#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

Waumini tumpuze Askofu Gwajima kuhusu Chanjo ya Corona maana ata Biblia imetamka wazi kujikinga na magonjwa ya mlipuko

Kuna Mahusiano makubwa Sana Kati ya sayansi na Biblia. Ndani ya biblia mambo mengi yameelezwa namna ya kujilinda na afya zetu.

Serikali kupitia wizara ya Afya inavyosema watu tuchukue tahadhari dhidi ya ugonjwa wa CORONA wamesimama kisayansi zaidi lakini nikukumbushe Askofu Gwajima kuwa hata katika Biblia katika wakati wa Sheria za Musa waliwatenga wagonjwa wenye magonjwa ya mlipuko Kama ilivyo kwa Coronau ili kuwalinda watu wengine dhidi ya magonjwa hayo. Rejea mambo ya Walawi sura ya 13 na 14 utapata somo zuri sana Askofu Gwajima.

Pia Biblia imesisitiza Sana maswala ya usafi katika kujikinga na magonjwa ya mlipuko. Mfano kasome kitabu cha Hesabu sura ya 19:11, 19 utaona jinsi Musa alivyokuwa mkali katika swala la usafi wa kunawa mikono kujilinda na magonjwa.

Askofu Gwajima kasome kumbukumbu la torati pia utapata somo kubwa sana juu ya umuhimu wa kujikinga na Afya sura 23:13.

Sijajua Askofu Gwajima kuhofia Chanjo ya Corona hofu inatoka wapi wakati kitabu cha Mungu (Biblia) anachokitumia kimempa mamlaka kisayansi kujilinda na afya zetu.

Askofu Gwajima ulichanjwa ndui vipi kabla ya kuchanjwa ulipata wasaa wa kwenda kiwandani kuangalia hiyo Chanjo jinsi ilivyotengenezwa? Tusitoe matamko katika madhabahu bila kupima uzito wa tamko hilo.

Askofu Gwajima anahofu ya Chanjo wakati amewaruhusu wanae kuchanjwa ili kwenda masomoni Uingereza ila hapa anatufanya Watanzania Mazwazwa.

Askofu Gwajima kaa utafakari namna Bora ya kuwalinda na kuwashauri Waumini sio kila kitu unajua

20210726_195247.jpg
 
Bado nasubiri trip ya USA hayo mengine pambaneni tu.
 
Mara ya kwanza nilimwona kama ni mpayukaji tu na hajielewi. Lakini kwa hiki alichokiongea hapa kina mashiko. Nmeweka Chuki pembeni natumia akili kutafakari. Na naomba wataalamu waje wamjibu kitaalamu.

Pili nampongeza kwa kutoyumba kimsimamo. Taifa linahitaji watu wenye msimamo. Hata nikitokea kuchanjwa leo but ntampongeza ambaye ameshikilia msimamo alio nao toka mwanzo. Ndo UANAUME HUO.

 
Mjinga huyo, hapo kanisani watajadili?

Yeye ni mbunge ana nafasi kubwa kuwawakilisha bungeni.

Hivi ilikuwaje Kawe nzima akapewa ubunge huyu mtu
Alishawasikisha bungeni ushauri wake kuhusu chanjo za COVID19.
 
Huyo Gwaji yupo CCM ipi? tuanzie hapo kwanza maana haeleweki aliwahi sema uchungaji ni zaidi ya ubunge leo yupo bungeni na anaropoka tu mradi maneno yanaunganika.
 
Mods naomba msiunganishe hii thread naomba ibaki hapa hapa...tuanze sasa...

Nipo nadrive ila nimepaki kwanza pembeni niandike captions kidogo tu

Kwanza kabisa kuna mtu atauliza mbona tulichanjwa toka utotoni sasa kwanini tupinge hii Nikuelemishe kidogo tu
Umechanjwa chanjo utotoni sawa hata mm pia ...hivi unajua kwamba chanjo za covid za pfzer,modena na j&j zimetengenezwa tofauti na chanjo nyingine zitengenezwavyo hizo tatu zimetengenezwa na mrna technology ambayo inaingizwa kwenye cell,vinasaba dna pamoja na genetics ambavyo ni hatari ndo maana watu wanapinga......

