Askofu Gwajima: Tanzania hatufungamani na upande wowote

Askofu Gwajima: Tanzania hatufungamani na upande wowote

Mjinga huyu. Hivi anajua maana ya siasa za kutofungana na upande wowote? Anajua chanzo chake na zilikuwa na malengo gani? Anadhani zinakuwa applicable kwa migogoro yote ya dunia? Mwambieni huyu mcheza porn asome hapa ajue maana yake ni nini
All in all,

Msimamo wa Askofu Gwajima uko kitaifa na kizalendo zaidi kuliko msimamo wa Tundu Lissu.
 
Katika hili, Lissu hakuonyesha Uzalendo Kwa Ndugu zetu waliouwawa Watanzania wenzetu.
Nyie mambumbumbu wala hamjui maana ya siasa za kutofungana na upande wowote. Nyerere alikuwa anawa-support wapalestina wakati nchi yetu ilikuwa kwenye non-aligned movement.
 
All in all,

Msimamo wa Askofu Gwajima uko kitaifa na kizalendo zaidi kuliko msimamo wa Tundu Lissu.
Hujui kitu wewe. Msimamo wa Lissu ndiyo msimamo wa nchi yetu tangu enzi za Nyerere. Nyie mliosomea shule za kata haya mambo hamuwezi kuyajua.
 
Sera ninayoikubali ni ya marekani , hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu ila kuna maslai ya kudumu.
Sera za Upepari haziangalii UTU, ndomana wanatengeza magonjwa na kuyaeneza duniani Kisha watakuja mlango ungine kutukopesha chanjo na madawa!!

Tanzania tupo katika msimamo mzuri nionavyo.
 
Nyie mambumbumbu wala hamjui maana ya siasa za kutofungana na upande wowote. Nyerere alikuwa anawa-support wapalestina wakati nchi yetu ilikuwa kwenye non-aligned movement.
Wapalestina Si Hamas!!

Hamas ni magaidi.

Bado msimamo wa Gwajima ni mzuri kuliko wa Lissu kutambua Hamas kama freedom fighters ilhali ni kikundi Cha ugaidi.
 
Sera za Upepari hauangalii UTU, ndomana wanatengeza magonjwa na kuyaeneza duniani Kisha watakuja mlango ungine kutukopesha chanjo na madawa!!

Tanzania tupo katika msimamo mzuri nionavyo.
Hauwezi kuwa taifa lenye nguvu bila sera za kipepari hii ipo ata kwenye maisha ya kawaida, ukitaka kufanikiwa lazima uwe bepari haswa.
 
Hauwezi kuwa taifa lenye nguvu bila sera za kipepari hii ipo ata kwenye maisha ya kawaida, ukitaka kufanikiwa lazima uwe bepari haswa.
Mungu hapendi hayo.

Upendo ni muhimu.
 
Fafanua, kivipi hakuhusika, weka pembeni unafiki!!
Nimependa umesema tuweke pembeni unafiki.ccm cheo cha umakamu huwa ni takataka tu.hawakuwah jua rais atafariki ccm haijawahi muwazs mama samia kuwa rais haikujiandaa.na hata kukaa pale walijitahidi sana kuzuia hope unajua jeshi liliingilia.kwenye duru za siasa za cc mama samia hajawahi kuwa na nguvu ni kwamba alikota dodo chini ya mnazi.
 
Salaam, Shalom!

Askofu Gwajima ambaye pia ni Askofu wa Makanisa ya Ufufuo na Uzima duniani kote, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la kawe, amerejea msimamo wa Tanzania tangu uhuru wa kutofungamana na upande wowote katika siasa za Dunia.

Ameeleza hayo akiwa ibadani wiki kadhaa zilizopita kuwa, vita hii ya Israel na Palestina kamwe sisi Watanzania tusiichukue kidini. Mungu ni MMOJA wa wote, wakristo, waislamu, wapagani nk nk.

Mungu angekuwa wa waislamu pekee, angewanyima Pumzi Wakristo, kadharika, angekuwa wa Wakristo pekee, au Wayahudi pekee, angewanyima Pumzi wengine,lakini Mungu hafungamani na upande wowote ndo sababu anatupenda wote.

Hivyo, Nchi yetu, kamwe tusiingie mtego wa kusimama na upande mmoja kuchukua upande katika vita hii, tuendelee kuunga mkono Amani na utulivu Mashariki ya kati.

Hatufungamani na siasa za Kimagharibi(West) Wala Mashariki (East).


Mwisho wa kunukuu.
,................................................................


Tumepoteza ndugu zetu wawili , Joshua na Clemence waliouwawa na Magaidi wa kikundi Cha Hamas.

Narudia, Hamas ni kikundi Cha magaidi, Si chama Cha siasa, maana kamwe, chama Cha siasa hakitumii silaha na kutumia Raia kama Kinga Yao kibita.Ndugu zetu wawili wameuwawa na Magaidi.

