Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima: Nimewasaidia waislamu nikiwa siyo mwanasiasa nimewajengea visima msikiti wa Salasala na Makuti

Rashidi ni mjanja mjanja sana,ana kipaji cha kuongea na huo ni mtaji tosha kabisa kwenye siasa sehemu yeyote ile.
 
Amewatukana waislamu kwa kuita dini yao ya mpinga Kristo hafai.
 
Anasema ana jina la kiislam anaitwa Rashid au Cheed miuno feni.. kwa akili yake anafikiri kila jina lenye asili ya kiarabu ni la kiislamu
 
Rashiboy

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Anahisi waislamu ni wajingawajinga kama misukule yake amayoisalisha ibada kwenye banda la nguruwe.
Hata kardinali Pengo amemuwekea Josephat Gwajima mikono kichwani ili akawe mbunge wa Kawe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…