#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

Just use your common sense. If 97% of those who are admitted in the hospital and 99% of those who are dying are from unvaccinated fellas. Why then the delta variant is affecting a very small percentage of those who are vaccinated!?

ACHA UPOTOSHAJI WAKO!



Second hiyo J&J yenu haiwezi zuia delta variant

Kutoka kwenye mtandao wa jarida la Forbes



Sign In

Subscribe

BREAKING|Jul 20, 2021,07:34pm EDT|271,882 views

Johnson & Johnson Vaccine Far Less Effective Against Delta Variant, Study Suggests

[https://thumbor-forbes-com]

Nicholas Reimann

Forbes Staff

Business

I'm a news reporter for Forbes, primarily covering the U.S. South.



Updated Jul 21, 2021, 07:13pm EDT

TOPLINE



A study from a team of New York University researchers found the one-shot Johnson & Johnson vaccine is far less effective at preventing coronavirus infections from the Delta variant and other mutated forms of the virus than from earlier strains, a concerning find since the Delta variant now accounts for almost all U.S. Covid-19 cases.



In this photo illustration a Johnson & Johnson[+]

SOPA IMAGES/LIGHTROCKET VIA GETTY IMAGES

KEY FACTS

The study, which has not been peer reviewed, was based on tests conducted on blood samples drawn from people who have received the three coronavirus vaccines approved for use in the U.S..

According to the New York Times, the findings are consistent with earlier reviews of the similar AstraZeneca vaccine’s performance against the Delta variant, which found around a 33% efficacy rate.

Clinical trials put the J&J vaccine’s efficacy at around 66% against the original coronavirus strain, while the two-shot Pfizer and Moderna vaccines were more than 90% effective.

CDC Director Dr. Rochelle Walensky said Tuesday the Delta variant now makes up around 83% of all Covid cases in the United States.

The findings from the NYU studies contradict earlier, smaller studies published by Johnson & Johnson, which suggested the vaccine was effective against Delta and other new variants.

WHAT TO WATCH FOR

The study’s authors suggested J&J recipients might require booster shots for better protection against the Delta variant, but public health officials are not recommending boosters for any vaccines at this time.

BIG NUMBER

More than 13 million. That’s how many Americans received the single-dose Johnson & Johnson shot, according to the CDC. The number actually represents just a small slice of around 161.5 million Americans who have been fully vaccinated.

KEY BACKGROUND

Rising cases, hospitalizations and deaths across the U.S. are fueling concerns about another major Covid spike. Numerous cities and localities are now urging all residents to wear masks in public again, even if they’ve been fully vaccinated, while a stock market plunge on Monday was largely attributed to worries over the Delta variant. The vast majority of those impacted have not been vaccinated, though, leading Walensky to say last week: “This is becoming a pandemic of the unvaccinated.”

TANGENT

The Johnson & Johnson vaccine has had several reports of problems since it received approval in February. In April, the federal government recommended a 10-day pause on Johnson & Johnson vaccinations while it investigated links to a serious blood clotting issue. Another problem came up earlier this month, when it was reported the vaccine could raise the risk of a neurological disorder called Guillain–Barre syndrome. Instances of both Guillain–Barre syndrome and blood clotting after the J&J vaccine have been extremely rare, but the issues have been enough to lower public confidence in the vaccine compared to the other shots available in the United States.

FURTHER READING

One Dose of J.&J. Vaccine Is Ineffective Against Delta, Study Suggests (The New York Times)

Miami The Latest City Tightening Covid Guidelines—See Full List (Forbes)

Johnson & Johnson Vaccine Could Raise Risk For Rare Neurological Disorder, FDA To Warn (Forbes)

FDA And CDC Recommend Resuming Johnson & Johnson Vaccine For All U.S. Adults After Committee Vote (Forbes)

Full coverage and live updates on the Coronavirus

Get the best of Forbes to your inbox with the latest insights from experts across the globe.

Follow me on Twitter. Send me a secure tip.