Wizara ya Mambo ya nje chini ya ndugu Makamba, itoke waziwazi kulaani kitendo Cha magaidi wa kikundi Cha Hamas kuua Watanzania wenzetu bila huruma, ikumbukwe kuwa Watanzania wenzetu hawakuwa askari, Bali raia, na SHERIA za kivita zote zinakataza kuua raia.

Ndugu Tundu Lissu aonyeshe Uzalendo Kwa Watanzania waliopoteza maisha Kwa kuuwawa na Magaidi wa kikundi Cha Hamas. Hamas wameua Watanzania wenzetu hivyo ni magaidi, na kamwe hawawezi kuwekwa kundi moja la wapigania uhuru kama Tundu Lisu alivyonukuliwa Juzi akitetea Hamas.

ANGALIZO: AMEBARIKIWA AIBARIKIYE ISRAEL, NA AMELAANIWA AILAANIYE ISRAEL.
Tanzania ni Mbarikiwa sana, shikamana na Israel uepuke LAANA.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA [emoji1241]

Mungu Mbariki Askofu Gwajima, mbunge wa kitaifa, Ameonyesha Dira ya nchi yetu tangu Uhuru.

Source: Josephat Gwajima, Rudisha TV.

Amen
Hata yale majini aliyokuwa akikemea (sii kwa sasa hivi) mbona nayo mungu hajayanyima pumzi?
Hapaswi kuchukua upande na ndivyo ilivyo kwa coward wote hawanaga upande.
Ila watu integrity wana upande na siku zote husimama upande wa haki bila kupepesa au kumungunya maneno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata yale majini aliyokuwa akikemea (sii kwa sasa hivi) mbona nayo mungu hajayanyima pumzi?
Hapaswi kuchukua upande na ndivyo ilivyo kwa coward wote hawanaga upande.
Ila watu integrity wana upande na siku zote husimama upande wa haki bila kupepesa au kumungunya maneno.

Sent using Jamii Forums mobile app
Upi msimamo Bora kati ya:

1. Kutaka mazungumzo ya kuhakikisha inapatikana Amani Mashariki ya kati.kwa kuzileta mezani pande zote wakati Nchi yetu ikiwa Haina upande-Gwajima.

2. Kuwatambua Hamas kama Freedom fighters - Lissu
 
Lissu hata hajui history, anadai Israel imejulikana 1948,

Akumbushwe kuwa, CHADEMA hawajawahi KURUDIA mgombea Urais, usisahau Hilo.
Lissu anachojua ni kutafuta umaarufu kwa gharama yoyote ile hata mfe wote. Lissu hana uzalendo wowote, ni mchumia tumbo, yuko tayari kuona nchi inaangamia kwa maslahi yake. Cha kushangaza kuna mazuzu yanamsapoti. Sishangai km mwanamke anaweza kujiita mfalme(Zumaridi) na akapata wafuasi?
 
Upi msimamo Bora kati ya:

1. Kutaka mazungumzo ya kuhakikisha inapatikana Amani Mashariki ya kati.kwa kuzileta mezani pande zote wakati Nchi yetu ikiwa Haina upande-Gwajima.

2. Kuwatambua Hamas kama Freedom fighters - Lissu
Kutambua hamas ni freedom fighters na israel ni wavamizi ardhi.ila haipo namna lazima waishi pamoja .hivo tuende tukiwatakia wakae wayamalize ila ni ushoga kutosema israel ni wabaya
 
Lissu anachojua ni kutafuta umaarufu kwa gharama yoyote ile hata mfe wote. Lissu hana uzalendo wowote, ni mchumia tumbo, yuko tayari kuona nchi inaangamia kwa maslahi yake. Cha kushangaza kuna mazuzu yanamsapoti. Sishangai km mwanamke anaweza kujiita mfalme(Zumaridi) na akapata wafuasi?
Lissu kudai Hamas ni Freedom fighters, napingana naye hadharani.

Msimamo wa Askofu Gwajima katika hili, umekaankitaifa zaidi.

Pia naamini huo ni Msimamo binafsi wa Lisu, Si wa CHADEMA!!
 
Kutambua hamas ni freedom fighters na israel ni wavamizi ardhi.ila haipo namna lazima waishi pamoja .hivo tuende tukiwatakia wakae wayamalize ila ni ushoga kutosema israel ni wabaya
Katika hili, Lissu ameyumba!!
 
vipi kuhusu ANC pale South Africa nao walikuwa wanatumia silaha na tuliwaita freedom fighter sasa na wao walikuwa magaidi, vipi kuhusu FRELIMO hapo angola?

Guys vita ya mashariki ni ngumu sana ile tuwaachie wenyewe sisi tupiganie mkate wetu, wenzetu wamekufa walikuwa wameenda kutafuta kama watanzania wengine huko nje imetokea basi ni hivyo

lakini pia mm najiuliza mfano wahusika wangekuwa wanajitete kuwa wao ni watanzania na watanzania ni marafiki wa palestine maana kuna balozi huku bado wangeuliwa?
ANC walikua wanaua watanzania au walifokas na makaburu ?
 
Back
Top Bottom