Kama issue ni mmarekani tuagize chanjo ya Urusi au China au Cuba au Iran maana naye nasikia anatengeneza yake.
Ni Mpumbavu pekee anayetaka Tanzania ijitenge na dunia kwenye chanjo wakati hatuna uwezo wa kutengeneza kidonge
.Mtu yeyote humu ataje kidonge kilichowahi kutengenezwa Tanzania na kutumika humu nchini.Ni wendawazimu kudhani nchi ambazo haina urafiki wowote kama Marekani na Urusi au na China au na Cuba au na Irani eti ziungane kwenye suala la chanjo ili kuwaua Watanzania
Huyu bwege Gwajima anachanganya tu habari mara analeta mambo ya dini eti chapa 666 sijui chanjo ni
mpinga kristo , kama ni hivyo basi tulishapigwa chapa ya ndui
mara bado ipo kwenye majaribio,mara zimetengenezwa kwa muda mfupi,anajaribu kulinganisha
chanjo zilizotengenezwa miaka ya 1950s wakati teknoloji ikiwa duni
na miaka hii ambapo dunia ipo mbali kiteknolojia .Anataka kutuambia hizo nchi ambazo zimetengeneza chanjo
ambazo ambazo kwanza zina sera na mitazamo tofauti, zote zina lengo la kuwaua watanzania?Kwa kipi kilichopoTanzania hadi wapange njama za kuua watanzania? na kwa faida ipi kwao?
Bongo kweli vilaza wanazidi kuongezeka
 
Mwenzenu nilishagamfuta kwenye oroza ya viongozi wa dini namfananisha au namuona sawa na Bashilu au chakubanga tu zuzu kama mazuzu mengine ya ccm
 
Maandiko ya kisayansi yapo yanayoelezea jinsi chanjo inavyofanya kazi na composition yake na hata majaribio yaliyofanyika kuweza kujiridhisha ufanisi wake....serikali kupitia vyombo vyake husika ndio ina uwezo wa kuhakiki kilichomo...wewe unafahamu chemical composition ya coca cola ?

Unafahamu hasa kiasi cha electromagnetic waves zinazotoka kwenye simu yako kama ni salama ?

Serikali ndio inayofanya kazi ya kujua kipi ni salama kwa wananchi wake, kama serikali na vyombo husika vikisema kitu ni salama, serikali za nchi nyingine zikasema ni salama, taasisi nyingine za kimataifa zikasema ni salama then who are you kupinga bila evidence ? Kama ukisema kisitumike basi weka ushahidi katika mfumo wa andiko la kisayansi ambapo wanasayansi wengine watajifunza kutoka kwako ama kukukosoa.
Dini na Sayance ni kitu kimoja zote ni mind control tools.
Serikali ni Babylon system, hazipo kwa ajili ya kumpa uhuru binadamu, hivyo basi serikali na vyombo vyake vyote sio salama pamoja na hizo shule wewe unaziona njema.
Angalia tena tafsiri ya neno Government, afu uje ubishane nami
 
Samia naye ndiye wale wale. Karibu wiki sasa hajasikika sijui naye COVID-19 imeshamsarandia? Alifanya kosa kubwa kuwaacha Mawaziri wote wa dhalimu mwendazake. Sasa dharau zao kwake nje nje. Akiona yamenshinda abwage manyanga. Kwani hii vuta nikuvute ya timu Kikwete na timu mwendazake siyo kabisa.
Bila shaka Samia atakuwa timu ya kikwete.mzee bora samia kuliko magufuli yule mzee hapana aiseeee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Njia zilizotumika kumpatia Ubunge anajua hazikuwa sahihi na haki haikutendeka lakini Leo hii hajawahi popote kuukataa ubunge wake Wala japo kuukubali lakini kutumia kanisa kukemea pale ambapo hakukuwa na haki

Amekywepo kwenye utawala wa awamu iliyopita ambapo tulishuhudia na kusikia watu wakipoteza uhai na kutekwa na watu wasiojulikana, tulishudia risasi adharani lakini hakuna siku amewahi kutoka adharani kukemea uvunjivu wa sheria na katiba ya nchi

Alikuwepo BUNGENI juzi wakati tozo kandamizi zinapitishwa hakuna siku tulimsikia akipinga na kura alipiga ya ndiyo. Hata hao waoumini wake hajawahi kuwaonea huruma, mshahara wake alipi Kodi na hatumsikii akikemea.