Gwajima yupo sahihi kwa asilimia 100%

Gwajima kaongea fact tupu nakubaliana nae kabisa

Chanjo za MRNA kama pfzer,moderna na JJ hazifai ni hatari tupu

Chanjo zote ni emergency authorization na hazijathibitishwa

Zote zinahesabiwa kama majaribio tu na madhara ni juu yako wewe mtumiaji

Chanjo hizi za mrna ni uongo mwingi mnooo na hata uwezo wake wa kuzuia version mpya ya virus ni mdogo unazuia mno ile ya wimbi la mwanzo tu

Wanaokufa wamechoma mrna vaccine ni maelfu huko marekani lakini media za mabeberu hawatangazi japo kwa uchache mnooo

Gwajima kaongea fact kabisa hata hao wanaojimwambafy wamechoma na wamegeuka pro chanjo kama yule wa ndege za tanapa kukodi yule tunamjua anavyoweza kutumika kwa vipande vya fedha.....

Gwajima nakuunga mkono sikatai chanjo ila hizi za mrna hapana aisee bora hata zile za wachina na wacuba ila sio huo utupolo wa mrna vaccines wa kuchoma mkachome ila mjue mrna zinagusa mpaka cell, dna,aka vinasaba na genetics hapo ndo noma

Halaf hawatengenezi kwa njia kama zilivyo za surua,polio etc....wao wanatengeneza kwa liteknolojia la mrna ambalo halijawahi kutengeza chanjo yoyote ile hiyo kitu ni hatari mno nenda hata google mkasome....

Mwishoni big up gwajima........umejitahidi sana broo....umeukataa huu ushetani

Ngoja niendelee na safari....tukutane baadae
Sukuma gangs.... Mtakufa woooooote.
 
Ukimsikiliza vizuri utamwelewa.
Chanjo hii bado haina usalama kwa kuthibitika.
Anachotaka ni kujihakikishia.
Mimi binafsi siwezi chanjwa Mimi siwezi nikawa sehemu YA majaribio.
Ujue ukweli hata nje huko haya mambo yanatafrani.
Anachosemea kuhusu usalama wa watu NA vizazi vyao muhimu achana NA siasa
DNA NA vinasaba vingine jamani havichezewi [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Hadi hapa sijaona aliyempinga Gwajima Kwa hoja zenye mshiko zaidi ya mihemko na chuki binafsi.
Hili ni tatizo!
Kweli kabisa watanzania wengi wafuata mikumbo NA wepesi kusahau.
Kama walituletea barakoa feki vipimo feki watashindwaje chanjo feki.
NA vipi Kenya korona haipo?
Marekani haipo?
Ana fact sana sema watu wamejazwa upepo.
Huwezi jaribu nchi nzima kama inafahaa kwanini inaonyo kuhusu madhara wao kutohusika?
Kwanini hata ukiwa NA chanjo bado uvae barakoa nk
Mimi sichanji labda daktari atakayekuja kunichanja aje akiwa tayari kuishi au kufa Mimi au yeye
 
Hoja ya Gwajima lazima ipewe majibu ya kina na yente utaalamu na siyo kutumia mipasho kumjibu.wataalam wetu watueleze side effects ya chanjo hiyo Mara baada ya kuchanjwa.kumtukana na kumdhihaki Gwajimu hakutasaidia chochote, Mie ingawa si muumini na mfuasi wa Gwajima Ila kwa Hili nipo pamoja naye mpaka pale majibu ya kina yatakapo tolewa.Gwajibu katoa hoja hivyo asitishwe kwani taifa Hili Ni la kwetu sote hakuna mwenye hatimiliki nalo.wanasiasa wasitumike kuwashawishi watu kuchanjwa bali wachanjwe wao na familiya zao asiyetaka asilazimishwe.
 
Waumini tumpuze Askofu Gwajima kuhusu Chanjo ya Corona maana ata Biblia imetamka wazi kujikinga na magonjwa ya mlipuko

Kuna Mahusiano makubwa Sana Kati ya sayansi na Biblia. Ndani ya biblia mambo mengi yameelezwa namna ya kujilinda na afya zetu.

