Watukome!Du Wanapata shida sana na kifo cha mtukufu wanataka vyote alivyotaka mtukufu viendelezwe hata kama havina tija. Yeye mtukufu alivunja vunja vyote vya watangulizi wake na kuanza vyake ambavyo vilikuwa wala havufuati mpango wa taifa wa maendeleo wala CCM wala alichotaka kupeleka nchi nako hakujulikani. Rais wa sasa atafuataje kwenda kulingamiza Taifa la hasha nchi hii ni ya wote.
Ila huwa tunaambiwa wanatekeleza ilani sikuwai jua kua nchi huwa inaongozwa Kwa matakwa ya raisi anataka nn ,kumbe ilani ni uselessNimesikiliza, jamaa kaongea point kubwa tangu Bunge lianze, kila Rais anakuja na mishe zake, anaharibu mfumo uliopo anaanza upya, mfano jiwe kaja kafumua fumua kila kitu , mfumo wa Elimu kafumua , mfumo wa biashara kaufmua ,mfumo wa utumishi kaharibu haribu huko na kabla hata hajaseti mambo akafa ....yaan mnarudi nyuma maili buku.
Kwa kweli tunatakiwa tuwe na maono ya kimkakati aisee, kuwe na long run plan na short run plan, wakat wa uchaguz kila chama mbali na agenda zao lazima waonyeshe jinsi watakavyokamilisha agenda za kimkakati , na hapa ndo umhimu wa katiba mpya!
Hatuwezi kuendelea Kwa kutegemea mawazo ya mtu mmoja kuwaza anayotaka yeye yawe..... Anaharibu lililopo na hata kuvunja katiba ili atimize anayotaka yeye , aaah.
Mfano mradi wa Bandari wa Bagamoyo Kwa namna yyte Ile ni wa muhimu, Bandari ya DSM tayari ipo congested na overwhelmed na pia inaelekea kuwa beyond rehabilitation. Ni heri tujadili kwamba tutafte wapi hela ya kujenga tuachane na wahisani wenye masharti magumu , na sio kuupiga chini moja Kwa moja!
Na ndiyo maana tumepiga kelele saana kuwa hii nchi inayohitaji katiba mpya itakayojenga mfumo dhabiti tukiwa tunamaanisha tuwe na sheria zinazomuongoza rais anayeingia kufuata vipaumbele vya taifa na sio vipaumbele vya 'one man show' mwisho wa siku mtu mmoja anasimamisha mradi wa gesi anarukia mradi wa maji.Nimesikiliza, jamaa kaongea point kubwa tangu Bunge lianze, kila Rais anakuja na mishe zake, anaharibu mfumo uliopo anaanza upya, mfano jiwe kaja kafumua fumua kila kitu , mfumo wa Elimu kafumua , mfumo wa biashara kaufmua ,mfumo wa utumishi kaharibu haribu huko na kabla hata hajaseti mambo akafa ....yaan mnarudi nyuma maili buku.
Kwa kweli tunatakiwa tuwe na maono ya kimkakati aisee, kuwe na long run plan na short run plan, wakat wa uchaguz kila chama mbali na agenda zao lazima waonyeshe jinsi watakavyokamilisha agenda za kimkakati , na hapa ndo umhimu wa katiba mpya!
Hatuwezi kuendelea Kwa kutegemea mawazo ya mtu mmoja kuwaza anayotaka yeye yawe..... Anaharibu lililopo na hata kuvunja katiba ili atimize anayotaka yeye , aaah.
Mfano mradi wa Bandari wa Bagamoyo Kwa namna yyte Ile ni wa muhimu, Bandari ya DSM tayari ipo congested na overwhelmed na pia inaelekea kuwa beyond rehabilitation. Ni heri tujadili kwamba tutafte wapi hela ya kujenga tuachane na wahisani wenye masharti magumu , na sio kuupiga chini moja Kwa moja!
Si ndio maana anataka muendelezo, maana anajua bila huo hatarudiChidi bwayi hajaridhika namna raia walivyoteswa na dikteta uchwara, uchaguzi ukifanyika kwa haki watu kama rashidi hawatanusa hata harufu ya bunge...
Vision 2025 utekelezaji wake umekuwa wa shida sana.....Hakuna kimya kisichojulikana Tanzania hapa, haya yote sio mapya yalisemwa sana pia..
