Step by step
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 1,164
- 1,293
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema mna hofu ya kupoteza jimbo!Mtu ambaye juzi aliwapangisha foleni waumini wake ili watolewe mapepo , leo foleni anapanga yeye ! hili ni jaribu kubwa sana
niliweka video lakini wakubwa wameiondoa
Hii hapa!
Uchumi wa chini Kati, sadaka zimekataMtu ambaye juzi aliwapangisha foleni waumini wake ili watolewe mapepo , leo foleni anapanga yeye ! hili ni jaribu kubwa sana
Hii hapaMtakatifu Erythrocyte
Tupia ile porn clip ya askofu amfifilo
Yaani hapo kuna nini cha ajabu?we kabila gani aisee?Mtu ambaye juzi aliwapangisha foleni waumini wake ili watolewe mapepo , leo foleni anapanga yeye ! hili ni jaribu kubwa sana
Aka hapa mtu wanguBila kapicha huu uzi ni ubatili mtupu.
Hiyo hofu inatoka wapi jamaangu. Alisema; Kugombea urais ni kujishusha sasa nafasi ya urais hakugombea amegombea ubunge. Aliyempa fomu darasa la saba tena wa kufeli yaani zero. Anamuuliza; Hifi babaasikofuuu unajua kuandika?? This is too much. Haivumilikiiii. Tuwe na breki kwenye maneno yetu maan. Huyu Kigmboni, huyu Kawe. Wataenda Dodoma kuapishwa kwa ile chope?Chadema mna hofu ya kupoteza jimbo!
Unakosea sana kumuita li gwajima baba askofu. Huyo jamaa ni li tapeli tu la kirohoMtu ambaye juzi aliwapangisha foleni waumini wake ili watolewe mapepo , leo foleni anapanga yeye ! hili ni jaribu kubwa sana
Mnyakyusa wa kyela , kijiji cha Kajunjumele njia ya kuelekea Itungi PortYaani hapo kuna nini cha ajabu?we kabila gani aisee?
Nasikia kyela wamekupangisha foreniMtu ambaye juzi aliwapangisha foleni waumini wake ili watolewe mapepo , leo foleni anapanga yeye ! hili ni jaribu kubwa sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Mnyakyusa wa kyela , kijiji cha Kajunjumele njia ya kuelekea Itungi Port
Subiri kampeni zianze mkuu , haraka za nini ?Nasikia kyela wamekupangisha foreni
Peleka salamu kyela waambie CDM tunashukuru kwa kutuengulia Victoria Swebe Kwenye siasa maana tulikuwa tunamuhofiaMnyakyusa wa kyela , kijiji cha Kajunjumele njia ya kuelekea Itungi Port
Mtu ambaye juzi aliwapangisha foleni waumini wake ili watolewe mapepo , leo foleni anapanga yeye ! hili ni jaribu kubwa sana
nyie mliyemhofia ni akina nani kutoka wapi ?Peleka salamu kyela waambie CDM tunashukuru kwa kutuengulia Victoria Swebe Kwenye siasa maana tulikuwa tunamuhofia
Hawa maaskofu wa wajinga tusiwape nafasi. Mtu atakayemchagua huyu nafikiri hatakuwa na akili nzuri.Mtu ambaye juzi aliwapangisha foleni waumini wake ili watolewe mapepo , leo foleni anapanga yeye ! hili ni jaribu kubwa sana