Uchaguzi 2020 Askofu Josephat Gwajima achukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Kawe kupitia CCM

Uchaguzi 2020 Askofu Josephat Gwajima achukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Kawe kupitia CCM

Mtu ambaye juzi aliwapangisha foleni waumini wake ili watolewe mapepo , leo foleni anapanga yeye ! hili ni jaribu kubwa sana
Mmezoea bungeni mambo yanayohusu kanisa kuamuriwa na wapagani au watu wa dini nyingine. Sasa jembe la Bwana Yesu, Bishop Gwajima kuchukua fomu tu mmeanza kupagawa, akiingia bungeni si ndio mtazimia? Songa mbele Bishop.
 
Mmezoea bungeni mambo yanayohusu kanisa kuamuriwa na wapagani au watu wa dini nyingine. Sasa jembe la Bwana Yesu, Bishop Gwajima kuchukua fomu tu mmeanza kupagawa, akiingia bungeni si ndio mtazimia? Songa mbele Bishop.
Wacha weeee !
 
Embu wapitishwe kugombea tupate video maana lazima makaburi yafukuliwe
 
Mtu ambaye juzi aliwapangisha foleni waumini wake ili watolewe mapepo , leo foleni anapanga yeye ! hili ni jaribu kubwa sana
MASIKINI CHADEMA MNATENGENEZA VID ZA MBAOO AISEE MWAKAA HUU MTASHAAA
 
Chezea awamu ya tano sadaka siku hizi hamna...waliokuwa wanatoa Mwekundu kama sadaka siku hizi wanatoa mia tano arafu jamaa alivyo na mkosi ile kashfa ya ngono iliyoibuliwa na Bashite ikammaliza...waumini kila wakifikiria ile video ya ngono na ufuska wa mtume wao hawaendi tena kanisani
Askofu muhuni mzinzi ameungana na waliomchafua ha ha ha ha ha na kuwasaliti waliomtetea .
 
Back
Top Bottom