johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
Alisema wapi na lini?Alisema viongozi walioamua kuchanja akili zao zimeenda likizo, sasa nani anamchonganisha na mwenyekiti wake🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisema wapi na lini?Alisema viongozi walioamua kuchanja akili zao zimeenda likizo, sasa nani anamchonganisha na mwenyekiti wake🤣
1. Josephat ni msukumaKimsingi Dorothy ni mke wa mdogo wake askofu Gwajima!
Ibada inaendelea.
Askofu Gwajima amesema kamati ya Corona ilipendekeza wananchi washawishiwe na serikali kuvhagua kuchanjwa ama LA na yeye Gwajima amechagua LA niko sahihi.
Rais Samia amechagua kuchanja naye yuko sahihi.
Msinigombanishe na mwenyekiti wangu wa chama.
Nipo poa kabisa mme wangu. Ninamsikiliza Gwajiboy hapa. Anauma huku anapuliza. Anaogopa kufukuzwa ndani ya chama. Maana anamsifia sana Samia.Duuuh kweli kazi wanayo na huyo ndugu yake. Unaendeleaje lakini mke wangu?
Nipo poa kabisa mme wangu. Ninamsikiliza Gwajiboy hapa. Anauma huku anapuliza. Anaogopa kufukuzwa ndani ya chama. Maana anamsifia sana Samia.
Kitendo cha kutamka hamzuii mtu kudungwa basi kesha legea katiwa kibano offline kalegea kabisa na kesho atadungwa@paskali mayalaYou turn yake iko wapi hapo?
Natabiri Askofu Rashidi Covid-19 itasema nae na Kumalizana nae kama ilivyofanya Kwa Marehemu Dikteta MwendazakeIbada inaendelea.
Askofu Gwajima amesema kamati ya Corona ilipendekeza wananchi washawishiwe na serikali kuvhagua kuchanjwa ama LA na yeye Gwajima amechagua LA niko sahihi.
Rais Samia amechagua kuchanja naye yuko sahihi.
Msinigombanishe na mwenyekiti wangu wa chama.
========
Josephat Gwajima: Viongozi wanaoangalia kuweni makini, kuna wachonganishi hapa. Mimi naweka msimamo nchi iwe salama, watanzania wawe na afya, chama changu kipite salama.
Kanisa ambalo halina ufumbuzi dhidi ya Korona, litoeni msaada liwe hospitali, sasa la nini?
Mimi nawaza, wakakupima joto likawa juu, wanakwambia uingie usiingie? Sasa wale walioingia wanaombewa? Ni kashfa kwenye ufamlme wa Yesu kubwa sana.
Nitabaki risasi ya mwisho kwenye uwanja wa vita, mimi wa kwanza kuweka mguu uwanja wa mapambano na nitakuwa wa mwisho kuondoa. I will not quit from the battle front, Never.
Hii nchi sasa hivi, Rais wake ni mama Samia Suluhu Hassan, Mungu ndio kamchagua. Biblia inasema hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu, lazima tumsupport.
Ni Rais anaetawala wakati mgumu sana kuliko wowote, kwanza kuna Rais mwingine alikuwa anaelekea hivi, bwana John alikuwa ana tabia zake. Wale ambao hamjajua, John alikuwa akikupigia simu, utafikiri kuzimu imefunguliwa leo. Kuna watu wengine wanasema tu Magufuli Magufuli, Magufuli alikuwa akikupigia simu unasema Mungu wangu, utafikiri kiama imeanza, akiongea anaongea kwa Mamlaka, akikupigia simu anajua vyote.
Huyo ameshaondoka, tuangalie nchi yetu na hatima yetu kwasasa. Tumwambie maam Samia tunakubeba twende na wewe, tupeleke ila tumesema, kuchanjwa wengine tumekataa, wengine wamekubali lakini mama twende.
Utasubiri sana bwashee!Natabiri Askofu Rashidi Covid-19 itasema nae na Kumalizana nae kama ilivyofanya Kwa Marehemu Dikteta Mwendazake
Mbona gwajiz anapandisha mori au na yeye ameshakuwa masai?
Kumbe dhalimu wako ana wafuasi kwa mamilioni hapa tz?Sio mawazo mbadala, sema mitazamo ya yule dhalimu.
Hapo unapoandika una bonge la ndui begani, chanjo sijui za pepopunda, kifua kikuu mwilini halafu unaleta za kuleta!Ipo siku CHIFU MANGUNGO ataonekana shujaa kwa kuuza watu wake kuliko kizazi hiki kinachokubali kupigwa SUMU kwa hiyari yao
Siyo kwamba kazi ya urais imekuwa ngumu ghafla rais Samia alipoingia madarakani isipokuwa hii feverish political climate inatokea kwa sababu rais ni reckless and incompetent.Ibada inaendelea.
Askofu Gwajima amesema kamati ya Corona ilipendekeza wananchi washawishiwe na serikali kuvhagua kuchanjwa ama LA na yeye Gwajima amechagua LA niko sahihi.
Rais Samia amechagua kuchanja naye yuko sahihi.
Msinigombanishe na mwenyekiti wangu wa chama.
========
Josephat Gwajima: Viongozi wanaoangalia kuweni makini, kuna wachonganishi hapa. Mimi naweka msimamo nchi iwe salama, watanzania wawe na afya, chama changu kipite salama.
Kanisa ambalo halina ufumbuzi dhidi ya Korona, litoeni msaada liwe hospitali, sasa la nini?
Mimi nawaza, wakakupima joto likawa juu, wanakwambia uingie usiingie? Sasa wale walioingia wanaombewa? Ni kashfa kwenye ufamlme wa Yesu kubwa sana.