Nicholas Reimann

I'm a New Orleans-based news reporter for Forbes covering the U.S. South and breaking news. Previously, I wrote for The Times-Picayune | The New Orleans Advocate covering

…Read More

CorrectionsReprints & Permissions

Loading ...

More From Forbes

Pittsburgh Pirates Knew They Weren’t Going To Get Elite Prospects For Adam Frazier

Outsmarted By China, Not Protected By Biden, Retail Takes A Hit

Only 15 Of 130 FBS Teams Will Not Play An FCS Team During 2021 College Football Season

Brands Are Invading Your Favorite Streaming Shows And Movies, Whether You Realize It Or Not

Carbon-Neutral LNG: Another Reason Why Natural Gas Could Win “The Energy Transition”

Nascar Free Agent Profile: Kurt Busch A Potential Coup For Upstart Teams

Meet The Youngest Olympians Competing At The Tokyo Games

See Skateboarders And Surfers Make Their Olympic Debut In Tokyo (Photos)

[emoji2398] 2021 Forbes Media LLC. All Rights Reserved.

AdChoices

Privacy Statement

Do Not Sell My Info

Terms and Conditions

Contact Us

Report a Security Issue

Jobs At Forbes

Reprints & Permissions

Forbes Press Room

Advertise
 
Just use your common sense. If 97% of those who are admitted in the hospital and 99% of those who are dying are from unvaccinated fellas. Why then the delta variant is affecting a very small percentage of those who are vaccinated!?

ACHA UPOTOSHAJI WAKO!
Unafikiri ukiandika hicho kizungu koko ndo unatutisha?

Ona dalali uchwara hili!
 
Baada ya jana mbunge wa Kawe mh Gwajima kuwataka watanzania waikatae chanjo ya Corona leo wameibuka wabunge machachari wa CCM January Makamba na Dr Kigwangalla na kumjibu

Kigwangalla amemtaka Askofu Gwajima ajisomee majalada ya sayansi na kama hawezi basi aende ofisini kwake akampe twisheni kwa sababu yeye ni daktari wa binadamu kitaaluma.

Naye January Makamba amemtaka askofu Gwajima kuacha kutumia nafasi yake ya uongozi wa kiroho kuupotosha Umma

Mungu ni mwema wakati wote!
Wapotelee mbali hao vigangwala. Tunachojua kwenye huo ugonjwa kuna hila nyingi za kibeberu kuhujumu nchi changa kimapato na kimaendeleo
 
Acha UPOTOSHAJI wewe unataka kumpinga mtu anayekusanya takwimu za wanaolazwa ná kufa kwa COVID-19!? Watu kama wewe ni hatari sana ni hasara kubwa Kwa Taifa. Ulichoandika ni UONGO MTUPU!!!
Ni kwasababu mimi siwezi kugeuzwa majaribio!!!!!!

Hizo chanjo till today zinatumika kama an emergency authorization!!!!!!na madhara ni juu ya mtumiaji halafu wewe unataka nchi yote igeuzwe majaribio za haya machanjo yao!!!!!!sikatai chanjo but usalama wa hizo chanjo haupo!!!!!!wanajitahidi sana kutumia media kupika data kwamba chanjo ni salama!!!!!! Wakat kuna maelfu ya watu wanakufa kwa hizi cha chanjo za MRNA na viral vector kama Astrazeneca!!!!mimi siongei kwa kuwaza propaganda au stori za vijiweni naongea fact!!!!!,)ni kipi unaweza kunishawishi nacho kuhusu hizo chanjo zenu za mrna??
 
Nobody will force you to take vaccination but coming here and writing LIES after LIES that is UNACCEPATABLE. Hakuna fact za kudai kuwa maelfu waliopata chanjo wanakufa huo NI UONGO wa hali ya juu. Wewe una facts kuliki Dr Fauci ambaye anakusanya takwinu za wagonjwa kila siku?

Ni kwasababu mimi siwezi kugeuzwa majaribio!!!!!!

