Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Soma uilewe kazi ya kiongozi wa dini ni kukemea uovu na sio kusifia uovu.Laiti Kama wangetenda kulingana na maandiko uovu ungekoma.Kwani katiba zao na wito wao waliopewa na Mungu aliwaagiza kuwa nendeni mkaiseme serikali?
Mmiliki wa hotel anajua kila kitu wanyooke naeNaona mjadala umehama. Kuna binadamu amefanyiwa unyama na haki yake inapindishwa. Hili ndio la msingi na si ubishani na ubingwa wa vifungu.
wajinga na wenye mambo maovu ndio wenye huu msimamoWaambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.
Biblia gani hizo wanasoma?
Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Labda hujui maana ya hadithi.Biblia sio kitabu cha hadithi
Yaani vitu vya agano la kale tuviache. Adam na hawa tutapata wapi habari zao? Ni andiko gani linasema tuache agano la kale au halifai?@Mamdenyi uko sahihi kabisa. Huwa nawashangaa wanaokimbilia Agano la Kale kuhalalisha kanisa kujihusisha na siasa za dunia. Wanachukua mfumo wa taifa la Israeli ya kale wanajaribu kuuoanisha na serikali za sasa.
Yesu Kristo hakuwahi kuwa na ugonvi na "serikali" badala yake maadui zake namba moja walikuwa watu wa "dini." Pilato alijaribu kumfungua awe huru, watu wa dini walisema nini?
Sio sawa kuhubiri siasa badala ya habari za ufalme wa Mungu. Yohana Mbatizaji hakufungwa kwa sababu za kisiasa bali baki za binadamu. Sababu za haki za binadamu kwa kumkemea Herode kupora mke wa ndugu yake, hilo nalo ni siasa? Tafakari
Huyo askofu Kama sio kada imekula kwake amwaachie tu Mungu
Umenena iliyo kweli tupuNdiyo maana wakisemaga kiongozi Fulani wa serikali ni chaguo la MUNGU nawaonaga Wana matatizo
Hujanielewa mkuu, agano la kale lipo Tu. Lakini MFUMO WA SERIKALI tunaopenda kujifichia hivi leo HAUPO YENA duniani. Ni uongo mkubwa kujaribu kuoanisha mfumo wa taifa la Israeli la nyakati za kina mfalme Daudi na serikali za kileo. Tuwe wakweli Tu.Yaani vitu vya agano la kale tuviache. Adam na hawa tutapata wapi habari zao? Ni andiko gani linasema tuache agano la kale au halifai?
Wanasiasa ndo waongelee dini ila watu wa dini wasikosoe wanapoona maovu kwenye siasa? kwa hiyo wanasiasa sio waumini wa dini hadi wasikemewe.
Tunawaalika kufanya nini kwenye mikutano yetu ya siasa
Unahitaji kupimwa akili yako
Acha kuonesha ujinga wako huyo Solomon alikuwa kiongozi na mfalme hiyo dini au siasa, huwezi tengenisha hivi vitu ni kauli za kijinga tu kuwaza hivyo ila dini zote zimeanza kama njia za kukomboa wanyonge na ndo siasa yenyewe hiyoWaambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.
Biblia gani hizo wanasoma?
Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Mkuu Umemchapa KO moja Matata sana..Basi unasoma halafu huelewi. Ungekuwa unaelewa ungeelewa kwa nini Yeremia alifungwa, nani alihusika kumchagua Saul na kumtengua, nani alimteua Daud... Ungefahamu Ugomvi wa Yesu na Utawala wa Kirumi, kwa nini Yohana mbatizaji alikatwa kichwa. Yapo mengi unafahamu Yohana Mbatizaji alikemea nini?
Siasa ipo sana katika Biblia labda kama huelewi. unamfaham Esther alifanya nini pale Harmani alipotaka kuwatowesha watu wake?
Wewe hufahamu Siasa ndo maana unaona kama hakuna Siasa. Biblia ina Siasa sana na ina watumishi wengi ambao wamehusika na siasa.
Nabii Isaya alienda kumwambia Sauli mwanasiasa kuwa Mungu amemkataa.. hiyo haikuwa Siasa?
