Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashauri Mama Samia amfukuze huyu taperi Gwajiboy mpuuzi kabisa alimdanganya Marehemu aipuuze Corona na Marehemu akamsikiliza now kadedi amemvamia Mama Samia amefikia kumuita Joshua Gwajiboy ni lipumbavu furani lipuuzwe ikiwezekana kamati ya Nec imvue uanachama achague Siasa au Kanisa fisi mwenye Tamaa hupasuka Msamba.Askofu Gwajima amesema sasa ni wakati wa kumsupport Rais Samia kama tulivyomsupport hayati Magufuli kwa sababu mama Samia atayatimiza ya Magufuli tena atafanya zaidi tayari.
Askofu Gwajima amesema Kanisa la ufufuo na uzima linamuunga mkono mama Samia kwa 100% kwa sababu huyu ni Joshua, yaani version nyingine ya John Magufuli.
Chanzo: Chomoza TV
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23]Huyu akisikia maslahi ni kuwa Muislamu anajiita Rashid, akisikia maslahi ni kuwa mwanamke anajiita Neema.
Msukuma gani mfupi hivyo,huyu atakuwa MhutuSijui kwa usanii wake huyu Raisi atakuwa na muda naye!
Mara anafufua!!
Mara ankemea,
Mara anatokea kwa clip mbofu mbofu!
Mara aseme kifo cha Maalim ni kawaida!!
Hapitwi na kitu
Mara amfifiro,
Mara hakuna Corona
Mara chanjo!!
Msukuma huyu?
Askofu wa wajinga amepata pigo nzito.Askofu Gwajima amesema sasa ni wakati wa kumsupport Rais Samia kama tulivyomsupport hayati Magufuli kwa sababu mama Samia atayatimiza ya Magufuli tena atafanya zaidi tayari.
Askofu Gwajima amesema Kanisa la ufufuo na uzima linamuunga mkono mama Samia kwa 100% kwa sababu huyu ni Joshua, yaani version nyingine ya John Magufuli.
Chanzo: Chomoza TV