Hizo chanjo till today zinatumika kama an emergency authorization!!!!!!na madhara ni juu ya mtumiaji halafu wewe unataka nchi yote igeuzwe majaribio za haya machanjo yao!!!!!!sikatai chanjo but usalama wa hizo chanjo haupo!!!!!!wanajitahidi sana kutumia media kupika data kwamba chanjo ni salama!!!!!! Wakat kuna maelfu ya watu wanakufa kwa hizi cha chanjo za MRNA na viral vector kama Astrazeneca!!!!mimi siongei kwa kuwaza propaganda au stori za vijiweni naongea fact!!!!!,)ni kipi unaweza kunishawishi nacho kuhusu hizo chanjo zenu za mrna??
 
Just use your common sense. If 97% of those who are admitted in the hospital and 99% of those who are dying are from unvaccinated fellas. Why then the delta variant is affecting a very small percentage of those who are vaccinated!?

ACHA UPOTOSHAJI WAKO!
Wacha propaganda!!!!!kama unachoma and you are still wear mask, unachoma bado unaugua refer case ya waziri wa afya wa uingereza, unachoma unapata side effects kibao....wapo waliochoma hizo mrna vaccine wanapata hadi magnetic problem....Waliochoma astrazeneca wakapata blood clot.......unayajua madhara ya milele ya hizo mrna vaccines?Hivi unajua mrna vaccines zinaweza kuvuruga hadi ule utu wa mtu na akawa kitu cha ajabu na ikabadilisha mfumo wote wa mwili maana Genetics,dna na cell ndo kila kitu kwa mtu?
 
Baada ya jana mbunge wa Kawe mh Gwajima kuwataka watanzania waikatae chanjo ya Corona leo wameibuka wabunge machachari wa CCM January Makamba na Dr Kigwangalla na kumjibu

Kigwangalla amemtaka Askofu Gwajima ajisomee majalada ya sayansi na kama hawezi basi aende ofisini kwake akampe twisheni kwa sababu yeye ni daktari wa binadamu kitaaluma.

Naye January Makamba amemtaka askofu Gwajima kuacha kutumia nafasi yake ya uongozi wa kiroho kuupotosha Umma

Mungu ni mwema wakati wote!
Pumbavu zakoKigwangala na udaktari wako una msaada gani kwa Watanzania kuhusu Corona? Wewe ni mtu wa kukopi na kupest tu huna capacity ya kufanya tafiti na kuleta majibu chanya, ulikopi na kupest hadi hotuma ya Joe Biden kwenye kuomba ridhaa ya urais 2015, hiyo inadhihirisha kichwa box unaishia kutupia picha kwenye mitandao tu. Huyo Makamba ndo anyamaze kabisa hajui lolote kuhusu chanjo ya Covid badala yake anajipendekeza tu kwa mama kutafuta uteuzi
 
Nobody will force you to take vaccination but coming here and writing LIES after LIES that is UNACCEPATABLE. Hakuna fact za kudai kuwa maelfu waliopata chanjo wanakufa huo NI UONGO wa hali ya juu. Wewe una facts kuliki Dr Fauci ambaye anakusanya takwinu za wagonjwa kila siku?
Hakuna anayepinga chanjo brother...but a safe vaccine sio hayo machanjo yenu ya mrna yanayobadili mfumo nzima wa mwili wa binadamu na kuingilia hadi DNA za watu wewe kama umechoma choma ila sisi hatutochoma MRNA vaccines kamwe tunataka chanjo zilizotengenezwa kwa njia za kawaida kama zinavyotengenezwa za polio,surua, hepatitis etccc na sio hizo zenu za MRNA na mwendokasi na za miezi tu

Chanjo zenyewe washasema hazijawa approved ni emergency authorization kama majaribio tu halafu mnataka watu wapate hizo Big No!
 
