Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 11,129
- 7,321
Umeanza ujinga utakamatwa muda siyo mrefu na utapata kesi kubwa sana. Mjinga weweKuna nini huko KaweView attachment 1507302
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeanza ujinga utakamatwa muda siyo mrefu na utapata kesi kubwa sana. Mjinga weweKuna nini huko KaweView attachment 1507302
Hahaha [emoji23][emoji23][emoji23]Umeanza ujinga utakamatwa muda siyo mrefu na utapata kesi kubwa sana. Mjinga wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna nini huko KaweView attachment 1507302
Chezea awamu ya tano sadaka siku hizi hamna...waliokuwa wanatoa Mwekundu kama sadaka siku hizi wanatoa mia tano arafu jamaa alivyo na mkosi ile kashfa ya ngono iliyoibuliwa na Bashite ikammaliza...waumini kila wakifikiria ile video ya ngono na ufuska wa mtume wao hawaendi tena kanisaniMtu ambaye juzi aliwapangisha foleni waumini wake ili watolewe mapepo , leo foleni anapanga yeye ! hili ni jaribu kubwa sana
Aiseee!!!Chezea awamu ya tano sadaka siku hizi hamna...waliokuwa wanatoa Mwekundu kama sadaka siku hizi wanatoa mia tano arafu jamaa alivyo na mkosi ile kashfa ya ngono iliyoibuliwa na Bashite ikammaliza...waumini kila wakifikiria ile video ya ngono na ufuska wa mtume wao hawaendi tena kanisani
Nini ajabu wewe sokomokoMtu ambaye juzi aliwapangisha foleni waumini wake ili watolewe mapepo , leo foleni anapanga yeye ! hili ni jaribu kubwa sana
"Baba Askofu"? msinitie majaribuni jamani! Hilo jina lina heshima yake kubwa ndani ya nyumba ya Mungu, labda mseme anayejiita " baba askofu" maana sio kwa matendo haya tunayoyaona!Mtu ambaye juzi aliwapangisha foleni waumini wake ili watolewe mapepo , leo foleni anapanga yeye ! hili ni jaribu kubwa sana
Bila kapicha huu uzi ni ubatili mtupu.Mtu ambaye juzi aliwapangisha foleni waumini wake ili watolewe mapepo , leo foleni anapanga yeye ! hili ni jaribu kubwa sana
Sadaka zimepungua sasa anataka per diem na sitting allowance...
Wajuba wanamuita naibu George FloydNaam, baba askofu na mcheza filamu za ngono mstaafu 😁
Mtakatifu ErythrocyteBila kapicha huu uzi ni ubatili mtupu.
Aliwahi kuwalaani maaskofu wanaogombea ubunge!Nini ajabu wewe sokomoko
niliweka video lakini wakubwa wameiondoaBila kapicha huu uzi ni ubatili mtupu.
Ile aliikataa,eti msuli wa yule jamaa si kama wake.Mtakatifu Erythrocyte
Tupia ile porn clip ya askofu amfifilo