Haya yaliyo tufikisha ni udhaifu wa katiba yetu sisi wenyewe ya 1977, wa TZ Wenzangu mkae mkijua kupititia katiba ambayo ndio muongozo wetu wanamna gani tunataka kuongozwa ili hayo yasijirudie turudi kwenye rasimu ya katiba ya Mzee Warioba ambayo wananchi walishirikiswa otherwise tukaendelea kuimba ngonjera hizo hizo hadi kiamaMimi huwa simkubali huyu jamaa lakini katika hili kaongea ukweli kabisa na hilo ndio tatizo letu. Tuchukulie mfano Dubai wao waliweka malengo wanataka kuwa number one kwa kila kitu hawataki number 2 kwa kila wanalofanya, kama ndege, airport, utalii na sijui bandari na mengi tu lakini sio kwamba ndio wamekuwa number one kwa kila kitu lakini hayo ndio malengo yao na kila mtu apiganie hayo.
Sasa sisi kama Tanzania ni lazima tujiwekee vision je lipi tutakaloweza kututoa hapa na kutupeleka pale. Kama tunataka tuwe number one kwa kilimo Africa, tunataka tuwe nchi yenye elimu bora, afya bora na hii mifano tu basi iwe ni ilani ya kila chama iwe sharti mengine ya nyongeza kuboresha sawa tu lakini washindane sera za kutufikisha katika vision yetu. Naunga mkono hoja
Inashindwa kuendelea kutokana na kuwa na matapeli kama yeye kwenye uongozi wakati ni mwizi na tapeli wa kawaida anayepaswa kunyea debe.Mbunge wa Jimbo la Kawe Josephat Gwajima akitoa mchango kuhusu hotuba iliyotolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amesema nchi nyingi za Kiafrika zimekuwa haziendelea kwa kasi ya maendeleo kutokana na kushindwa kutumia rasimali kwani inaendana na 'manpower'.
Pia ameeleza kuwa Tanzania inashindwa kuendelea mbele kwa kasi kwasababu hakuna muendelezo wa Regime moja kwenda nyingine ambapo kila Rais anaingia madarakani na mipango yake hivyo huathiri maendeleo ya ukuaji wa mipango iliyoanzishwa.
Gwajima amtolea mfano Nyerere alietawala miaka 20 na kuacha viwanda 411, alipokuja Mwinyi aliboresha baadhi ya mambo lakini hakuendelea na wazo la viwanda na alipoingia Mkapa akauza vyote kwa kuvibinafsisha hivyo kukosa muunganiko kati ya 'regime' ya kwanza na regime ya tatu.
Gwajima amesema watakesha kama hamna huo muunganiko kwani hata Rais wa awamu ya nne hakushughulika na viwanda, bali mambo mengine lakini awamu ya tano akaamua kushughulika na viwanda, vilevile ambavyo awamu ya tatu ilivibinafsisha na kuviuza.
Gwajima amesema ni hatari kwasababu katiba inampa nafasi kila Rais anayeingia madarakani kwa namna yake, hekima yake na kwa namna anavyotafasiri yeye maendeleo.
Amesema siku moja atakapopatikana Rais ambaye hayuko sawasawa watu wataishia kulia na kutoa ombi la kuwa na vision ya kuwa na miaka 50 ya Taifa na anapoingia Rais lazima ilani ya chama chake izungumze mambo ambayo Taifa imejiwekea kama maono.
Gwajima amehoji endapo akatokea Rais ambae anafanya mambo yake yasiyo kwenye ilani kama kuna mtu wa kumuuliza mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na Amiri Jeshi mkuu!
Yaani baadhi ya waislam mmeishiwa hivi hadi kuhitaji mchango wa mbuzi kama gwajima!Gwajima bana anakwambia waislamu wenzangu.Big up to prophet Mohamad.
Hii nchi swala la maendeleo tusahau kabisa
Huu ndio ukweli au nasema nasema uongo ndugu zangu
Hii nchi inaongozwa kwa muda mrefu na watu wasio na uelewa kabisa wa Dunia ya kisasa,hebu fikiria channel za YouTube zote ni free kasoro zinazomilikiwa na watanzania walioko Tanzania
Gwajima si askofu bali askopoMbunge wa Jimbo la Kawe Josephat Gwajima akitoa mchango kuhusu hotuba iliyotolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amesema nchi nyingi za Kiafrika zimekuwa haziendelea kwa kasi ya maendeleo kutokana na kushindwa kutumia rasimali kwani inaendana na 'manpower'.