Leo anaibuka anaanza kumjadili JPM kwamba wakati wake hakuna aliyeleta chanjo. Je wakati wa JPM wakati watu wanabambikiwa kesi yeye hakuwepo? Alitusemea? Wakati watu wanakufa kwa corona alisema? Wakati tunaficha data alisema? Leo ametoa wapi ujasiri wakutumia nyumba za ibada kutaka kujifanya yeye ni daktari?

Tunaporuhusu watu wa aina ya Gwajima waongoze jamii ndipo tunapozalisha mawazo mgando. Yeye anaamini JPM alikuwa Mungu na kwamba maarifa ya JPM lazima yaheshimiwe hata Kama yalikuwa hayafai, kwamba Leo badala atueleze Mungu anasemaje anatulazimisha tufuate nyayo za binadamu ambaye ana mapungufu mengi ya wazi. Hii dini gani yakuelekeza watu wamwabudu mtu?

Leo ndipo amekuwa na msimamo, mbona huo msimamo upo kwa mambo ya mwendazake haupo kwa wengine?

Huyu mtu apuuzwe, siyo kiingozi wa dini Bali ni Kiongozi wa walafi wa madaraka. Kwenye siasa anataka, kwenye dini anataka na kwenye ushirikina anataka. Yeye Nani wakuombea watu wafe kisa awakubaliani naye? Unasiamama madhabauni unabiri kuua watu unadhani waumini wako wanajitunza Nini? Kwamba wanaokwenda kinyume na mtizamo wako na JPM wafe? Nani kakwambia ninyi ni miungu? Kwamba wewe utokufa?

Nadhani huyu mtu kwa kuwa tu Ni mwana ccm anayo haki yakutumia kanisa anavyojisikia yeye Tena kwa mambo ya hovyo kinyume kabisa na imani yake. Ila ipo siku ataadhibiwa
Wewe ni mtu wa ajabu sana, Mimi nataka taifa lenye vichwa kama vya kina Gwajima, wanaojua kuhoji na kuzisumbua wizara husika ili kuja na majibu yanayoridhisha

Mf, Serikali yako wewe haina uhakika na chanjo hadi imeweka kipengele cha mtu yeyote akipata madhara kutokana na chanjo, hapaswi kuomba fidia wala kuilalamikia serikali,

Pili, hata hiyo chanjo, bado inautata mkubwa, Serikali ya Marekani, inaziiga matufuku cganjo zibazotegenezwa na kampuni ya J&J na pia bado kuna wale waliochanja wanaambukizwa tena

Wewe unataka tuwe na taifa lenye watu wakiambiwa kulia geuka mnageuka bila kuuliza kwa nini isiwe kulia isiwe kushoto?

Wewe ni miongoni mwa Watanzania wajinga wajinga msio elewa ni kwa nini umesoma na kwa nini upo ktk dunia ya leo yenye changamoto kana hizi

Kaa kimya, waachie kina Gwajima
 
Mkuu mimi nimeshakata tamaa ná huyo mama. Asipofanya mabadiliko ya nguvu ya Baraza la Mawaziri kuwatema Majaliwa, Mwigulu, Gwajima, Ndugulile, Ummy na labda wachache wengine wa timu mwendazake basi dharau yao kwake itakuwa kubwa sana.
Bila shaka Samia atakuwa timu ya kikwete.mzee bora samia kuliko magufuli yule mzee hapana aiseeee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Acha zako fanya mambo yako. Kwani wewe ndiye uliyempa huo ubunge. Kama alipewa ubunge na mtu mwingine mwache afanye anavyotaka yeye.
Punguza jazba , leo GWAJIMA ,anaponda chanjo KWA hoja nyepesi Sana kana vile wazungu hawatupendi , hivi GWAJIMA si anawatoto, na je hawakuwai kuchanjwa chanjo , ukiachana na Yeye mwenyewe kwamba Hana kovu la BCG kwenye bega lake la kulia,? Na Kama ndivyo izo chanjo zilitengenezwa na nani? Leo ndo anaona chanjo Zina madhala


GWAJIMA ANASEMA madactari wanao shabikia chanjo ya Cov 19 watakufa, hakuna Mungu wa ivyo, naungana na mtoa mada, GWAJIMA ni MNAFIKI, leo anajiona ni mtakatifu mbele za bwana, wakati ubunge kapata KWA njia ya dhuluma, Mungu wake ni yupi anaependa dhuluma?

