data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
According to you team Chattle..Jamaa amebaki kuwa a real member of parliament,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
According to you team Chattle..Jamaa amebaki kuwa a real member of parliament,
Na wanaokufa kwa kuganda damu jeHapana. Tatizo ni kuwa Watanzania hatusomi! Tumebaki kulalamika kuwa hatuijui chanjo. Watu wote hadi Rais aliyetangulia mnasema hamjui! Data za majaribio ya chanjo zote zilikuwa zinatolewa mwaka mzima mwaka jana, na ripoti zote za phase ya mwisho ya majaribio, Phase 3 zilielezwa vizuri sana na kuchambuliwa na wataalamu huru kuanzia Desemba 2021. Sasa tuko Phase 4 ya monitoring, halafu asiyesoma anasema tusubiri wataalamu wetu waseme. Sijui hawa wataalamu watarudi Phase ya kwanza? Watu huko duniani wanatikisa vichwa tu jinsi tulivyoachwa maili maelfu. Jebu someni New England Journal of Medicine moate hizo ripoti za Pfizer, Moderna, Astrozeneca na J&J. Sisi wengine sasa hivi tunamalizia kusoma za Urusi, China, India (nazo zinatumika), na Soberana ya Cuba.
Good questionhivi watalaamu wetu wa ndani wana capacity ya kujua ubora, udhaifu, madhara, faida ya cnanjo zilizopo kwa sasa na years to come?
Propaganda tupu, ni kipi anachokijua, anatakiwa aulizwe!Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima ametaka kuwepo umakini wa kuchagua Chanjo dhidi ya Ugonjwa wa COVID-19. Amesema hayo akiwa Bungeni Dodoma leo wakati wa Mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Afya iliyowasilishwa na Waziri Dorothy Gwajima.
Amefafanua, "Mimi sipo kinyume na Chanjo za Corona wala Chanjo yoyote. Mtu asininukuu napinga Chanjo, hapana! Tanzania tulishachanjwa Chanjo ya Kifua Kikuu, Surua, Kifaduro na Polio".
Amesema ni kweli Tanzania ikikataa Chanjo inaweza kuwekewa zuio la kwenda Ulaya. Ameeleza, "Tunakabiliwa na uchaguzi mbaya sana, tuchanjwe kitu tusichokijua sawa sawa au tusichanjwe tuzuiwe kwenda Ulaya".
Ameiomba Wizara ya Afya kuangalia suala la Chanjo kwa umakini, akisema waangalie madhara ya sasa, ya siku zijazo na ya Taifa. Ameongeza kuwa, tatizo lililopo ni kufikiri kila kinachotoka Ulaya kinafaa.
Amesema, "Before we venture into what kind of vaccine we should take, tunatakiwa tuwe na wataalamu wetu wa hapa".
Jamaa anapotosha sana aisee, sijui ni kwa faida ya naniJamani US wameanza mchakato wa kuomba patent zilegezwe ili manufacturers wa chanjo waongezeke.
Sasa nilitegemea wabunge waombe serikali ipewe patent ili tuwe na pattern zote sie tutengeneze chanjo yetu. Sie tumekalia kulalamika tu na kukosoa chanjo kila siku.
Kwani nani amekataza waTZ kuwa na chanjo yetu? China wanatumia chanjo za UK? mbona EU haijawekea vikwazo nchi yao?
Huyu jamaa toka apotoshe eti 5G ndio inaleta Covid 19 na akaahidi Covid 19 itaishia kenya haitowahi tua Dar najiuliza nani bado anamuamini?? Kama nabii tu hawezi kupatia ubashiri je hta uchambuzi tu ndio ataweza.
Masuala ya kitaaluma tuachie wataalam ni hatari sana HKL kujadili epidemiology
COVID-19 ilikuwepo Kenya 🇰🇪, Uganda 🇺🇬, Rwanda 🇷🇼 na nchi nyingine zinazotuzunguka na ulimwenguni kote.Nadhani chanjo huwa haijalishi ugonjwa upo au hamna.... Ni kama homa ya manjano tu huwa tunapigwa chanjo kila miaka 10 whether ugonjwa upo ama lah.
That said issue hapa ni kuomba patent tutengeneze za kwetu kukosoa tu na kejeli za bungeni kwa chanjo za mabeberu ni kujidhalilisha tu.
Kama hawaziamini ni rahisi tu tuombe leseni tutengeneze za kwetu maana tumeshindwa kubuni yetu. Tuache kujificha kwenye madhaifu ya chanjo za wenzetu
1. Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania?Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima ametaka kuwepo umakini wa kuchagua Chanjo dhidi ya Ugonjwa wa COVID-19. Amesema hayo akiwa Bungeni Dodoma leo wakati wa Mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Afya iliyowasilishwa na Waziri Dorothy Gwajima.
Amefafanua, "Mimi sipo kinyume na Chanjo za Corona wala Chanjo yoyote. Mtu asininukuu napinga Chanjo, hapana! Tanzania tulishachanjwa Chanjo ya Kifua Kikuu, Surua, Kifaduro na Polio".
Amesema ni kweli Tanzania ikikataa Chanjo inaweza kuwekewa zuio la kwenda Ulaya. Ameeleza, "Tunakabiliwa na uchaguzi mbaya sana, tuchanjwe kitu tusichokijua sawa sawa au tusichanjwe tuzuiwe kwenda Ulaya".