PURE LIES! sasa kama wataalamu wanakwambia hata kama umechanja bado ni muhimu kuvaa masks unataka kuwapinga? Kwa utaalamu upi uliokuwa katika PANDEMIC diseases hadi upinge? Usivae mask wala usipate chanjo soon utamfuata mwendazake. Kifo unakijua na makaburi pia unayajua lakini USIPOTOSHE kwa kuandika uongo humu.

Wacha propaganda!!!!!kama unachoma and you are still wear mask, unachoma bado unaugua refer case ya waziri wa afya wa uingereza, unachoma unapata side effects kibao....wapo waliochoma hizo mrna vaccine wanapata hadi magnetic problem....Waliochoma astrazeneca wakapata blood clot.......unayajua madhara ya milele ya hizo mrna vaccines?Hivi unajua mrna vaccines zinaweza kuvuruga hadi ule utu wa mtu na akawa kitu cha ajabu na ikabadilisha mfumo wote wa mwili maana Genetics,dna na cell ndo kila kitu kwa mtu?
 
Njia zilizotumika kumpatia Ubunge anajua hazikuwa sahihi na haki haikutendeka lakini Leo hii hajawahi popote kuukataa ubunge wake Wala japo kuukubali lakini kutumia kanisa kukemea pale ambapo hakukuwa na haki

Amekywepo kwenye utawala wa awamu iliyopita ambapo tulishuhudia na kusikia watu wakipoteza uhai na kutekwa na watu wasiojulikana, tulishudia risasi adharani lakini hakuna siku amewahi kutoka adharani kukemea uvunjivu wa sheria na katiba ya nchi

Alikuwepo BUNGENI juzi wakati tozo kandamizi zinapitishwa hakuna siku tulimsikia akipinga na kura alipiga ya ndiyo. Hata hao waoumini wake hajawahi kuwaonea huruma, mshahara wake alipi Kodi na hatumsikii akikemea.

Leo anaibuka anaanza kumjadili JPM kwamba wakati wake hakuna aliyeleta chanjo. Je wakati wa JPM wakati watu wanabambikiwa kesi yeye hakuwepo? Alitusemea? Wakati watu wanakufa kwa corona alisema? Wakati tunaficha data alisema? Leo ametoa wapi ujasiri wakutumia nyumba za ibada kutaka kujifanya yeye ni daktari?

Tunaporuhusu watu wa aina ya Gwajima waongoze jamii ndipo tunapozalisha mawazo mgando. Yeye anaamini JPM alikuwa Mungu na kwamba maarifa ya JPM lazima yaheshimiwe hata Kama yalikuwa hayafai, kwamba Leo badala atueleze Mungu anasemaje anatulazimisha tufuate nyayo za binadamu ambaye ana mapungufu mengi ya wazi. Hii dini gani yakuelekeza watu wamwabudu mtu?

Leo ndipo amekuwa na msimamo, mbona huo msimamo upo kwa mambo ya mwendazake haupo kwa wengine?

Huyu mtu apuuzwe, siyo kiingozi wa dini Bali ni Kiongozi wa walafi wa madaraka. Kwenye siasa anataka, kwenye dini anataka na kwenye ushirikina anataka. Yeye Nani wakuombea watu wafe kisa awakubaliani naye? Unasiamama madhabauni unabiri kuua watu unadhani waumini wako wanajitunza Nini? Kwamba wanaokwenda kinyume na mtizamo wako na JPM wafe? Nani kakwambia ninyi ni miungu? Kwamba wewe utokufa?

Nadhani huyu mtu kwa kuwa tu Ni mwana ccm anayo haki yakutumia kanisa anavyojisikia yeye Tena kwa mambo ya hovyo kinyume kabisa na imani yake. Ila ipo siku ataadhibiwa
Gwajima ni mfadhili wa Sukuma Gang,genge hili limejipa jukumu la kumhujumu Rais,na huyu andunje ana ndoto ya kuwa Rais wa Tanzania,asipuuzwe ana agenda chafu na ana 'watu'.
 
Pesa pesaaa pesaaaaaaaaa pesaaaaaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom