Askofu Isaya Mengele na Askofu Mwaikali, mgogoro wa KKKT Dayosisi ya Konde unawapaka matope!

Askofu Isaya Mengele na Askofu Mwaikali, mgogoro wa KKKT Dayosisi ya Konde unawapaka matope!

Njaa Haina heshima,hapo anapigania ugali wake,mshahara wa milioni na nusu,gari,nyumba,posho,
Hawa maaskofu ukiwatoa hapo,hawawezi kuendesha maisha yao,
Hapo ni kufa na kupona wanapigania sadaka za waumini
Haya mambo yanasikitisha sana.
Askofu Shoo Mkuu wa KKKT aingilie kati.
 
Kama hutaki ku reason, na kukubaliana na facts, hatuwezi kukulazimisha kufungua macho.
Lakini mwisho wa ukaidi na tamaa ni aibu itakayo mmfadhesha si tu mhusika bali kanisa kwa ujumla.
Watu hamjui kuwa Askofu si kanisa bali waumini waliowengi.
Hli swala limefika wapi sasa.
Wamepatana?
 
Daah, kipindi nasoma seminary moja huko Tukuyu kipindi hicho Dayosisi ya Konde ilikuwa chini ya Askofu Mwakyolile na makao makuu ilikuwa hapo Tukuyu.

Je, huyo Askofu amehamishia wapi hayo makuu ya Dayosisi?

Mimi naona kuna umuhimu wa kuigawanya hii Dayosisi Coz ina operate eneo kubwa.

Dayosisi ya Konde ni moja kati ya Dayosisi zilizo na utajiri mkubwa sana na mali nyingi sana, na hii ndio sababu inayopelekea kuwepo kwa migogoro kila siku.

Askofu Mwakyolile🙌🙌🙌😹🤔, Mwamba Kipindi alikuwa anachuma sana mali ya Dayosisi
 
Daah, kipindi nasoma seminary moja huko Tukuyu kipindi hicho Dayosisi ya Konde ilikuwa chini ya Askofu Mwakyolile na makao makuu ilikuwa hapo Tukuyu.

Je, huyo Askofu amehamishia wapi hayo makuu ya Dayosisi?

Mimi naona kuna umuhimu wa kuigawanya hii Dayosisi Coz ina operate eneo kubwa.

Dayosisi ya Konde ni moja kati ya Dayosisi zilizo na utajiri mkubwa sana na mali nyingi sana, na hii ndio sababu inayopelekea kuwepo kwa migogoro kila siku.

Askofu Mwakyolile🙌🙌🙌😹🤔, Mwamba Kipindi alikuwa anachuma sana mali ya Dayosisi
Mbona Askofu Mwakyolile alishastaafu kitambo.
Anayelalamikiwa sasa ni Askofu Mwaikali aliyemrithi.
 
Mengele kalichafua sana KKKT amekuwa Askofu wa kwanza SD kujiingiza kwenye ushirikina na genge lake
 
Mengele kalichafua sana KKKT amekuwa Askofu wa kwanza SD kujiingiza kwenye ushirikina na genge lake
Du....... huyo askofu Mengele ni kigagula na wanafuga mapepo wachafu?
Watalipwa maovu yao muda si mrefu.
 
Mengele kalichafua sana KKKT amekuwa Askofu wa kwanza SD kujiingiza kwenye ushirikina na genge lake
Hii ni sifa mbaya zaidi kwa Askofu Mwaikali.
Kampani yake ni maaskofu washirikina?
Imekuwa birds of the same feathers waruka pamoja!
Sasa hapo roho ya upatanishi itatoka wapi?
 
Mpumbavu Mkubwa wewe, na acha kupotosha watu.
Askofu Mwaikali hajahamisha hayo Makao Makuu ni Vikao na wewe unafahamu maamuzi yanafanywa na Vikao na mengine yalifanyika hata hajawa Askofu kayakuta Mwishoni.
Wewe unakimbilia huku kupotosha watu ili ufanikiwe katika siasa zako za Makanisani.
Peleka ujinga wako kule,kwanini usiende huko SMitaa ukafanye siasa unahamishia Makanisani Lione!
 
View attachment 1956231
Askofu Mengele -katikati na Askofu Mwikali aliyesimama walipoita waandishi wa habari wakijieleza.

Askofu Mengele amefunga safari kwenda Mbeya kumpa tafu Askofu mwenziwe Askofu Mwaikali ambaye ana tuhuma zinazo muweka katika sintofahamu na kondoo wake.

Kitendo cha kupeana tafu kati ya hawa maaskofu hakina afya wala baraka za waumini wa sehemu hii, haswa wale wa kutoka Tukuyu, sehemu ambay Askofu Mwaikali ameinyanyapaa kwa kuhama.

Ikumbukwe kuwa Askofu Mwaikali amekosa heshima kutoka kwa waumini wake kwa vile amehamisha Makao Makuu ya Dayosisi ya Konde kwa ujanja ujanja, kitu ambacho wachungaji na waumini wa kutoka makao makuu yaliyohamwa wamepinga vikali.

