#COVID19 Askofu Gwajima: Wapo waliochanjwa chanjo feki ili kuwashawishi watu wachanjwe. Sijachanjwa na haitatokea

🀧Ki

Kinachomsaidia asiwe Polish sasa Jovi ni UCCM wake

Hizi tuhuma anaweza kuzithibitisha? Kwani lazima azushe tuhuma za uongo ili kuwashawishi watu wasichanje?
WATANZANIA HUYU KATUMWA KUTUHAMISHA FOCUS, HATUONGELEI TENA TOZO ZA MIAMALA...

BASHITE STYLE.

MJADALA KAUHAMISHIA KWAKE....

HII NI POLITICAL SPIN! TOZO TUMEZISAHAU

Everyday is Saturday............................. 😎
 
Alitamka kuwa atamfuta Bashite kwenye Ulingo wa siasa. Dah! ...
 
Alitamka kuwa atamfuta Bashite kwenye Ulingo wa siasa. Dah!

NILISAHAU mpwaa yaan namwogopa Sana nawaangalia wanaokimbizqna nae vid nasave kabisa kumbukumbu

Alikemeaa ilee uganga wa loliondo ziiii
 
WATANZANIA HUYU KATUMWA KUTUHAMISHA FOCUS, HATUONGELEI TENA TOZO ZA MIAMALA...

BASHITE STYLE.

MJADALA KAUHAMISHIA KWAKE....

HII NI POLITICAL SPIN! TOZO TUMEZISAHAU

Everyday is Saturday............................. 😎
TOZO IPI UJASIKIA WAKIAPISHWA WH
ZIKOPALEPALE N SWALA.LA.KUBORESHA RELAX MKUU
STY SAFE
VAAABARAKOA
NAWAMIKONO
 
1.Kasema Serikali ilazimishe watu wote kuchanjwa. Ni kinyume na katiba.

2.Kalazimisha kudai katiba wakati ameambiwa atulie kwanza tujenge uchumi
Huko sio kupotosha kwa mtizamo wangu hio ni freedom of speech inayolindwa na Katiba inaruhusiwa kutoa maoni yako na kuishauri Serikali pamoja na kukosoa kwa staha

Kongamano la kudai Katiba mpya lilifanyika Dar na sikuona madhara yoyote kwanini lilipofanyika Mwanza ndio likawa la Kigaidi?

Kufanya Mongamano ndani ya Hoteli na Wageni waalilwa ambao hawafiki 60 kuna madhara gani?
 
Gwajima ana 'watu' jamani,yaani anapimana nguvu na Samia na anaelekea kushinda hili pambano. Gwajima kanyagia hapo hapo CCM hawakuwezi.
 
Chanjo inasaidia kupunguza maambukizi na makali ya athari za virusi vya Korona. Vilevile, kadiri virusi vinavyoendelea kusambaa na kuwepo duniani ndio vinazidi kupata mwanya wa kujibadilisha.

Hata ugonjwa wa TB. Unapopata chanjo dhidi ya TB, unapunguza uwezekano wa kuambukizwa kwa asilimia 20. Lakini bado chanjo inashauriwa, hasa kama kinga yako ya mwili inaruhusu.
 
Kwa nini anaposema gwajima kuhusu madhara ya chanjo iwe anapotosha na so freedom of speech? Si serikali imesema hiyari? Na pia si kuna side effects? Na katiba si inasema ni hiyari? Kwa nini Mbowe alisema iwe lazima? Je hakuvunja sheria? Twende kwa logic tu
 
Wewe umefanya tafiti ipi kuwa chanjo hiyo ni real? Umekaririshwa? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nataka tujenge hoja. Siyo ushabiki maana ccm wenzangu mnaniangusha sana.
 
Huyu binti "alifufuliwa"😊
Your browser is not able to display this video.
 
Gwajima ana 'watu' jamani,yaani anapimana nguvu na Samia na anaelekea kushinda hili pambano. Gwajima kanyagia hapo hapo CCM hawakuwezi.
Gwajima 2025 atangaze nia, atachukua nchi asubuhi, atakuwa Rais wa kwanza askofu nchini...au nasema uongo ndugu zangu ? πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Yeye keshachagua fungu lake la kutokuchanjwa aache kushawishi watu wengine wasichanjwe. Kila mtu abebe msalaba wake mwenyewe.
kiongozi wa dini, au mtu wa mungu akijua jambo la manufaa kwa watu wake lazima awaambie. unamwambia mtu achanje ni lini umempatia elimu ya faida na hasara za chanjo, na atakayewajibika/kutowajibika (disclaimer) na matokeo baada ya chanjo! ? kupotosha nn, kuchanja c. lazma, habari za kufa hazijaanza na koviko.
 
Usitutishe, kwa hili, ni Kama saa mbovu, Kama imekwamia saa kumi, basi, Kila saa kumi itakua sahihi.

Gwaji by ana wide knowledge, hata mimi kwa hili naungana Naye, science ana zero basics, Ila ana talent ya science eloquence.

Kwakifupi, aliyoyasema kwa consumption ya scienciantst lay man ni balanced diet.

Kwa scientist, ni alarm, but encouragement kwa wanao politicize scientific orocedures.
 
Electromagnetic effect itaua sana watu ambao hawajachanjwa


Be careful
 
Hii mtakuja kuelewa baadaye Sana maana electromagnetic itatumiwa kutoka kwenye miili ya watu waliochanjwa kufanya mauaji Kwa watu ambao hawajachanjwa


Soon magufuli atakumbukwa
 
Ni uwongo dhahiri. Hajafanya interview na madaktari mabingwa wakuu duniani. Anasema tu, hawezi kutaja majina yao. Bwana tamasha. Mtupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…