Askofu Gwajima: Sasa ni wakati wa kumsupport Rais Samia, huyu ni Joshua wetu ukiangalia nyuma utakula risasi

Askofu Gwajima ametokea Chadema!
 


Huyu askofu fake mbona hafufui viongozi wetu kama anavyotapeli kuwa anafufua watu!
 
😂😂😂😂🤣🤣
Jamaa huyu msanii sana, anangalia upepo unapovumia na yeye kujifanya ni part and parcel ya upepo au kujifanya yeye ndiye chanzo cha upepo - kama hujamsoma vizuri kisaikilojia unaweza kufikiri ana busara kuliko Mfalme Suleiman kwenye simulizi za agano la kale - binafsi namushauri Rais S.S. Hassan awe makini na binadamu wa design za jamaa kama hawa ambao ni seasoned orators, msikilize alright lakini mwisho wa siku wewe uongozwe na your inbuilt instict aligorithms za kukusaidia to separate the wheat from the chaff. Siwasemi vibaya lakini ni vizuri ukiwa makini nao,watakusifia,watakupamba pamba na wakati mwingine ku-manufacture sifa za ziada ambazo hazina ukweli wowote zaidi ya kujipendekeza tu - typical Homo Sapeins Sapeins.
 
Ile system ya kupayuka "Nileteeni gwajima" akaja imepitwa na wakati sasa kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake
 
Mnafiq na mzandiki mkubwa, intarehamwe wa kisukuma hafai kabisa huyu mbilikimo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…