Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nirushie pm nijifariji kdg[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]niliweka video lakini wakubwa wameiondoa
WE UNAFIKIRI HALIMA ANASHINDAGA JIMBO HILO KIYELE MAMA KUMTANGAZA MPK MBILINGE KUBWA ITUMIKEChadema mna hofu ya kupoteza jimbo!
Safari hii mapema tu chini. Ukawa iliwabeba sana.WE UNAFIKIRI HALIMA ANASHINDAGA JIMBO HILO KIYELE MAMA KUMTANGAZA MPK MBILINGE KUBWA ITUMIKE
OVA
Mmezoea bungeni mambo yanayohusu kanisa kuamuriwa na wapagani au watu wa dini nyingine. Sasa jembe la Bwana Yesu, Bishop Gwajima kuchukua fomu tu mmeanza kupagawa, akiingia bungeni si ndio mtazimia? Songa mbele Bishop.Mtu ambaye juzi aliwapangisha foleni waumini wake ili watolewe mapepo , leo foleni anapanga yeye ! hili ni jaribu kubwa sana
Wacha weeee !Mmezoea bungeni mambo yanayohusu kanisa kuamuriwa na wapagani au watu wa dini nyingine. Sasa jembe la Bwana Yesu, Bishop Gwajima kuchukua fomu tu mmeanza kupagawa, akiingia bungeni si ndio mtazimia? Songa mbele Bishop.
Hata kufanya photo shopping hamjui mabashite
Usisahau kunimentionMtakatifu Erythrocyte
Tupia ile porn clip ya askofu amfifilo
MASIKINI CHADEMA MNATENGENEZA VID ZA MBAOO AISEE MWAKAA HUU MTASHAAAMtu ambaye juzi aliwapangisha foleni waumini wake ili watolewe mapepo , leo foleni anapanga yeye ! hili ni jaribu kubwa sana
Hahahaha nimecheka kwa sauti kubwa [emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naam, baba askofu na mcheza filamu za ngono mstaafu [emoji16]
Hahahaha jamani jamani muogopeni MUNGU [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Wajuba wanamuita naibu George Floyd
Askofu muhuni mzinzi ameungana na waliomchafua ha ha ha ha ha na kuwasaliti waliomtetea .Chezea awamu ya tano sadaka siku hizi hamna...waliokuwa wanatoa Mwekundu kama sadaka siku hizi wanatoa mia tano arafu jamaa alivyo na mkosi ile kashfa ya ngono iliyoibuliwa na Bashite ikammaliza...waumini kila wakifikiria ile video ya ngono na ufuska wa mtume wao hawaendi tena kanisani
Kweli nimetambu mtu akiwa mwanuaume alfu Anatabia za kike ni tatizo sana Kwan kondoo si kama wanyama wengine wamewekwa kuliwa tu na wewe tafuta mbuzi ule au umekatazwaHahaha [emoji23][emoji23][emoji23]
Umepaniki dada