Kama ni mtumishi wa Mungu Alie hai ,ajiuzuru ubunge,na akatubu


Watz fulsa ya chanjo Kama ipo tukachanje, GWAJIMA na waumini wake hawalazimishwi , ila asipotoshe watanzania,
 
Njia zilizotumika kumpatia Ubunge anajua hazikuwa sahihi na haki haikutendeka lakini Leo hii hajawahi popote kuukataa ubunge wake Wala japo kuukubali lakini kutumia kanisa kukemea pale ambapo hakukuwa na haki

Amekywepo kwenye utawala wa awamu iliyopita ambapo tulishuhudia na kusikia watu wakipoteza uhai na kutekwa na watu wasiojulikana, tulishudia risasi adharani lakini hakuna siku amewahi kutoka adharani kukemea uvunjivu wa sheria na katiba ya nchi

Alikuwepo BUNGENI juzi wakati tozo kandamizi zinapitishwa hakuna siku tulimsikia akipinga na kura alipiga ya ndiyo. Hata hao waoumini wake hajawahi kuwaonea huruma, mshahara wake alipi Kodi na hatumsikii akikemea.

Leo anaibuka anaanza kumjadili JPM kwamba wakati wake hakuna aliyeleta chanjo. Je wakati wa JPM wakati watu wanabambikiwa kesi yeye hakuwepo? Alitusemea? Wakati watu wanakufa kwa corona alisema? Wakati tunaficha data alisema? Leo ametoa wapi ujasiri wakutumia nyumba za ibada kutaka kujifanya yeye ni daktari?

Tunaporuhusu watu wa aina ya Gwajima waongoze jamii ndipo tunapozalisha mawazo mgando. Yeye anaamini JPM alikuwa Mungu na kwamba maarifa ya JPM lazima yaheshimiwe hata Kama yalikuwa hayafai, kwamba Leo badala atueleze Mungu anasemaje anatulazimisha tufuate nyayo za binadamu ambaye ana mapungufu mengi ya wazi. Hii dini gani yakuelekeza watu wamwabudu mtu?

Leo ndipo amekuwa na msimamo, mbona huo msimamo upo kwa mambo ya mwendazake haupo kwa wengine?

Huyu mtu apuuzwe, siyo kiingozi wa dini Bali ni Kiongozi wa walafi wa madaraka. Kwenye siasa anataka, kwenye dini anataka na kwenye ushirikina anataka. Yeye Nani wakuombea watu wafe kisa awakubaliani naye? Unasiamama madhabauni unabiri kuua watu unadhani waumini wako wanajitunza Nini? Kwamba wanaokwenda kinyume na mtizamo wako na JPM wafe? Nani kakwambia ninyi ni miungu? Kwamba wewe utokufa?

Nadhani huyu mtu kwa kuwa tu Ni mwana ccm anayo haki yakutumia kanisa anavyojisikia yeye Tena kwa mambo ya hovyo kinyume kabisa na imani yake. Ila ipo siku ataadhibiwa
Mleta hoja sijaona hoja yako inalenga nini uko kwenye hoja ya ubunge kaupataje au uko kwenye hoja ya chanjo. Ubunge kachaguliwa na wananchi wa kawe. Kuhusu chanjo mpaka sasa haieleweki kuwa ni salama. Maana Kuna vitu vingi nyuma ya chanjo. Na wanaotetea chanjo wake na hoja kabambe kutetea hiyo chanjo siyo tu kusema tuchanje bila kuelimisha watu uzuri au Ubaya wa hiyo chanjo

 
Njia zilizotumika kumpatia Ubunge anajua hazikuwa sahihi na haki haikutendeka lakini Leo hii hajawahi popote kuukataa ubunge wake Wala japo kuukubali lakini kutumia kanisa kukemea pale ambapo hakukuwa na haki

Amekywepo kwenye utawala wa awamu iliyopita ambapo tulishuhudia na kusikia watu wakipoteza uhai na kutekwa na watu wasiojulikana, tulishudia risasi adharani lakini hakuna siku amewahi kutoka adharani kukemea uvunjivu wa sheria na katiba ya nchi

Alikuwepo BUNGENI juzi wakati tozo kandamizi zinapitishwa hakuna siku tulimsikia akipinga na kura alipiga ya ndiyo. Hata hao waoumini wake hajawahi kuwaonea huruma, mshahara wake alipi Kodi na hatumsikii akikemea.