Inasemekana kitendo cha Askofu Mwaikali kina hisia ya ubadhirifu, hila na matakwa binafsi.
Wachungaji zaidi ya 25 wametimuliwa kazi na huyu Askofu Mwaikali ati kwa kupinga maamuzi yake ya kuhama Tukuyu.

Waumini katika majimbo mbalimbali huko Rungwe wamepinga hatua za Askofu Mwaikali, na wachungaji aliowafukuza wanaendelea na huduma za kulisha kondoo katika makanisa yao.

Hivi karibuni Askofu Mwaikali alisusiwa ibada na waumini pale Tukuyu, na katika msiba wa mchungaji mmoja aliyefariki karibuni huko huko Tukuyu, wachungaji wote hata wale waliofukuzwa walihudhuria misa ya kumwombea mchungaji huyo. Na tamko lililotolewa ni kwamba Askofu Mwaikali hatakiwi kwenda huko.

Huu sasa ni mparaganyiko na kutengana kwa Dayosisi ya Konde rasmi.
Dah kanisa la KKKT Tukuyu mjini nimesali sana.
 
Mpumbavu Mkubwa wewe, na acha kupotosha watu.
Askofu Mwaikali hajahamisha hayo Makao Makuu ni Vikao na wewe unafahamu maamuzi yanafanywa na Vikao na mengine yalifanyika hata hajawa Askofu kayakuta Mwishoni.
Wewe unakimbilia huku kupotosha watu ili ufanikiwe katika siasa zako za Makanisani.
Peleka ujinga wako kule,kwanini usiende huko SMitaa ukafanye siasa unahamishia Makanisani Lione!
Aisee.......uko ile kamati ya ushirikina pamoja na mpambe wenu Askofu Mengele?
 
Du....... huyo askofu Mengele ni kigagula na wanafuga mapepo wachafu?
Watalipwa maovu yao muda si mrefu.
Walishaanza kulipwa mkuu tazama yanayowakuta, fuatilia mmojammoja utasikia mengi
 
Mpumbavu Mkubwa wewe, na acha kupotosha watu.
Askofu Mwaikali hajahamisha hayo Makao Makuu ni Vikao na wewe unafahamu maamuzi yanafanywa na Vikao na mengine yalifanyika hata hajawa Askofu kayakuta Mwishoni.
Wewe unakimbilia huku kupotosha watu ili ufanikiwe katika siasa zako za Makanisani.
Peleka ujinga wako kule,kwanini usiende huko SMitaa ukafanye siasa unahamishia Makanisani Lione!
Kukosa unyenyekevu, uongo na kutukana ndio sifa kuu ya mtu anayeongozwa na Ibilisi.

Mtashindwa tu maana katika yote mnayopanga Mungu hayupo pamoja nanyi.
 
View attachment 1956231
Askofu Mengele -katikati na Askofu Mwikali aliyesimama walipoita waandishi wa habari wakijieleza.

Askofu Mengele amefunga safari kwenda Mbeya kumpa tafu Askofu mwenziwe Askofu Mwaikali ambaye ana tuhuma zinazo muweka katika sintofahamu na kondoo wake.

Kitendo cha kupeana tafu kati ya hawa maaskofu hakina afya wala baraka za waumini wa sehemu hii, haswa wale wa kutoka Tukuyu, sehemu ambay Askofu Mwaikali ameinyanyapaa kwa kuhama.

Ikumbukwe kuwa Askofu Mwaikali amekosa heshima kutoka kwa waumini wake kwa vile amehamisha Makao Makuu ya Dayosisi ya Konde kwa ujanja ujanja, kitu ambacho wachungaji na waumini wa kutoka makao makuu yaliyohamwa wamepinga vikali.

Inasemekana kitendo cha Askofu Mwaikali kina hisia ya ubadhirifu, hila na matakwa binafsi.
Wachungaji zaidi ya 25 wametimuliwa kazi na huyu Askofu Mwaikali ati kwa kupinga maamuzi yake ya kuhama Tukuyu.

Waumini katika majimbo mbalimbali huko Rungwe wamepinga hatua za Askofu Mwaikali, na wachungaji aliowafukuza wanaendelea na huduma za kulisha kondoo katika makanisa yao.

Hivi karibuni Askofu Mwaikali alisusiwa ibada na waumini pale Tukuyu, na katika msiba wa mchungaji mmoja aliyefariki karibuni huko huko Tukuyu, wachungaji wote hata wale waliofukuzwa walihudhuria misa ya kumwombea mchungaji huyo. Na tamko lililotolewa ni kwamba Askofu Mwaikali hatakiwi kwenda huko.

Huu sasa ni mparaganyiko na kutengana kwa Dayosisi ya Konde rasmi.
Hili Kanisa la KKKT halitakaa litulie. Lands liige Mfumo wa Kanisa Katoliki. Huko hakuna migogoro. Ni dogma tu!
 
Back
Top Bottom