#COVID19 Askofu Gwajima: Nitabaki risasi ya mwisho kwenye uwanja wa vita, kuchanjwa wengine tumekataa

#COVID19 Askofu Gwajima: Nitabaki risasi ya mwisho kwenye uwanja wa vita, kuchanjwa wengine tumekataa

Ibada inaendelea.

Askofu Gwajima amesema kamati ya Corona ilipendekeza wananchi washawishiwe na serikali kuvhagua kuchanjwa ama LA na yeye Gwajima amechagua LA niko sahihi.

Rais Samia amechagua kuchanja naye yuko sahihi.

Msinigombanishe na mwenyekiti wangu wa chama.

Hahaahaaa si alisema hivi:


Kasahau? Wote baba mmoja mama mmoja. Si katelefoni, si Jaffo, mimacho, si Dkt. Gwajima nk

Kazi ipo.
 
Duuuh kweli kazi wanayo na huyo ndugu yake. Unaendeleaje lakini mke wangu?
Nipo poa kabisa mme wangu. Ninamsikiliza Gwajiboy hapa. Anauma huku anapuliza. Anaogopa kufukuzwa ndani ya chama. Maana anamsifia sana Samia.
 
Nipo poa kabisa mme wangu. Ninamsikiliza Gwajiboy hapa. Anauma huku anapuliza. Anaogopa kufukuzwa ndani ya chama. Maana anamsifia sana Samia.

Anajua akisimamia msimamo wake wake atabambikiwa kesi ya ugaidi au madawa ya kulevya.
 
Ibada inaendelea.

Askofu Gwajima amesema kamati ya Corona ilipendekeza wananchi washawishiwe na serikali kuvhagua kuchanjwa ama LA na yeye Gwajima amechagua LA niko sahihi.

Rais Samia amechagua kuchanja naye yuko sahihi.

Msinigombanishe na mwenyekiti wangu wa chama.
========

Josephat Gwajima: Viongozi wanaoangalia kuweni makini, kuna wachonganishi hapa. Mimi naweka msimamo nchi iwe salama, watanzania wawe na afya, chama changu kipite salama.

Kanisa ambalo halina ufumbuzi dhidi ya Korona, litoeni msaada liwe hospitali, sasa la nini?

Mimi nawaza, wakakupima joto likawa juu, wanakwambia uingie usiingie? Sasa wale walioingia wanaombewa? Ni kashfa kwenye ufamlme wa Yesu kubwa sana.

Nitabaki risasi ya mwisho kwenye uwanja wa vita, mimi wa kwanza kuweka mguu uwanja wa mapambano na nitakuwa wa mwisho kuondoa. I will not quit from the battle front, Never.

Hii nchi sasa hivi, Rais wake ni mama Samia Suluhu Hassan, Mungu ndio kamchagua. Biblia inasema hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu, lazima tumsupport.

Ni Rais anaetawala wakati mgumu sana kuliko wowote, kwanza kuna Rais mwingine alikuwa anaelekea hivi, bwana John alikuwa ana tabia zake. Wale ambao hamjajua, John alikuwa akikupigia simu, utafikiri kuzimu imefunguliwa leo. Kuna watu wengine wanasema tu Magufuli Magufuli, Magufuli alikuwa akikupigia simu unasema Mungu wangu, utafikiri kiama imeanza, akiongea anaongea kwa Mamlaka, akikupigia simu anajua vyote.

Huyo ameshaondoka, tuangalie nchi yetu na hatima yetu kwasasa. Tumwambie maam Samia tunakubeba twende na wewe, tupeleke ila tumesema, kuchanjwa wengine tumekataa, wengine wamekubali lakini mama twende.
Natabiri Askofu Rashidi Covid-19 itasema nae na Kumalizana nae kama ilivyofanya Kwa Marehemu Dikteta Mwendazake
 
Ipo siku CHIFU MANGUNGO ataonekana shujaa kwa kuuza watu wake kuliko kizazi hiki kinachokubali kupigwa SUMU kwa hiyari yao
Hapo unapoandika una bonge la ndui begani, chanjo sijui za pepopunda, kifua kikuu mwilini halafu unaleta za kuleta!
 
Ibada inaendelea.

Askofu Gwajima amesema kamati ya Corona ilipendekeza wananchi washawishiwe na serikali kuvhagua kuchanjwa ama LA na yeye Gwajima amechagua LA niko sahihi.

Rais Samia amechagua kuchanja naye yuko sahihi.

Msinigombanishe na mwenyekiti wangu wa chama.
========

Josephat Gwajima: Viongozi wanaoangalia kuweni makini, kuna wachonganishi hapa. Mimi naweka msimamo nchi iwe salama, watanzania wawe na afya, chama changu kipite salama.

Kanisa ambalo halina ufumbuzi dhidi ya Korona, litoeni msaada liwe hospitali, sasa la nini?

Mimi nawaza, wakakupima joto likawa juu, wanakwambia uingie usiingie? Sasa wale walioingia wanaombewa? Ni kashfa kwenye ufamlme wa Yesu kubwa sana.

Nitabaki risasi ya mwisho kwenye uwanja wa vita, mimi wa kwanza kuweka mguu uwanja wa mapambano na nitakuwa wa mwisho kuondoa. I will not quit from the battle front, Never.

Hii nchi sasa hivi, Rais wake ni mama Samia Suluhu Hassan, Mungu ndio kamchagua. Biblia inasema hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu, lazima tumsupport.

