Askofu Isaya Mengele na Askofu Mwaikali, mgogoro wa KKKT Dayosisi ya Konde unawapaka matope!

Askofu Isaya Mengele na Askofu Mwaikali, mgogoro wa KKKT Dayosisi ya Konde unawapaka matope!

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,207
Reaction score
13,839
1632835435485.jpeg

Askofu Mengele -katikati na Askofu Mwikali aliyesimama walipoita waandishi wa habari wakijieleza.

Askofu Mengele amefunga safari kwenda Mbeya kumpa tafu Askofu mwenziwe Askofu Mwaikali ambaye ana tuhuma zinazo muweka katika sintofahamu na kondoo wake.

Kitendo cha kupeana tafu kati ya hawa maaskofu hakina afya wala baraka za waumini wa sehemu hii, haswa wale wa kutoka Tukuyu, sehemu ambay Askofu Mwaikali ameinyanyapaa kwa kuhama.

Ikumbukwe kuwa Askofu Mwaikali amekosa heshima kutoka kwa waumini wake kwa vile amehamisha Makao Makuu ya Dayosisi ya Konde kwa ujanja ujanja, kitu ambacho wachungaji na waumini wa kutoka makao makuu yaliyohamwa wamepinga vikali.

Inasemekana kitendo cha Askofu Mwaikali kina hisia ya ubadhirifu, hila na matakwa binafsi.
Wachungaji zaidi ya 25 wametimuliwa kazi na huyu Askofu Mwaikali ati kwa kupinga maamuzi yake ya kuhama Tukuyu.

Waumini katika majimbo mbalimbali huko Rungwe wamepinga hatua za Askofu Mwaikali, na wachungaji aliowafukuza wanaendelea na huduma za kulisha kondoo katika makanisa yao.

Hivi karibuni Askofu Mwaikali alisusiwa ibada na waumini pale Tukuyu, na katika msiba wa mchungaji mmoja aliyefariki karibuni huko huko Tukuyu, wachungaji wote hata wale waliofukuzwa walihudhuria misa ya kumwombea mchungaji huyo. Na tamko lililotolewa ni kwamba Askofu Mwaikali hatakiwi kwenda huko.

Huu sasa ni mparaganyiko na kutengana kwa Dayosisi ya Konde rasmi.
 
hizi tahasisi za kukusanya mapato yasiyo halali, zitafanyiana hila mpka lini??, mnatufundisha nn sis wapagani kwa upuuz wenu unaoendelea?? alafu hayo hayo et yanakuja kutuhubiria amani,upendo na kuacha dhambi, wakat yakwao yamewashinda, hiz genge za jumapili&jumamos hizi zilitakiwa kufungwa kabsa
 
Ngoja Waje Wanaojua Migogoro Ya Huko
Nakumbuka Kujinyonga Sister Bugando Jiwe Alisema Mniombee Nina Siri Zenu Nyingi Ninyi Ma~Askofu
....... Ila bwana yule alikuwa anaongea chochote kinachomjia kichwani.
 
View attachment 1956231
Askofu Mengele -katikati na Askofu Mwikali aliyesimama walipoita waandishi wa habari wakijieleza.

Askofu Mengele amefunga safari kwenda Mbeya kumpa tafu Askofu mwenziwe Askofu Mwaikali ambaye ana tuhuma zinazo muweka katika sintofahamu na kondoo wake.

Kitendo cha kupeana tafu kati ya hawa maaskofu hakina afya wala baraka za waumini wa sehemu hii, haswa wale wa kutoka Tukuyu, sehemu ambay Askofu Mwaikali ameinyanyapaa kwa kuhama.

Ikumbukwe kuwa Askofu Mwaikali amekosa heshima kutoka kwa waumini wake kwa vile amehamisha Makao Makuu ya Dayosisi ya Konde kwa ujanja ujanja, kitu ambacho wachungaji na waumini wa kutoka makao makuu yaliyohamwa wamepinga vikali.

Inasemekana kitendo cha Askofu Mwaikali kina hisia ya ubadhirifu, hila na matakwa binafsi.
Wachungaji zaidi ya 25 wametimuliwa kazi na huyu Askofu Mwaikali ati kwa kupinga maamuzi yake ya kuhama Tukuyu.

Waumini katika majimbo mbalimbali huko Rungwe wamepinga hatua za Askofu Mwaikali, na wachungaji aliowafukuza wanaendelea na huduma za kulisha kondoo katika makanisa yao.

Hivi karibuni Askofu Mwaikali alisusiwa ibada na waumini pale Tukuyu, na katika msiba wa mchungaji mmoja aliyefariki karibuni huko huko Tukuyu, wachungaji wote hata wale waliofukuzwa walihudhuria misa ya kumwombea mchungaji huyo. Na tamko lililotolewa ni kwamba Askofu Mwaikali hatakiwi kwenda huko.

Huu sasa ni mparaganyiko na kutengana kwa Dayosisi ya Konde rasmi.
Mbona kama wewe ndiye mpika majungu? Au unatumika na upande moja?
Una mapungufu yafuatayo;
1. Huu ni uzi wa pili Mimi kukuona ukimshambulia Askofu. Mashambulizi yako kwenye ule uzi wa kwanza uliona hayatoshi? Au sababu kulikuwa na hoja nzito za kujibu shutuma zako?
2. Unamlaumu kwamba kafanya maamuzi kinyume na taratibu. Ni taratibu zipi hizo zilizovunjwa? Mimi najua kanisa lilitoa statement na kueleza kwa uwazi mchakato wote na kwamba vikao halali ndivyo vilivyoamua, na hao wachungaji wa Tukuyu walishirikishwa. Tena uongozi ulitumia busara ya kuwaita tena na kujadiliana na kuwaonya wasiende kinyume na taratibu.
3. Unatamka kuwa kuna HISIA za ubadhirifu, hila na matakwa binafsi. Unatoa shutuma nzito bila ushahidi, tena uwezekano mkubwa ni za uongo ndiyo mana unatumia kivuli cha HISIA!
 
ndoshida yakuruhusiwa kuoa maaskofu Sheria iwaruhusu kuoa zaidi ya mwanamke mmoja ,huwezi sikia sintofahamu hizo
 
Mbona kama wewe ndiye mpika majungu? Au unatumika na upande moja?
Una mapungufu yafuatayo;
1. Huu ni uzi wa pili Mimi kukuona ukimshambulia Askofu. Mashambulizi yako kwenye ule uzi wa kwanza uliona hayatoshi? Au sababu kulikuwa na hoja nzito za kujibu shutuma zako?
2. Unamlaumu kwamba kafanya maamuzi kinyume na taratibu. Ni taratibu zipi hizo zilizovunjwa? Mimi najua kanisa lilitoa statement na kueleza kwa uwazi mchakato wote na kwamba vikao halali ndivyo vilivyoamua, na hao wachungaji wa Tukuyu walishirikishwa. Tena uongozi ulitumia busara ya kuwaita tena na kujadiliana na kuwaonya wasiende kinyume na taratibu.
3. Unatamka kuwa kuna HISIA za ubadhirifu, hila na matakwa binafsi. Unatoa shutuma nzito bila ushahidi, tena uwezekano mkubwa ni za uongo ndiyo mana unatumia kivuli cha HISIA!
Hakuna kitu majungu hapa.
Kuna ukweli wa mambo kuwa huyu Askofu HATAKIWI na waumini aliowatelekeza Tukuyu.
Hayo si majungu.
Askofu amekosa ridhaa , hayo si majungu.
Kwamba mpaka sasa kuna kundi kubwa tu la watu WANAPINGA maamuzi ya hila kuhamisha makao makuu toka Tukuyu kwenda Mbeya , hayo si majungu.
Pengine huelewi maana ya majungu, majungu ni kupika UONGO unaoelekea ukweli ili mtu kupitisha ajenda yake.
FACTS nilizokupa hapo juu ni halisi na siyo siri kadri siku zinavyokwenda Askofu huyu anazidi kukosa upako wa kuongoza kiroho.
Kanisa siyo jeshi, ambapo unasema kushoto geuka , na waumini wana geuka.

Msingi wa mgogoro huu ni nini?
Upende usipende , ni maslahi binafsi.
Maslahi binafsi yakiwa kipaumbele moyoni, hakuna kujishusha na kunyenyekea waumini.

Jana mama Samia katupa dongo, nalo ita kuwa ni majungu.
MIGOGORO KANISANI NI AIBU KUBWA, watu hawamuogopi Mungu na kujishusha!
Hayo si majungu ndugu yangu , na Askofu analitia aibu Kanisa.
Tuliopo DSM tunakumbuka ya Askofu Ngwamba.
Historia inajirudia.
1632893095129.png
 
View attachment 1956231
Askofu Mengele -katikati na Askofu Mwikali aliyesimama walipoita waandishi wa habari wakijieleza.

Askofu Mengele amefunga safari kwenda Mbeya kumpa tafu Askofu mwenziwe Askofu Mwaikali ambaye ana tuhuma zinazo muweka katika sintofahamu na kondoo wake.

Kitendo cha kupeana tafu kati ya hawa maaskofu hakina afya wala baraka za waumini wa sehemu hii, haswa wale wa kutoka Tukuyu, sehemu ambay Askofu Mwaikali ameinyanyapaa kwa kuhama.

Ikumbukwe kuwa Askofu Mwaikali amekosa heshima kutoka kwa waumini wake kwa vile amehamisha Makao Makuu ya Dayosisi ya Konde kwa ujanja ujanja, kitu ambacho wachungaji na waumini wa kutoka makao makuu yaliyohamwa wamepinga vikali.

Inasemekana kitendo cha Askofu Mwaikali kina hisia ya ubadhirifu, hila na matakwa binafsi.
Wachungaji zaidi ya 25 wametimuliwa kazi na huyu Askofu Mwaikali ati kwa kupinga maamuzi yake ya kuhama Tukuyu.

Waumini katika majimbo mbalimbali huko Rungwe wamepinga hatua za Askofu Mwaikali, na wachungaji aliowafukuza wanaendelea na huduma za kulisha kondoo katika makanisa yao.

Hivi karibuni Askofu Mwaikali alisusiwa ibada na waumini pale Tukuyu, na katika msiba wa mchungaji mmoja aliyefariki karibuni huko huko Tukuyu, wachungaji wote hata wale waliofukuzwa walihudhuria misa ya kumwombea mchungaji huyo. Na tamko lililotolewa ni kwamba Askofu Mwaikali hatakiwi kwenda huko.

Huu sasa ni mparaganyiko na kutengana kwa Dayosisi ya Konde rasmi.
Njaa Haina heshima,hapo anapigania ugali wake,mshahara wa milioni na nusu,gari,nyumba,posho,
Hawa maaskofu ukiwatoa hapo,hawawezi kuendesha maisha yao,
Hapo ni kufa na kupona wanapigania sadaka za waumini
 
Njaa Haina heshima,hapo anapigania ugali wake,mshahara wa milioni na nusu,gari,nyumba,posho,
Hawa maaskofu ukiwatoa hapo,hawawezi kuendesha maisha yao,
Hapo ni kufa na kupona wanapigania sadaka za waumini
Huyu Askofu asipojishusha , mgogoro utazidi kuwaka moto na ataadhirika muda si mrefu.
 
Hakuna kitu majungu hapa.
Kuna ukweli wa mambo kuwa huyu Askofu HATAKIWI na waumini aliowatelekeza Tukuyu.
Hayo si majungu.
Askofu amekosa ridhaa , hayo si majungu.
Kwamba mpaka sasa kuna kundi kubwa tu la watu WANAPINGA maamuzi ya hila kuhamisha makao makuu toka Tukuyu kwenda Mbeya , hayo si majungu.
Pengine huelewi maana ya majungu, majungu ni kupika UONGO unaoelekea ukweli ili mtu kupitisha ajenda yake.
FACTS nilizokupa hapo juu ni halisi na siyo siri kadri siku zinavyokwenda Askofu huyu anazidi kukosa upako wa kuongoza kiroho.
Kanisa siyo jeshi, ambapo unasema kushoto geuka , na waumini wana geuka.

Msingi wa mgogoro huu ni nini?
Upende usipende , ni maslahi binafsi.
Maslahi binafsi yakiwa kipaumbele moyoni, hakuna kujishusha na kunyenyekea waumini.

Jana mama Samia katupa dongo, nalo ita kuwa ni majungu.
MIGOGORO KANISANI NI AIBU KUBWA, watu hawamuogopi Mungu na kujishusha!
Hayo si majungu ndugu yangu , na Askofu analitia aibu Kanisa.
Tuliopo DSM tunakumbuka ya Askofu Ngwamba.
Historia inajirudia.
View attachment 1956855
Soma tena nilichoandika, alafu soma majibu yako!
Kisha fungua akili yako ujitafakari!
 
Soma tena nilichoandika, alafu soma majibu yako!
Kisha fungua akili yako ujitafakari!
Kama hutaki ku reason, na kukubaliana na facts, hatuwezi kukulazimisha kufungua macho.
Lakini mwisho wa ukaidi na tamaa ni aibu itakayo mmfadhesha si tu mhusika bali kanisa kwa ujumla.
Watu hamjui kuwa Askofu si kanisa bali waumini waliowengi.
 
Back
Top Bottom