Hao wanasiasa kwa nini wanaapishwa na viongozi wa Dini au wanatumia Biblia na Quran kuapa? Hiyo siyo kuchanganya Dini na Siasa?
Usomi wako ni BURE !Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.
Biblia gani hizo wanasoma?
Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Kabisa mkuuUmenena iliyo kweli tupu
Uwo mstari unamuhusu kila mtu aliyeamua kumfuata YESU ajikane ajitwike msalaba anifuate. Siyo wachungaji.LK. 9:23 SUV
Akawaambia wote, Mtu ye yote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe, ajitwike msalaba wake kila siku, anifuate.
Na huu ndio wito wa wachungaji sio kupambana na serikali
HahahaAcha kupotosha ww..
Kwani Maaskofu wetu hawakemei uvunjifu wa haki za binadamu? Umemsikia askofu gani akihubiri habari za upinzani madhabahuni? Wakiwakemeeni juu ya haki za binadamu kwa kutekwa wakosoaji , kupigwa risasi wakosoaji, kubambikia kesi wakosoaji mnasema wasichanganye dini na siasa. Hivi mmerogwa na nani hadi mmepoteza uwezo wakuona?@Mamdenyi uko sahihi kabisa. Huwa nawashangaa wanaokimbilia Agano la Kale kuhalalisha kanisa kujihusisha na siasa za dunia. Wanachukua mfumo wa taifa la Israeli ya kale wanajaribu kuuoanisha na serikali za sasa.
Yesu Kristo hakuwahi kuwa na ugonvi na "serikali" badala yake maadui zake namba moja walikuwa watu wa "dini." Pilato alijaribu kumfungua awe huru, watu wa dini walisema nini?
Sio sawa kuhubiri siasa badala ya habari za ufalme wa Mungu. Yohana Mbatizaji hakufungwa kwa sababu za kisiasa bali baki za binadamu. Sababu za haki za binadamu kwa kumkemea Herode kupora mke wa ndugu yake, hilo nalo ni siasa? Tafakari
Mamndeny, Wewe ndiye ambaye umekosea katika usomaji wako wa Biblia! Watu wakubwa wengi katika Biblia walideal na politics kwa lengo la kuwaletea watu yaliyo mapenzi ya Mungu kwenye eneo hilo muhimu la maisha ya watu! Kuwatoa viongozi wetu kwenye politics ni sawa na kusema hatumtaki Mungu kwenye siasa zetu na hapo ndipo tunapokwama! Hivi unajua kwamba Torati ya Musa ndiyo katiba Ya Israel?!Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.
Biblia gani hizo wanasoma?
Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Kukemea udhalimu sio SIASA!! Jukumu la viongozi wa dini ni Kukemea DHAMBI, sio siasa za CHADEMA na CCM. Dhambi ni standard, haina chama. Kukemea maovu ni jukumu la kila mmoja, bali kujiingiza kwenye siasa sio wajibu wa viongozi wa kidini. Kama mkristo anavyoweza kuwa rais kwenye zama hizi, ndivyo ilivyo kwa mwislamu n.k. Tuache kumshusha Mungu kwa kumhusianisha na mifumo ya hovyo ya kidunia.
Wachungaji na maaskofu wetu katu kwa sasa hawawezi kufanya hivyo wanaogopa kufutiwa Makanisa yao ikiwa na pamoja na kupotezwa nao imebidi wajiunge tu na Praise Team ili kitumbua chao kisiingie mchanga!!!Kwani Maaskofu wetu hawakemei uvunjifu wa haki za binadamu? Umemsikia askofu gani akihubiri habari za upinzani madhabahuni? Wakiwakemeeni juu ya haki za binadamu kwa kutekwa wakosoaji , kupigwa risasi wakosoaji, kubambikia kesi wakosoaji mnasema wasichanganye dini na siasa. Hivi mmerogwa na nani hadi mmepoteza uwezo wakuona?
Utakuwa ulikuwa umelewa kila usomapo hivyo vitabu.😂😂Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.
Biblia gani hizo wanasoma?
Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.