Pole sana, nadhani unaandika huku ukuona aibu.Kwani Maaskofu wetu hawakemei uvunjifu wa haki za binadamu? Umemsikia askofu gani akihubiri habari za upinzani madhabahuni? Wakiwakemeeni juu ya haki za binadamu kwa kutekwa wakosoaji , kupigwa risasi wakosoaji, kubambikia kesi wakosoaji mnasema wasichanganye dini na siasa. Hivi mmerogwa na nani hadi mmepoteza uwezo wakuona?
Soma tena ueleweKumbe udhalimu sio dhambi? Hakuna mtu anayemshusha Mungu. Mungu anaishi katika haki, anayetenda na kutetea haki anamtukuza Mungu wa haki
Echolima hivi inawezekana dini na siasa vikachangamana?, ufipa k vant sio nzuri
Kama DC mpya wa Arusha kuwatishia kuwauwa kina Mbowe na zitoo ndo kumembebaTatizo nchi hii ukiwa Kada hata uue mtu kama yule Mkurugenzi unaweza kuachiwa hata ufanye kosa ambalo huwezi kupata dhamana unaweza achiwa tu kama yule mbunge wa ccm shinyanga mhujumu uchumi kaachiwa na mabunduki yake!!Kwa kweli kuna raha yake kuwa kada wa ccm!!
Jiheshimu kima weweLumumba KY Jelly mnayopakwa si nzuri
Baba askofu kama kweli anawajua, na amewataja majina polisi lakini hawajachukuliwa hatua, atutajie majina hadharani, tukishajua tu majina yao tutayatumia kupata details zao zingine, then tutawafundisha adabu! Tupo vigilantes wa kutosha kitaa, tumechoshwa na utawala wa kitemi, ni muda wa ku-deal na familia zao, tukizimaliza tunarudi kwaoTukio la Askofu Pius Ikongo kutekwa na watu wenye silaha aina ya bastola wakiwa na magari mawili na kufunikwa na kitambaa chenye sumu na kupata madhara makubwa mwilini linasikitisha sana.
Kinachoumiza ni kutokamatwa wala kuhojiwa kwa watesi wake licha ya kuwatambua na kuwataja kwa majina katika maelezo yake polisi.
Kwa maelezo yake, ametumia zaidi ya milioni 170 kujitibu Afrika Kusini, Kenya, Muhimbili na KCMC kwa mwaka mmoja na nusu.
Take note: Askofu huyu ameoa kwenye familia ya Nyerere.
Msikilize hapa:
View attachment 1484754
Hatua hiyo sasa si nzuri kabisa unaumiza na wasiokuwemo!!!!Baba askofu kama kweli anawajua, na amewataja majina polisi lakini hawajachukuliwa hatua, atutajie majina hadharani, tukishajua tu majina yao tutayatumia kupata details zao zingine, then tutawafundisha adabu! Tupo vigilantes wa kutosha kitaa, tumechoshwa na utawala wa kitemi, ni muda wa ku-deal na familia zao, tukizimaliza tunarudi kwao
Ikidhihirika na tukawafahamu wanaotesa watanzania wenzao kwa maelekezo ya wahuni wachache wanaofikiri wana hatimiliki ya hii nchi hakika ni jino kwa jino! Tutafyeka kuanzia mtoto mpaka bibi mtu, kizazi kikiisha tunarudi kwa muuaji aliyetekeleza maelekezo ya wenye mamlaka. Tumechoka, sasa basi!Hatua hiyo sasa si nzuri kabisa unaumiza na wasiokuwemo!!!!
Kwa hiyo siasa ndio ilimteka?? Zile zile Noah za ccm😄Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.
Biblia gani hizo wanasoma?
Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Kamwe hakuna Noah nyeusi tofauti na zile za wanaccm za kutekea na kutesa watuAskofu hata kama alikua anakula mke wa mtu atasingizia siasa tu
Kuna kiongozi kalewa chakari kavinja mguu,wapambe wakasingizia siasa,polisi wametoa taarifa ya uchunguzi wa awali,mpaka leo hatujawasikia tena wapambe wala aliejeruhiwa
Tusipende kusema uongo,tunamuudhi sana Mungu
Kama wanavyoumiza wasiokuwemoHatua hiyo sasa si nzuri kabisa unaumiza na wasiokuwemo!!!!
Ndivyo inavyotakiwaIkidhihirika na tukawafahamu wanaotesa watanzania wenzao kwa maelekezo ya wahuni wachache wanaofikiri wana hatimiliki ya hii nchi hakika ni jino kwa jino! Tutafyeka kuanzia mtoto mpaka bibi mtu, kizazi kikiisha tunarudi kwa muuaji aliyetekeleza maelekezo ya wenye mamlaka. Tumechoka, sasa basi!
Ndio hawa hawa wauaji ona amavyojustify kifo cha mwengine kisa siasa. Eti ili awe salama aache siasa unaona hizo akili za matope.Mkuu vipi tena? Kweli unaamini hivyo?
Hopeles thinking. Hapa shida sio siasa shida ni kutekana kuuana na kutesana. Hii haina justification yoyote. Vinginevyo mna roho mbaya sana.@Mamdenyi uko sahihi kabisa. Huwa nawashangaa wanaokimbilia Agano la Kale kuhalalisha kanisa kujihusisha na siasa za dunia. Wanachukua mfumo wa taifa la Israeli ya kale wanajaribu kuuoanisha na serikali za sasa.
Yesu Kristo hakuwahi kuwa na ugonvi na "serikali" badala yake maadui zake namba moja walikuwa watu wa "dini." Pilato alijaribu kumfungua awe huru, watu wa dini walisema nini?
Sio sawa kuhubiri siasa badala ya habari za ufalme wa Mungu. Yohana Mbatizaji hakufungwa kwa sababu za kisiasa bali baki za binadamu. Sababu za haki za binadamu kwa kumkemea Herode kupora mke wa ndugu yake, hilo nalo ni siasa? Tafakari
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.
Biblia gani hizo wanasoma?
Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Nchi haijengwi kwa visasi bali nchi inajengwa kwa maridhiano!!!Kama wanavyoumiza wasiokuwemo
Roho ya aina hiyo ya kulipiza visasi na Ishindwe na inyong`onyee kwa Majina yote Matakatifu,Mambo kama hayo ya visasi ndiyo yanayowatesa mpaka leo hii Waarabu huko mashariki ya kati!!!Ikidhihirika na tukawafahamu wanaotesa watanzania wenzao kwa maelekezo ya wahuni wachache wanaofikiri wana hatimiliki ya hii nchi hakika ni jino kwa jino! Tutafyeka kuanzia mtoto mpaka bibi mtu, kizazi kikiisha tunarudi kwa muuaji aliyetekeleza maelekezo ya wenye mamlaka. Tumechoka, sasa basi!
AAsiyejua maana haambiwi maana. Mimi siongelei kutekwa ama kumwagiwa tindikali, niko kwenye point moja tu, siasa na dini. Sasa usinilitee mawazo yako mfu kwa sababu umejenga picha fulani kichwani mwako, ficha upumbuvu wako!Hopeles thinking. Hapa shida sio siasa shida ni kutekana kuuana na kutesana. Hii haina justification yoyote. Vinginevyo mna roho mbaya sana.
Hapo mzee hazungumzii siasa anazungumzia afya yake na kutekwa kwake wewe mambo ya siasa unayatoa wapi.AAsiyejua maana haambiwi maana. Mimi siongelei kutekwa ama kumwagiwa tindikali, niko kwenye point moja tu, siasa na dini. Sasa usinilitee mawazo yako mfu kwa sababu umejenga picha fulani kichwani mwako, ficha upumbuvu wako!