Ni Rais anaetawala wakati mgumu sana kuliko wowote, kwanza kuna Rais mwingine alikuwa anaelekea hivi, bwana John alikuwa ana tabia zake. Wale ambao hamjajua, John alikuwa akikupigia simu, utafikiri kuzimu imefunguliwa leo. Kuna watu wengine wanasema tu Magufuli Magufuli, Magufuli alikuwa akikupigia simu unasema Mungu wangu, utafikiri kiama imeanza, akiongea anaongea kwa Mamlaka, akikupigia simu anajua vyote.

Huyo ameshaondoka, tuangalie nchi yetu na hatima yetu kwasasa. Tumwambie maam Samia tunakubeba twende na wewe, tupeleke ila tumesema, kuchanjwa wengine tumekataa, wengine wamekubali lakini mama twende.
Siyo kwamba kazi ya urais imekuwa ngumu ghafla rais Samia alipoingia madarakani isipokuwa hii feverish political climate inatokea kwa sababu rais ni reckless and incompetent.
 
Huku chanjo, kule CDC inatoa maelekezo mapya kua hata kama umechanjwa vaa barakoa iwe nje ama ndani, social distance kama kawaida na sanitize.

Serikali inategemea kuchanja watu 12M, tutanye hii chanjo ni effective na salama 100%, lakini bado wanasema wataalam kua bado hata kama umechanjwa unaweza kuambukizwa ila hutapata matatizo makubwa kama ambae hajaambukizwa, sasa kuchanja 12M people unaacha 48M hawajachanjwa, maana yake hawa 48M wanaweza kuwaambukiza hawa 12M waliochanjwa na bado nchi nzima ikawa na covid.

Hii covid na chanjo issue bado ni sarakasi zisizo na maana.
Hakuna sarakasi, chanjo haizuii Corona tumeishaambiwa hivyo. What it does is kupunguza athari ambazo ungepata iwapo utaambukizwa Corona tofauti na mtu ambaye hajachanjwa. Ndio maana wanasema ni hiari wewe mwenyewe utaona, na Serikali imetoa kipaumbele kwa wazee, na wenye magonjwa sugu coz haya makundi ndio wakipaga Corona inawasumbu sana to death.
 
Hakuna sarakasi, chanjo haizuii Corona tumeishaambiwa hivyo. What it does is kupunguza athari ambazo ungepata iwapo utaambukizwa Corona tofauti na mtu ambaye hajachanjwa. Ndio maana wanasema ni hiari wewe mwenyewe utaona, na Serikali imetoa kipaumbele kwa wazee, na wenye magonjwa sugu coz haya makundi ndio wakipaga Corona inawasumbu sana to death.
Sasa kama haizuii corona unachanja ili iweje?

Nimechaja homa ya ini, I am done with that once and forever, siwezi kuambukizwa homa ya ini wala kuathirika na homa ya inni hadi nakufa.

Sasa hii ya kuambiwa utajikwa lakini hata ukianguka hutaumia ni usanii mtupu. Unajua nitaangukia nini?

Huko ulaya cases za walio chanjwa kuugua n kufariki kwa covid zinaongezeka kila siku.

Hapo wanasema December kutakua na wave 4, inaweza kua dangerous kuliko hii Delta, je hizi chanjo zitaweza? Tusubiri tuone.
 
Ibada inaendelea.

Askofu Gwajima amesema kamati ya Corona ilipendekeza wananchi washawishiwe na serikali kuvhagua kuchanjwa ama LA na yeye Gwajima amechagua LA niko sahihi.

Rais Samia amechagua kuchanja naye yuko sahihi.

Msinigombanishe na mwenyekiti wangu wa chama.
========

Josephat Gwajima: Viongozi wanaoangalia kuweni makini, kuna wachonganishi hapa. Mimi naweka msimamo nchi iwe salama, watanzania wawe na afya, chama changu kipite salama.

Kanisa ambalo halina ufumbuzi dhidi ya Korona, litoeni msaada liwe hospitali, sasa la nini?

Mimi nawaza, wakakupima joto likawa juu, wanakwambia uingie usiingie? Sasa wale walioingia wanaombewa? Ni kashfa kwenye ufamlme wa Yesu kubwa sana.

Nitabaki risasi ya mwisho kwenye uwanja wa vita, mimi wa kwanza kuweka mguu uwanja wa mapambano na nitakuwa wa mwisho kuondoa. I will not quit from the battle front, Never.

Hii nchi sasa hivi, Rais wake ni mama Samia Suluhu Hassan, Mungu ndio kamchagua. Biblia inasema hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu, lazima tumsupport.

Ni Rais anaetawala wakati mgumu sana kuliko wowote, kwanza kuna Rais mwingine alikuwa anaelekea hivi, bwana John alikuwa ana tabia zake. Wale ambao hamjajua, John alikuwa akikupigia simu, utafikiri kuzimu imefunguliwa leo. Kuna watu wengine wanasema tu Magufuli Magufuli, Magufuli alikuwa akikupigia simu unasema Mungu wangu, utafikiri kiama imeanza, akiongea anaongea kwa Mamlaka, akikupigia simu anajua vyote.

Huyo ameshaondoka, tuangalie nchi yetu na hatima yetu kwasasa. Tumwambie maam Samia tunakubeba twende na wewe, tupeleke ila tumesema, kuchanjwa wengine tumekataa, wengine wamekubali lakini mama twende.
Bwana John akikupigia simu ilikuaje?
 
Back
Top Bottom