Pia ameeleza kuwa Tanzania inashindwa kuendelea mbele kwa kasi kwasababu hakuna muendelezo wa Regime moja kwenda nyingine ambapo kila Rais anaingia madarakani na mipango yake hivyo huathiri maendeleo ya ukuaji wa mipango iliyoanzishwa.
Gwajima amtolea mfano Nyerere alietawala miaka 20 na kuacha viwanda 411, alipokuja Mwinyi aliboresha baadhi ya mambo lakini hakuendelea na wazo la viwanda na alipoingia Mkapa akauza vyote kwa kuvibinafsisha hivyo kukosa muunganiko kati ya 'regime' ya kwanza na regime ya tatu.
Gwajima amesema watakesha kama hamna huo muunganiko kwani hata Rais wa awamu ya nne hakushughulika na viwanda, bali mambo mengine lakini awamu ya tano akaamua kushughulika na viwanda, vilevile ambavyo awamu ya tatu ilivibinafsisha na kuviuza.
Gwajima amesema ni hatari kwasababu katiba inampa nafasi kila Rais anayeingia madarakani kwa namna yake, hekima yake na kwa namna anavyotafasiri yeye maendeleo.
Amesema siku moja atakapopatikana Rais ambaye hayuko sawasawa watu wataishia kulia na kutoa ombi la kuwa na vision ya kuwa na miaka 50 ya Taifa na anapoingia Rais lazima ilani ya chama chake izungumze mambo ambayo Taifa imejiwekea kama maono.
Gwajima amehoji endapo akatokea Rais ambae anafanya mambo yake yasiyo kwenye ilani kama kuna mtu wa kumuuliza mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na Amiri Jeshi mkuu!
Lakini umeelewa alichoongea mkuuGwajima asituchose hapa.
Kashindwa kutununulia nyavu za kuvulia samaki deep sea wana Kawe akama alivyoahidi. Kashindwa kutupeleka wana Kawe Birmingham kula bata kama alivyoahidi. Mafuriko kwenye barabara za kule Boko hata hatusemi.
Yote tisa, kumi kashindwa hata ku perform core activity yake ya kufufua watu - kamuacha rafiki yake mpendwa Magufuli azikwe tu hivi hivi wakati ana kipawa cha kufufua kweli!!
Sipingani naye bali sitaki mambo ya nyani kutoona kundule akaona ya wenzake. Aanzie kwake kwa kuacha utapeli na wizi.Lakini umeelewa alichoongea mkuu
Kaongea point hakuna haja ya kupinga kila kitu
Siipendi ccm Ila jamaa kaongea point kubwa Sana
I have learned to look things in a bigger perspective ways
Nimesikiliza, jamaa kaongea point kubwa tangu Bunge lianze, kila Rais anakuja na mishe zake, anaharibu mfumo uliopo anaanza upya, mfano jiwe kaja kafumua fumua kila kitu , mfumo wa Elimu kafumua , mfumo wa biashara kaufmua ,mfumo wa utumishi kaharibu haribu huko na kabla hata hajaseti mambo akafa ....yaan mnarudi nyuma maili buku.
Kwa kweli tunatakiwa tuwe na maono ya kimkakati aisee, kuwe na long run plan na short run plan, wakat wa uchaguz kila chama mbali na agenda zao lazima waonyeshe jinsi watakavyokamilisha agenda za kimkakati , na hapa ndo umhimu wa katiba mpya!
Hatuwezi kuendelea Kwa kutegemea mawazo ya mtu mmoja kuwaza anayotaka yeye yawe..... Anaharibu lililopo na hata kuvunja katiba ili atimize anayotaka yeye , aaah.
Mfano mradi wa Bandari wa Bagamoyo Kwa namna yyte Ile ni wa muhimu, Bandari ya DSM tayari ipo congested na overwhelmed na pia inaelekea kuwa beyond rehabilitation. Ni heri tujadili kwamba tutafte wapi hela ya kujenga tuachane na wahisani wenye masharti magumu , na sio kuupiga chini moja Kwa moja!
Wapumbavu hawa, mara waseme nchi ina maendeleo makubwa sn mara nchi haina maendeleo