#COVID19 Askofu Gwajima: Ni ujinga kuruhusu Taifa zima kuwa 'Experiment' kwa sababu tuna haraka ya Corona

Kwa nini tusifast track majaribio ya chanjo ya ukimwi pale Muhimbili?
Nyie mlimdanganya mwendazake kwa mapambio yenu mpaka mkampa na kombe eti la ''kushinda corona'' mkampoza akajiamini akidhani haitampata. Ona alivyoishia mwisho mbaya tena kwa corona hiyo hiyo ilivyofanya zake. Unadahni virus wa corona na ukimwi ni sawa? Someni basi ili angalau mkiandika ime-make sense.
 
Chanjo yetu ya nyungo ilikuwa the best medically and psychologically. Kwani hatukuwa na fatalities nyingi na pia social interactions ziliendelea kama kawaida. That was the best vaccination ever
 
Kwa hiyo huyu Askofu leo amekuwa Dr
 
Huku mtaani kwetu sijui tutamvika nani maana kwa hiari ni ngumuuuu
Haya yote yamesababishwa na JPM kupenda kupotosha kila kitu ni mabeberu!! Kiufupi hatochanjwa mtu maana watu wameshalishwa uongo kama enzi zile wakiona gari la Red cross wanasema wanyonya damu!!

Hapa kilichopo ni kuomba patent tutengeneze NEMC pale ndio watu watatumia.
 
Ingawa kondoo hajawahi kubadirika akawa mbuzi, Ila ni mhimu kutambua, Kuna mabadiriko hufanyika Kati ya kondoo wa miaka ishirini iliyopita na kondoo wa Leo na atakayezaliwa Kesho
Hatuwezi kuuishi ukondoo wa miongo miwili iliyopita
 
hivi watalaamu wetu wa ndani wana capacity ya kujua ubora, udhaifu, madhara, faida ya cnanjo zilizopo kwa sasa na years to come?
Achana na huyu tapeli. Aulizwe dawa anazotumia mpaka simu aliyotumia kujichukuwa clip wakati anafanya uashereti si zimetengenezwa huko huko? Akatae na hizo basi.
 
Chanjo yetu ya nyungo ilikuwa the best medically and psychologically. Kwani hatukuwa na fatalities nyingi na pia social interactions ziliendelea kama kawaida. That was the best vaccination ever
But naibu waziri alikiri nyungu haikusaidia kitu...... Naamini yeye ana takwimu kuliko mimi na wewe.
 
Point yako haina mashiko, chanjo ya homa ya manjano imekuwepo kwa zaidi ya miaka 70, na tafiti nyingi zimefanyika zikishirikisha nchi nyinyi Tanzania ikiwemo. Leo hii nionyeshe nchi ambayo inazalisha chanjo ya Corona walikubali kumshirikisha mtu au nchi yoyote ambayo inanunua chanjo ya corona. Unachopewa ni chanjo na kuambiwa tuambia hao uliowachanja wamepata madhara gani. kwa kifupi we are guinea pigs na mtu kama wewe unakubali tu. Nchi kama Kenya na Rwanda walikuwa wanashangilia walipopewa chanjo, soon after, side effects zikanaza kujitikeza kila kona. Leo hii wao wanahali mbaya kuliko sisi ambao we didn't care less.
 
Ingawa kondoo hajawahi kubadirika akawa mbuzi, Ila ni mhimu kutambua, Kuna mabadiriko hufanyika Kati ya kondoo wa miaka ishirini iliyopita na kondoo wa Leo na atakayezaliwa Kesho
Hatuwezi kuuishi ukondoo wa miongo miwili iliyopita
So una support Yellow card zipigwe marufuku? Ama ww hutaki tu chanjo ya Covid pekee ila uko tayari kwa Yellow card?
 
Kabla huajawaambia wavae barakoa wao wanakuambia tangu mwaka jana wanafanya biashara zao kariakoo sokoni, tandika, karume na hakuna aliekufa kwa hiyo corona

Sasa hapo ujipange kuwapa sababu inayoeleweka
 
Wapuuziaji watampinga.
Nazidi kuona maono mema ya Hayati Magufuli, alipambana sana Gwajima aingie bungeni. Jamaa yupo vizuri kichwani.
'Nileteeni Gwajima, Nileteeni Gwajima, Nileteeni Gwajimaaaaaaa!"
 
Kwanza tukubaliane homa ya manjano pia chanjo yake ina side effects nyingi na nimekueleza kwa takwimu za WHO watu zaidi ya laki 5 wamekufa kwa chanjo-related cases!! Kwahyo nachohoji kwanini hampigi marufuku na ile? Au ni double standard

2. China wametengeneza chanjo yao na juzi tu hapa WHO wameipa endorsement kuwa ipo effective. Kwanini sisi hatutengenezi yetu tumekalia kulaumu wazungu na chanjo zao? Mbona Russia au China hawalii lii juu ya mabeberu conceding chanjo?

3. Side effects zipo kwa dawa na cjanjo zote duniani hakuna dawa hata moja haina side effects kutokana na variation kwa hali za miili ya watu. So sio chanjo ya covid tu ndio yenye madhara..... Ndio maana nimetoa mfano wa Radiotherapy pale ocean road ile tiba ukiitumia inakumaliza kabisa baadhi ya viungo lakini haipigwi marufuku coz hakuna namna nyingine ila humu huwezi sikia mkijadili mnaaminishwa ni chanjo tu yenye side effects ila ARVs cjui Yellow fever vaccine na Radiotherapy aaah ni sawa tu!!
 
Uko sahihi. Viongozi wa juu kule WHO wako 21. Wote 21 wana elimu ya PhD ya magonjwa haya. Wanne (4) ni Waafrika. Wawili (2) ni Marekani na Carribean weusi. Kuna huyo mama wa Kihindi na mama mwingine wa kiarabu wa Saudia. Watu hao ni wasomi, na wengi ni wenzetu. Elimu halisi ya Gwajima ni Form IV. Anamcheka mwenziye Makonda, lakini hana ground ya kumcheka. Kusema tuache kusikiliza wataalamu unaowasema eti twende na Gwajima.....! Yule Rais aliyetangulia ameharibu akili za watu. Amewaambia wakatae elimu, warudi walivyokuwa babu zao, na watu wanamfuata hadi sasa. Zindukeni!
 
So una support Yellow card zipigwe marufuku? Ama ww hutaki tu chanjo ya Covid pekee ila uko tayari kwa Yellow card?
Namshukuru Mungu amenipa mibaraka mingi nikiwa hapa hapa, ima iwe ni ushamba, lkn iwe iwavyo, sichanjwi na simshauli mwingine aige Imani yangu!!

Nilichotaka kusema, Gwajima ametahadharisha kuhusu kamati iliyopewa kufanya utafiti wa hizi dawa na Corona, niliyemu quote alimshambulia Kwamba, mbona Chanjo za magonjwa mengine mengi tuluchanjwa, na Kwa nini sasa iwe ni kuhoji kuhusu ubora wa dawa hizi ilihali hatuna uwezo wa kujitengenezea?

Nikasema, mambo hubadirika, na hatuwezi kuishi kama tupo nyuma ya miaka Elfu iliyopita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…