Serikali kupitia wizara ya Afya inavyosema watu tuchukue tahadhari dhidi ya ugonjwa wa CORONA wamesimama kisayansi zaidi lakini nikukumbushe Askofu Gwajima kuwa hata katika Biblia katika wakati wa Sheria za Musa waliwatenga wagonjwa wenye magonjwa ya mlipuko Kama ilivyo kwa Coronau ili kuwalinda watu wengine dhidi ya magonjwa hayo. Rejea mambo ya Walawi sura ya 13 na 14 utapata somo zuri sana Askofu Gwajima.

Pia Biblia imesisitiza Sana maswala ya usafi katika kujikinga na magonjwa ya mlipuko. Mfano kasome kitabu cha Hesabu sura ya 19:11, 19 utaona jinsi Musa alivyokuwa mkali katika swala la usafi wa kunawa mikono kujilinda na magonjwa.

Askofu Gwajima kasome kumbukumbu la torati pia utapata somo kubwa sana juu ya umuhimu wa kujikinga na Afya sura 23:13.

Sijajua Askofu Gwajima kuhofia Chanjo ya Corona hofu inatoka wapi wakati kitabu cha Mungu (Biblia) anachokitumia kimempa mamlaka kisayansi kujilinda na afya zetu.

Askofu Gwajima ulichanjwa ndui vipi kabla ya kuchanjwa ulipata wasaa wa kwenda kiwandani kuangalia hiyo Chanjo jinsi ilivyotengenezwa? Tusitoe matamko katika madhabahu bila kupima uzito wa tamko hilo.

Askofu Gwajima anahofu ya Chanjo wakati amewaruhusu wanae kuchanjwa ili kwenda masomoni Uingereza ila hapa anatufanya Watanzania Mazwazwa.

Askofu Gwajima kaa utafakari namna Bora ya kuwalinda na kuwashauri Waumini sio kila kitu unajua

View attachment 1869698
hajakataa kujilinda amesema chanjo haaziaminimi
 
Kama chanjo imekuja na ni salama, hofu ya nini kuwachanja wanajeshi na polisi, kwani hata wao wanaweza kuwa sehemu ya kusambaza maambuzi kwa wengine, kama wao hawafai kuchanjwa basi na wengine hawafai kuichanjwa, hili siyo taifa la wanajeshi na polisi ni taifa na watanzania wote.
Gwajima ni kichaa
 
Hoja ya Gwajima lazima ipewe majibu ya kina na yente utaalamu na siyo kutumia mipasho kumjibu.wataalam wetu watueleze side effects ya chanjo hiyo Mara baada ya kuchanjwa.kumtukana na kumdhihaki Gwajimu hakutasaidia chochote, Mie ingawa si muumini na mfuasi wa Gwajima Ila kwa Hili nipo pamoja naye mpaka pale majibu ya kina yatakapo tolewa.Gwajibu katoa hoja hivyo asitishwe kwani taifa Hili Ni la kwetu sote hakuna mwenye hatimiliki nalo.wanasiasa wasitumike kuwashawishi watu kuchanjwa bali wachanjwe wao na familiya zao asiyetaka asilazimishwe.
Point. Kuna hoja muhimu zinazohitaji majibu na ufafanuzi

1. Chemical content zilizomo ni zipi?

2. Effects zake ni nini? (Long term na short term).

3. Chanjo tunayochanjwa watu weusi ni sawa na wanayochanjwa watu wa dunia ya kwanza? Kama siyo, kwanini?

4. Chanjo watakayochanja wakubwa zetu ndo tutayochanjwa akina kajamba nani?

5. Kwanini serikali inayotuaminisha kuwa chanjo ni salama wanajitoa kudhamini chanjo hii? Kuwa madhara utayopata wao hawahusiku?

6. Any scientific proofs kuwa tz wamefanya utafiti wa kimaabara na kuonyesha kuwa chanjo hii ni safe?

7. Kwanini movement ya corona inakuwa kubwa sana kipindi hiki? Yaani hatupumui, tukilala corona, tukiamka corona. Kuna nini nyuma ya pazia? Serikali nzima sasa wimbo ni corona corona corona.
 
Back
Top Bottom