Askofu Gwajima: Siasa ni kipaji siyo akili za darasani. Ya siasani hayapelekwi kwenye dini ila kinyume chake ni sahihi

Askofu Gwajima: Siasa ni kipaji siyo akili za darasani. Ya siasani hayapelekwi kwenye dini ila kinyume chake ni sahihi

Huyu Rashid si alidai RC maarufu wa Dar hana vyeti na alivyonavyo ni batili?
Ilikuaje alete mambo ya elimu kwenye siasa wakati ule?
 
Siasa sio talanta bali ni elimu, kwa kuthibitisha hilo ccm wana chuo kinachotoa mafunzo ya kisiasa pale kivukoni acha kudanganya watu, nenda kawadanganye wasukuma
Askofu Gwajima amesema mtu kuwa mwanasiasa mahiri hakuhitaji kwenda darasani kwani uanasiasa ni kipaji " taranta"
Siasa ni swala zima la kuwaletea watu maendeleo ikiwemo maji, umeme, elimu na Huduma za afya na kuyaweza hayo siyo lazima uwende darasani, amesisitiza.

Askofu Gwajima pia amesema kuna tofauti kati ya majukwaa ya kidini na majukwaa ya kisiasa na kwamba mambo ya kisiasa huwezi kuyapeleka kwenye imani za watu ( dini) lakini mafundisho ya dini unaweza kuyapeleka kwenye siasa ili watu wawe na amani na upendo utamalaki.

Source Channel ten!

Maendeleo hayana vyama!
 
Siasa sio talanta bali ni elimu, kwa kuthibitisha hilo ccm wana chuo pale kivukoni acheni kudanganya watu
Kibajaji na Musukuma wamesoma wapi siasa?

Na hao ndio wabunge maarufu kuliko wote kwenye bunge la Ndugai!
 
Askofu Gwajima amesema mtu kuwa mwanasiasa mahiri hakuhitaji kwenda darasani kwani uanasiasa ni kipaji " taranta" Siasa ni swala zima la kuwaletea watu maendeleo ikiwemo maji, umeme, elimu na Huduma za afya na kuyaweza hayo siyo lazima uwende darasani, amesisitiza.

Askofu Gwajima pia amesema kuna tofauti kati ya majukwaa ya kidini na majukwaa ya kisiasa na kwamba mambo ya kisiasa huwezi kuyapeleka kwenye imani za watu ( dini) lakini mafundisho ya dini unaweza kuyapeleka kwenye siasa ili watu wawe na amani na upendo utamalaki.

Chanzo: Channel ten!

Maendeleo hayana vyama!
Ni ajabu kwamba Gwajima anataka kuwa mbunge....sijui nani atamchagua mtu kama huyu.
 
Nenda msikiti wa Salasala ukashuhudie bwashee!
Baswheee misikiti mingi ina maji kwa hapa dar na nje ya dar maana kuna waislam kutoka nchi za uarabuni wamesupport ,kama unajua weka bango la kisima kilichochimbwa kwa msaada wa gwjima tuone.
 
Rashid acha hizo porojo, huwezi kufanya siasa zenye mantinki bila kukanyaga darasani labda unaongelea siasa za kipindi cha ujima
 
Yuko kifalsafa zaidi!
Hakuna falsafa hapo maana yake.

Ameshaona kashindwa so anajirudi kanisa kwake kiaina so anawahasa waumini wake (mazombi) kuwa yote yaliyofunuliwa kwenye siasa wayaache.

Kumbuka alishawakana kuwa yeye ni shehe Rashidi gwajima.

Mtaka yote kwa pupa hukosa yote - time will tell.

By the way Joh karibu tumoe kura Mwamba Lisu he is a victor.
Screenshot_20201023-075055.jpg
Screenshot_20201023-075118.jpg


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom