Askofu Ikongo: Walioniteka, kunivalisha kitambaa cha sumu nawafahamu

Pole sana, nadhani unaandika huku ukuona aibu.
 
Kama DC mpya wa Arusha kuwatishia kuwauwa kina Mbowe na zitoo ndo kumembeba
 
Baba askofu kama kweli anawajua, na amewataja majina polisi lakini hawajachukuliwa hatua, atutajie majina hadharani, tukishajua tu majina yao tutayatumia kupata details zao zingine, then tutawafundisha adabu! Tupo vigilantes wa kutosha kitaa, tumechoshwa na utawala wa kitemi, ni muda wa ku-deal na familia zao, tukizimaliza tunarudi kwao
 
Hatua hiyo sasa si nzuri kabisa unaumiza na wasiokuwemo!!!!
 
Hatua hiyo sasa si nzuri kabisa unaumiza na wasiokuwemo!!!!
Ikidhihirika na tukawafahamu wanaotesa watanzania wenzao kwa maelekezo ya wahuni wachache wanaofikiri wana hatimiliki ya hii nchi hakika ni jino kwa jino! Tutafyeka kuanzia mtoto mpaka bibi mtu, kizazi kikiisha tunarudi kwa muuaji aliyetekeleza maelekezo ya wenye mamlaka. Tumechoka, sasa basi!
 
Kw
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Kwa hiyo siasa ndio ilimteka?? Zile zile Noah za ccm😄
 
Kamwe hakuna Noah nyeusi tofauti na zile za wanaccm za kutekea na kutesa watu
 
Ndivyo inavyotakiwa
 
Hopeles thinking. Hapa shida sio siasa shida ni kutekana kuuana na kutesana. Hii haina justification yoyote. Vinginevyo mna roho mbaya sana.
 
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.


Hii si sawa hapa umechemka @ Madam!

Hii si sawa hata kidogo.

Itakuwa nidhamu ya woga!

Kwa hiyo unashauri na kwenye kupiga kura wasipige?

Kama wanapiga kura kwani kunakuwa na nongwa gani kama wakishiriki siasa ya amani?

Wao nao ni raia wa kawaida kama raia wengine, haki zao za msingi ziko pale pale!

Halafu huenda Biblia hujaisoma vizuri, endelea kuisoma utapata kuielewa vema.

Kina Yusuph ni mfano wa wanasiasa ambao walikuwa watumishi wa Mungu pia!
 
Roho ya aina hiyo ya kulipiza visasi na Ishindwe na inyong`onyee kwa Majina yote Matakatifu,Mambo kama hayo ya visasi ndiyo yanayowatesa mpaka leo hii Waarabu huko mashariki ya kati!!!
 
Hopeles thinking. Hapa shida sio siasa shida ni kutekana kuuana na kutesana. Hii haina justification yoyote. Vinginevyo mna roho mbaya sana.
AAsiyejua maana haambiwi maana. Mimi siongelei kutekwa ama kumwagiwa tindikali, niko kwenye point moja tu, siasa na dini. Sasa usinilitee mawazo yako mfu kwa sababu umejenga picha fulani kichwani mwako, ficha upumbuvu wako!
 
AAsiyejua maana haambiwi maana. Mimi siongelei kutekwa ama kumwagiwa tindikali, niko kwenye point moja tu, siasa na dini. Sasa usinilitee mawazo yako mfu kwa sababu umejenga picha fulani kichwani mwako, ficha upumbuvu wako!
Hapo mzee hazungumzii siasa anazungumzia afya yake na kutekwa kwake wewe mambo ya siasa unayatoa wapi.

Hopeless
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…