Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,768
- 2,361
Haya mambo yanasikitisha sana.Njaa Haina heshima,hapo anapigania ugali wake,mshahara wa milioni na nusu,gari,nyumba,posho,
Hawa maaskofu ukiwatoa hapo,hawawezi kuendesha maisha yao,
Hapo ni kufa na kupona wanapigania sadaka za waumini
Hli swala limefika wapi sasa.Kama hutaki ku reason, na kukubaliana na facts, hatuwezi kukulazimisha kufungua macho.
Lakini mwisho wa ukaidi na tamaa ni aibu itakayo mmfadhesha si tu mhusika bali kanisa kwa ujumla.
Watu hamjui kuwa Askofu si kanisa bali waumini waliowengi.
Ule wap Kawe umeisha?KKKT migogoro kila uchao jifunzeni Kanisa Katoliki mbona hakuna migogoro ya namna hii
Mbona Askofu Mwakyolile alishastaafu kitambo.Daah, kipindi nasoma seminary moja huko Tukuyu kipindi hicho Dayosisi ya Konde ilikuwa chini ya Askofu Mwakyolile na makao makuu ilikuwa hapo Tukuyu.
Je, huyo Askofu amehamishia wapi hayo makuu ya Dayosisi?
Mimi naona kuna umuhimu wa kuigawanya hii Dayosisi Coz ina operate eneo kubwa.
Dayosisi ya Konde ni moja kati ya Dayosisi zilizo na utajiri mkubwa sana na mali nyingi sana, na hii ndio sababu inayopelekea kuwepo kwa migogoro kila siku.
Askofu Mwakyolile🙌🙌🙌😹🤔, Mwamba Kipindi alikuwa anachuma sana mali ya Dayosisi
Yaah nimekupata mkuuMbona Askofu Mwakyolile alishastaafu kitambo.
Anayelalamikiwa sasa ni Askofu Mwaikali aliyemrithi.
Kashfa kwa Vatikan na kwa kanisa la Romani KatolikiKKKT migogoro kila uchao jifunzeni Kanisa Katoliki mbona hakuna migogoro ya namna hii
Du....... huyo askofu Mengele ni kigagula na wanafuga mapepo wachafu?Mengele kalichafua sana KKKT amekuwa Askofu wa kwanza SD kujiingiza kwenye ushirikina na genge lake
DuhDu....... huyo askofu Mengele ni kigagula na wanafuga mapepo wachafu?
Watalipwa maovu yao muda si mrefu.
Hii ni sifa mbaya zaidi kwa Askofu Mwaikali.Mengele kalichafua sana KKKT amekuwa Askofu wa kwanza SD kujiingiza kwenye ushirikina na genge lake
Dah kanisa la KKKT Tukuyu mjini nimesali sana.View attachment 1956231
Askofu Mengele -katikati na Askofu Mwikali aliyesimama walipoita waandishi wa habari wakijieleza.
Askofu Mengele amefunga safari kwenda Mbeya kumpa tafu Askofu mwenziwe Askofu Mwaikali ambaye ana tuhuma zinazo muweka katika sintofahamu na kondoo wake.
Kitendo cha kupeana tafu kati ya hawa maaskofu hakina afya wala baraka za waumini wa sehemu hii, haswa wale wa kutoka Tukuyu, sehemu ambay Askofu Mwaikali ameinyanyapaa kwa kuhama.
Ikumbukwe kuwa Askofu Mwaikali amekosa heshima kutoka kwa waumini wake kwa vile amehamisha Makao Makuu ya Dayosisi ya Konde kwa ujanja ujanja, kitu ambacho wachungaji na waumini wa kutoka makao makuu yaliyohamwa wamepinga vikali.
Inasemekana kitendo cha Askofu Mwaikali kina hisia ya ubadhirifu, hila na matakwa binafsi.
Wachungaji zaidi ya 25 wametimuliwa kazi na huyu Askofu Mwaikali ati kwa kupinga maamuzi yake ya kuhama Tukuyu.
Waumini katika majimbo mbalimbali huko Rungwe wamepinga hatua za Askofu Mwaikali, na wachungaji aliowafukuza wanaendelea na huduma za kulisha kondoo katika makanisa yao.