Leo anaibuka anaanza kumjadili JPM kwamba wakati wake hakuna aliyeleta chanjo. Je wakati wa JPM wakati watu wanabambikiwa kesi yeye hakuwepo? Alitusemea? Wakati watu wanakufa kwa corona alisema? Wakati tunaficha data alisema? Leo ametoa wapi ujasiri wakutumia nyumba za ibada kutaka kujifanya yeye ni daktari?

Tunaporuhusu watu wa aina ya Gwajima waongoze jamii ndipo tunapozalisha mawazo mgando. Yeye anaamini JPM alikuwa Mungu na kwamba maarifa ya JPM lazima yaheshimiwe hata Kama yalikuwa hayafai, kwamba Leo badala atueleze Mungu anasemaje anatulazimisha tufuate nyayo za binadamu ambaye ana mapungufu mengi ya wazi. Hii dini gani yakuelekeza watu wamwabudu mtu?

Leo ndipo amekuwa na msimamo, mbona huo msimamo upo kwa mambo ya mwendazake haupo kwa wengine?

Huyu mtu apuuzwe, siyo kiingozi wa dini Bali ni Kiongozi wa walafi wa madaraka. Kwenye siasa anataka, kwenye dini anataka na kwenye ushirikina anataka. Yeye Nani wakuombea watu wafe kisa awakubaliani naye? Unasiamama madhabauni unabiri kuua watu unadhani waumini wako wanajitunza Nini? Kwamba wanaokwenda kinyume na mtizamo wako na JPM wafe? Nani kakwambia ninyi ni miungu? Kwamba wewe utokufa?

Nadhani huyu mtu kwa kuwa tu Ni mwana ccm anayo haki yakutumia kanisa anavyojisikia yeye Tena kwa mambo ya hovyo kinyume kabisa na imani yake. Ila ipo siku ataadhibiwa
We mama hebu tulia,Mtu anakua machafu akitoka kwenu(gwajima,silinde,badae,waitara n.k)na anakua msafi akiingia kwenu(Lowasa,Sumaye,NYALANDU,masha).
Mnapenda siasa sana badala ya uhalisia,sisi wananchi tungekua na uwezo Tungewafanya kitu mbaya sana nyinyi na ndugu zenu CCM na ACT ni wahuni nyote nyinyi.

Sa hivi wananchi tunaumizwa na hakuna Kati yenu anayeweza kutusemea Zaid ya kutugeuza fursa na kujipatia mtaji wa kisiasa kupitia misaada ya NGOS TOKA nje
 
Njia zilizotumika kumpatia Ubunge anajua hazikuwa sahihi na haki haikutendeka lakini Leo hii hajawahi popote kuukataa ubunge wake Wala japo kuukubali lakini kutumia kanisa kukemea pale ambapo hakukuwa na haki

Amekywepo kwenye utawala wa awamu iliyopita ambapo tulishuhudia na kusikia watu wakipoteza uhai na kutekwa na watu wasiojulikana, tulishudia risasi adharani lakini hakuna siku amewahi kutoka adharani kukemea uvunjivu wa sheria na katiba ya nchi

Alikuwepo BUNGENI juzi wakati tozo kandamizi zinapitishwa hakuna siku tulimsikia akipinga na kura alipiga ya ndiyo. Hata hao waoumini wake hajawahi kuwaonea huruma, mshahara wake alipi Kodi na hatumsikii akikemea.

Leo anaibuka anaanza kumjadili JPM kwamba wakati wake hakuna aliyeleta chanjo. Je wakati wa JPM wakati watu wanabambikiwa kesi yeye hakuwepo? Alitusemea? Wakati watu wanakufa kwa corona alisema? Wakati tunaficha data alisema? Leo ametoa wapi ujasiri wakutumia nyumba za ibada kutaka kujifanya yeye ni daktari?

Tunaporuhusu watu wa aina ya Gwajima waongoze jamii ndipo tunapozalisha mawazo mgando. Yeye anaamini JPM alikuwa Mungu na kwamba maarifa ya JPM lazima yaheshimiwe hata Kama yalikuwa hayafai, kwamba Leo badala atueleze Mungu anasemaje anatulazimisha tufuate nyayo za binadamu ambaye ana mapungufu mengi ya wazi. Hii dini gani yakuelekeza watu wamwabudu mtu?

Leo ndipo amekuwa na msimamo, mbona huo msimamo upo kwa mambo ya mwendazake haupo kwa wengine?