Ameiomba Wizara ya Afya kuangalia suala la Chanjo kwa umakini, akisema waangalie madhara ya sasa, ya siku zijazo na ya Taifa. Ameongeza kuwa, tatizo lililopo ni kufikiri kila kinachotoka Ulaya kinafaa.
Amesema, "Before we venture into what kind of vaccine we should take, tunatakiwa tuwe na wataalamu wetu wa hapa".
Mimi niko mkoa wa Shinyanga kama QUARANTINE, kwa muda sasa tangu mlipuko wa COVID-19 umetangazwa rasmi.Mbona wewe hujapukutika?
Hivi hawa wanaotaka tufanyiwe chanjo si ndio wale wajukuu wa Karl peters aliye mtapeli babu yetu Mangungo?Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima ametaka kuwepo umakini wa kuchagua Chanjo dhidi ya Ugonjwa wa COVID-19. Amesema hayo akiwa Bungeni Dodoma leo wakati wa Mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Afya iliyowasilishwa na Waziri Dorothy Gwajima.
Amefafanua, "Mimi sipo kinyume na Chanjo za Corona wala Chanjo yoyote. Mtu asininukuu napinga Chanjo, hapana! Tanzania tulishachanjwa Chanjo ya Kifua Kikuu, Surua, Kifaduro na Polio".
Amesema ni kweli Tanzania ikikataa Chanjo inaweza kuwekewa zuio la kwenda Ulaya. Ameeleza, "Tunakabiliwa na uchaguzi mbaya sana, tuchanjwe kitu tusichokijua sawa sawa au tusichanjwe tuzuiwe kwenda Ulaya".
Ameiomba Wizara ya Afya kuangalia suala la Chanjo kwa umakini, akisema waangalie madhara ya sasa, ya siku zijazo na ya Taifa. Ameongeza kuwa, tatizo lililopo ni kufikiri kila kinachotoka Ulaya kinafaa.
Amesema, "Before we venture into what kind of vaccine we should take, tunatakiwa tuwe na wataalamu wetu wa hapa".
Vipi hawajaripotiwa damu kuganda?Kuna watu wanachanjwa kimya kimya Nairobi na South Africa
Huko kote walikubali kuwa kuna ugonjwa wa COVID-19 na walishachukua hatua zote. Iweje kwa upande wa Tanzania 🇹🇿?Tuanza na kenya,Uganda, Rwanda, wezentu wameishapata chanjo vipi ni madhara yapi wamepata mpaka mda huu, alafu why tunaogopa Sana chanjo ya c 19 ali Hali hepatitis vaccine tunadungwa kila siku ,Busara itumike chanjo zije anaetaka achanje asietaka Basi,
Hakika, amemzidi Mdee kwa kujenga hoja japo sikitaka ashinde na hakushinda pia ila alitangazwa kashindaJamaa amebaki kuwa a real member of parliament,
Mkuu ni haki yao kutafuta dawa/chanjo sehemu yeyote ilimradi hawazunji sheria za Nchi.Kuna watu wanachanjwa kimya kimya Nairobi na South Africa
Mwendazake kapiga nyungu lakini bado kafa kama panya buku. Endelea kumsikia Porn Star mwenye Kanisa la misukuleChanjo yetu ya nyungo ilikuwa the best medically and psychologically. Kwani hatukuwa na fatalities nyingi na pia social interactions ziliendelea kama kawaida. That was the best vaccination ever
Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima ametaka kuwepo umakini wa kuchagua Chanjo dhidi ya Ugonjwa wa COVID-19. Amesema hayo akiwa Bungeni Dodoma leo wakati wa Mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Afya iliyowasilishwa na Waziri Dorothy Gwajima.
Amefafanua, "Mimi sipo kinyume na Chanjo za Corona wala Chanjo yoyote. Mtu asininukuu napinga Chanjo, hapana! Tanzania tulishachanjwa Chanjo ya Kifua Kikuu, Surua, Kifaduro na Polio".
Amesema ni kweli Tanzania ikikataa Chanjo inaweza kuwekewa zuio la kwenda Ulaya. Ameeleza, "Tunakabiliwa na uchaguzi mbaya sana, tuchanjwe kitu tusichokijua sawa sawa au tusichanjwe tuzuiwe kwenda Ulaya".
Ameiomba Wizara ya Afya kuangalia suala la Chanjo kwa umakini, akisema waangalie madhara ya sasa, ya siku zijazo na ya Taifa. Ameongeza kuwa, tatizo lililopo ni kufikiri kila kinachotoka Ulaya kinafaa.
Amesema, "Before we venture into what kind of vaccine we should take, tunatakiwa tuwe na wataalamu wetu wa hapa".
Kama kuna mtu hapaswi kuwa kwenye vyeo vya kisiasa basi ni Askofu Gwajima. Huyu mtu ni toxic. Amewapumbaza waumini wake vibaya sana, huwa wanakaa na maiti hadi siku 3 wakiamini Gwajima atawafufua. Halafu anafanya biashara ya madawa ya kulevya.Wapuuziaji watampinga.
Nazidi kuona maono mema ya Hayati Magufuli, alipambana sana Gwajima aingie bungeni. Jamaa yupo vizuri kichwani.
'Nileteeni Gwajima, Nileteeni Gwajima, Nileteeni Gwajimaaaaaaa!"