Nitabaki risasi ya mwisho kwenye uwanja wa vita, mimi wa kwanza kuweka mguu uwanja wa mapambano na nitakuwa wa mwisho kuondoa. I will not quit from the battle front, Never.
Hii nchi sasa hivi, Rais wake ni mama Samia Suluhu Hassan, Mungu ndio kamchagua. Biblia inasema hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu, lazima tumsupport.
Ni Rais anaetawala wakati mgumu sana kuliko wowote, kwanza kuna Rais mwingine alikuwa anaelekea hivi, bwana John alikuwa ana tabia zake. Wale ambao hamjajua, John alikuwa akikupigia simu, utafikiri kuzimu imefunguliwa leo. Kuna watu wengine wanasema tu Magufuli Magufuli, Magufuli alikuwa akikupigia simu unasema Mungu wangu, utafikiri kiama imeanza, akiongea anaongea kwa Mamlaka, akikupigia simu anajua vyote.
Huyo ameshaondoka, tuangalie nchi yetu na hatima yetu kwasasa. Tumwambie maam Samia tunakubeba twende na wewe, tupeleke ila tumesema, kuchanjwa wengine tumekataa, wengine wamekubali lakini mama twende.
Hakuna sarakasi, chanjo haizuii Corona tumeishaambiwa hivyo. What it does is kupunguza athari ambazo ungepata iwapo utaambukizwa Corona tofauti na mtu ambaye hajachanjwa. Ndio maana wanasema ni hiari wewe mwenyewe utaona, na Serikali imetoa kipaumbele kwa wazee, na wenye magonjwa sugu coz haya makundi ndio wakipaga Corona inawasumbu sana to death.Huku chanjo, kule CDC inatoa maelekezo mapya kua hata kama umechanjwa vaa barakoa iwe nje ama ndani, social distance kama kawaida na sanitize.
Serikali inategemea kuchanja watu 12M, tutanye hii chanjo ni effective na salama 100%, lakini bado wanasema wataalam kua bado hata kama umechanjwa unaweza kuambukizwa ila hutapata matatizo makubwa kama ambae hajaambukizwa, sasa kuchanja 12M people unaacha 48M hawajachanjwa, maana yake hawa 48M wanaweza kuwaambukiza hawa 12M waliochanjwa na bado nchi nzima ikawa na covid.
Hii covid na chanjo issue bado ni sarakasi zisizo na maana.
Daudi alimtumikia MUNGU na bado alikuwa mwanasiasaHuwezi kutumikia mabwana wawili... Imeandikwa
Mtu na shemeji yakeGwajima (PhD) na Dorothy Gwajima (Dr) Hawa watu ni ndugu ?
Mwl wewe uko na maneno2021 akiwa kanisani (kijiweni) kwake alisema "Tanzania hakuna corona, mtu akikuambia una corona mwambie corona anayo baba yako..." Na kweli ikaondoka na baba 😁
Sasa kama haizuii corona unachanja ili iweje?Hakuna sarakasi, chanjo haizuii Corona tumeishaambiwa hivyo. What it does is kupunguza athari ambazo ungepata iwapo utaambukizwa Corona tofauti na mtu ambaye hajachanjwa. Ndio maana wanasema ni hiari wewe mwenyewe utaona, na Serikali imetoa kipaumbele kwa wazee, na wenye magonjwa sugu coz haya makundi ndio wakipaga Corona inawasumbu sana to death.
Anaitwa Wakili Msomi Methusela Gwajima, mme wa waziri mapepe!Mdogo wake Gwajima (PhD) anaitwa nani?
Bwana John akikupigia simu ilikuaje?Ibada inaendelea.
Askofu Gwajima amesema kamati ya Corona ilipendekeza wananchi washawishiwe na serikali kuvhagua kuchanjwa ama LA na yeye Gwajima amechagua LA niko sahihi.
Rais Samia amechagua kuchanja naye yuko sahihi.
Msinigombanishe na mwenyekiti wangu wa chama.
========
Josephat Gwajima: Viongozi wanaoangalia kuweni makini, kuna wachonganishi hapa. Mimi naweka msimamo nchi iwe salama, watanzania wawe na afya, chama changu kipite salama.
Kanisa ambalo halina ufumbuzi dhidi ya Korona, litoeni msaada liwe hospitali, sasa la nini?
Mimi nawaza, wakakupima joto likawa juu, wanakwambia uingie usiingie? Sasa wale walioingia wanaombewa? Ni kashfa kwenye ufamlme wa Yesu kubwa sana.
Nitabaki risasi ya mwisho kwenye uwanja wa vita, mimi wa kwanza kuweka mguu uwanja wa mapambano na nitakuwa wa mwisho kuondoa. I will not quit from the battle front, Never.
Hii nchi sasa hivi, Rais wake ni mama Samia Suluhu Hassan, Mungu ndio kamchagua. Biblia inasema hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu, lazima tumsupport.
Ni Rais anaetawala wakati mgumu sana kuliko wowote, kwanza kuna Rais mwingine alikuwa anaelekea hivi, bwana John alikuwa ana tabia zake. Wale ambao hamjajua, John alikuwa akikupigia simu, utafikiri kuzimu imefunguliwa leo. Kuna watu wengine wanasema tu Magufuli Magufuli, Magufuli alikuwa akikupigia simu unasema Mungu wangu, utafikiri kiama imeanza, akiongea anaongea kwa Mamlaka, akikupigia simu anajua vyote.
Huyo ameshaondoka, tuangalie nchi yetu na hatima yetu kwasasa. Tumwambie maam Samia tunakubeba twende na wewe, tupeleke ila tumesema, kuchanjwa wengine tumekataa, wengine wamekubali lakini mama twende.