Huyu mtu apuuzwe, siyo kiingozi wa dini Bali ni Kiongozi wa walafi wa madaraka. Kwenye siasa anataka, kwenye dini anataka na kwenye ushirikina anataka. Yeye Nani wakuombea watu wafe kisa awakubaliani naye? Unasiamama madhabauni unabiri kuua watu unadhani waumini wako wanajitunza Nini? Kwamba wanaokwenda kinyume na mtizamo wako na JPM wafe? Nani kakwambia ninyi ni miungu? Kwamba wewe utokufa?

Nadhani huyu mtu kwa kuwa tu Ni mwana ccm anayo haki yakutumia kanisa anavyojisikia yeye Tena kwa mambo ya hovyo kinyume kabisa na imani yake. Ila ipo siku ataadhibiwa
Tatizo kubwa liko kwa waumini/ wafuasi wake. Haya madhehebu ya KIPENTEKOSTE yanawa indoctrinate watu wanakuwa kama MATEJA wa unga.

Na siku zote huwapata watu ambao wako FRUSTRATED au wamekata tamaa ya maisha. Wengi wao ni wanawake ambao aidha wanatafuta waume wa kuwaoa, wajane waliodhulumiwa, wenye maradhi yasiyopona nk.

Lakini yote anayohubiri anacheza tu na saikolojia zao
 
Njia zilizotumika kumpatia Ubunge anajua hazikuwa sahihi na haki haikutendeka lakini Leo hii hajawahi popote kuukataa ubunge wake Wala japo kuukubali lakini kutumia kanisa kukemea pale ambapo hakukuwa na haki

Amekywepo kwenye utawala wa awamu iliyopita ambapo tulishuhudia na kusikia watu wakipoteza uhai na kutekwa na watu wasiojulikana, tulishudia risasi adharani lakini hakuna siku amewahi kutoka adharani kukemea uvunjivu wa sheria na katiba ya nchi

Alikuwepo BUNGENI juzi wakati tozo kandamizi zinapitishwa hakuna siku tulimsikia akipinga na kura alipiga ya ndiyo. Hata hao waoumini wake hajawahi kuwaonea huruma, mshahara wake alipi Kodi na hatumsikii akikemea.

Leo anaibuka anaanza kumjadili JPM kwamba wakati wake hakuna aliyeleta chanjo. Je wakati wa JPM wakati watu wanabambikiwa kesi yeye hakuwepo? Alitusemea? Wakati watu wanakufa kwa corona alisema? Wakati tunaficha data alisema? Leo ametoa wapi ujasiri wakutumia nyumba za ibada kutaka kujifanya yeye ni daktari?

Tunaporuhusu watu wa aina ya Gwajima waongoze jamii ndipo tunapozalisha mawazo mgando. Yeye anaamini JPM alikuwa Mungu na kwamba maarifa ya JPM lazima yaheshimiwe hata Kama yalikuwa hayafai, kwamba Leo badala atueleze Mungu anasemaje anatulazimisha tufuate nyayo za binadamu ambaye ana mapungufu mengi ya wazi. Hii dini gani yakuelekeza watu wamwabudu mtu?

Leo ndipo amekuwa na msimamo, mbona huo msimamo upo kwa mambo ya mwendazake haupo kwa wengine?

Huyu mtu apuuzwe, siyo kiingozi wa dini Bali ni Kiongozi wa walafi wa madaraka. Kwenye siasa anataka, kwenye dini anataka na kwenye ushirikina anataka. Yeye Nani wakuombea watu wafe kisa awakubaliani naye? Unasiamama madhabauni unabiri kuua watu unadhani waumini wako wanajitunza Nini? Kwamba wanaokwenda kinyume na mtizamo wako na JPM wafe? Nani kakwambia ninyi ni miungu? Kwamba wewe utokufa?

Nadhani huyu mtu kwa kuwa tu Ni mwana ccm anayo haki yakutumia kanisa anavyojisikia yeye Tena kwa mambo ya hovyo kinyume kabisa na imani yake. Ila ipo siku ataadhibiwa
Wewe ni mtu wa ajabu sana, Mimi nataka taifa lenye vichwa kama vya kina Gwajima, wanaojua kuhoji na kuzisumbua wizara husika ili kuja na majibu yanayoridhisha

Mf, Serikali yako wewe haina uhakika na chanjo hadi imeweka kipengele cha mtu yeyote akipata madhara kutokana na chanjo, hapaswi kuomba fidia wala kuilalamikia serikali,

Pili, hata hiyo chanjo, bado inautata mkubwa, Serikali ya Marekani, inazipiga marufuku chanjo zinazotegenezwa na kampuni ya J&J na pia, kuna watu ambao wamechanjwa na bado wameambukizwa, halafu unambeza anayeutafuta ukweli

Elimu yako haikusaidii wewe na kwa taifa, maana yake wewe ni mtu hasara juu ya kizazi hiki

Wenzako wanahoji kutaka kupata majibu sahihi, halafu wewe mtu bubu ukiambia kulia geuka unageuka tu na usihoji kwa nini ni kulia tu na sio kushoto?