Hivi karibuni Askofu Mwaikali alisusiwa ibada na waumini pale Tukuyu, na katika msiba wa mchungaji mmoja aliyefariki karibuni huko huko Tukuyu, wachungaji wote hata wale waliofukuzwa walihudhuria misa ya kumwombea mchungaji huyo. Na tamko lililotolewa ni kwamba Askofu Mwaikali hatakiwi kwenda huko.
Huu sasa ni mparaganyiko na kutengana kwa Dayosisi ya Konde rasmi.
Aisee.......uko ile kamati ya ushirikina pamoja na mpambe wenu Askofu Mengele?Mpumbavu Mkubwa wewe, na acha kupotosha watu.
Askofu Mwaikali hajahamisha hayo Makao Makuu ni Vikao na wewe unafahamu maamuzi yanafanywa na Vikao na mengine yalifanyika hata hajawa Askofu kayakuta Mwishoni.
Wewe unakimbilia huku kupotosha watu ili ufanikiwe katika siasa zako za Makanisani.
Peleka ujinga wako kule,kwanini usiende huko SMitaa ukafanye siasa unahamishia Makanisani Lione!
Walishaanza kulipwa mkuu tazama yanayowakuta, fuatilia mmojammoja utasikia mengiDu....... huyo askofu Mengele ni kigagula na wanafuga mapepo wachafu?
Watalipwa maovu yao muda si mrefu.
Umesahau katoliki linaendeshwa toka Roma Vatican??KKKT migogoro kila uchao jifunzeni Kanisa Katoliki mbona hakuna migogoro ya namna hii
Kukosa unyenyekevu, uongo na kutukana ndio sifa kuu ya mtu anayeongozwa na Ibilisi.Mpumbavu Mkubwa wewe, na acha kupotosha watu.
Askofu Mwaikali hajahamisha hayo Makao Makuu ni Vikao na wewe unafahamu maamuzi yanafanywa na Vikao na mengine yalifanyika hata hajawa Askofu kayakuta Mwishoni.
Wewe unakimbilia huku kupotosha watu ili ufanikiwe katika siasa zako za Makanisani.
Peleka ujinga wako kule,kwanini usiende huko SMitaa ukafanye siasa unahamishia Makanisani Lione!
Hili Kanisa la KKKT halitakaa litulie. Lands liige Mfumo wa Kanisa Katoliki. Huko hakuna migogoro. Ni dogma tu!View attachment 1956231
Askofu Mengele -katikati na Askofu Mwikali aliyesimama walipoita waandishi wa habari wakijieleza.
Askofu Mengele amefunga safari kwenda Mbeya kumpa tafu Askofu mwenziwe Askofu Mwaikali ambaye ana tuhuma zinazo muweka katika sintofahamu na kondoo wake.
Kitendo cha kupeana tafu kati ya hawa maaskofu hakina afya wala baraka za waumini wa sehemu hii, haswa wale wa kutoka Tukuyu, sehemu ambay Askofu Mwaikali ameinyanyapaa kwa kuhama.
Ikumbukwe kuwa Askofu Mwaikali amekosa heshima kutoka kwa waumini wake kwa vile amehamisha Makao Makuu ya Dayosisi ya Konde kwa ujanja ujanja, kitu ambacho wachungaji na waumini wa kutoka makao makuu yaliyohamwa wamepinga vikali.
Inasemekana kitendo cha Askofu Mwaikali kina hisia ya ubadhirifu, hila na matakwa binafsi.
Wachungaji zaidi ya 25 wametimuliwa kazi na huyu Askofu Mwaikali ati kwa kupinga maamuzi yake ya kuhama Tukuyu.
Waumini katika majimbo mbalimbali huko Rungwe wamepinga hatua za Askofu Mwaikali, na wachungaji aliowafukuza wanaendelea na huduma za kulisha kondoo katika makanisa yao.
Hivi karibuni Askofu Mwaikali alisusiwa ibada na waumini pale Tukuyu, na katika msiba wa mchungaji mmoja aliyefariki karibuni huko huko Tukuyu, wachungaji wote hata wale waliofukuzwa walihudhuria misa ya kumwombea mchungaji huyo. Na tamko lililotolewa ni kwamba Askofu Mwaikali hatakiwi kwenda huko.
Huu sasa ni mparaganyiko na kutengana kwa Dayosisi ya Konde rasmi.