Acha ujinga wewe
 
Akina kibwetere hawatakuja kuisha hapa Duniani!!! Gwajima pia anaweza kujaribiwa na Shetani,... kama Mtume wote kina Daudi, Petro, Paulo alijaribiwa na Ba yesu mchawi tena wazi wazi kwani yeye gwajima ni nani asijaribiwe??...

hata km Gwajima ni mtumishi wa Mungu kweli hawezi kuzidi utumishi wa mtume Paulo ... Jamani wa TZ kwa nini hamuelewi? mmeruhusiwa kuwajaribu hawa wachungaji wenu wano jiita watumishi!!

km haitoshi Yesu Mwana wa Mungu hasaa!! alijaribiwa na shetani tena mara kibao tu! eti '' ageuze mikate ale''!! Gwajima yeye nani asijaribiwe kwa hili ili kupoteza umati wa TZ?? eti awe sahihi tuuu! wkt woote?? mweee!! akome tena

ningekuwa Rais ningeanza nae ili aka ombewe vizuri hukohuko kizuizini akili imkae sawa!! KM kweli unamuabudu Mungu wa kweli Basi atakuwa wa wote tulioumbwa nae!! siyo yeye tu!! hata kipindi cha Yesu kulikuwa na Manabii wa uongo weeengi!!

Na ilitabiliwa zamani sana kuwa siku za Mwisho kutakuwa na Manabii wa uongo!! watafanya maajabu ''wajaribuni!!! yamkini watashusha Moto kutoka Mbinguni. hayo ya miujiza kuokoa misukule!! kweli utaokoa sana lkn sisi kamwe Gwajima haya tutishi!!! elewa hivo...

Mungu ni wa wote Gwajima anapaswa kujua hili si wa Gwajima peke yake!! kiasi kwamba tumsikilize yeye tuuu!! Tujisaidie kwa kumuweka Mungu wetu mbele! wkt tukichukua tahadhari !! sisi km taifa hatuta kaa kusubili mungu wa Gwajima atende!!

Mungu wa Sabato, Islam, Rc, Budha nk ndiyo Mungu wa Gwajima au... hata hao waumini wake ni kuwachapa viboko tu mpaka watie akili, huyo mungu wako anaruhusu Bendera ya sinagogi la shetani tena kwenye Mimbali ya kanisani kwako!! wengine wanaona si kweli!

Km kweli Wazungu wanataka tufe!! ,... mbona wao wanakufa sasa?? km haitoshi wana wa israel waliuawa huko Misri lkn bado wakawa wengi tu? Ukimwi tumeletewa Mbona tunakula bata sambamba kwa mtiti wa watu kuliko hata hao waletaji??

hata wakileta hiyo covid acha ije hatuogopi tutachukua tahadhari km kawaida lkn Mungu ana jambo na sisi!!! huwezi zuia kauli ya Mungu kwa kuweka tahadhari ambazo Mungu hakusema, Imani yako ndo itakuokoa siyo imani ya gwajima!!

alisema siku za mwisho yatakuja Magonjwa hatari yasiyo kuwa na Dawa!! sasa si ndo safi unabii unatimia? omba kwa bidii ukijua mwisho sas unatimia!!! kuyakwepa hayo ni kupinga unabii wa Mungu usitimie yawache yaje!! unabii utimie!!

Kuto chukua tahadhari Maksudi eti gwajima mtumishi amesema ni kumjaribu Mungu!! utakufa wewe gwajima kwanza! kmkibwetere alivo potea usicheze wewe...Unisikie!! najua unapita pita humu na walee wachungaji wako! watakwambia!

Atatuvusha salama tu km alivo vusha wana wa Israel! lkn siyo wewe gwajima utuvushe !! mtu km wewe pia unae weza rubuniwa na shetani huyo huyo! ili kupoteza umati!! haya yalimpata mtume paul pia!!! ebu tupe nafasi tuabudu kwa uhuru bana......
Wazungu huwa wana plan A,B,C... kunakitu kinaitwa change plan btn the Game, na ndicho kinachofanyika.. stay tuned..
 
Back
Top Bottom