Uchaguzi 2020 Askofu Josephat Gwajima achukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Kawe kupitia CCM

Uchaguzi 2020 Askofu Josephat Gwajima achukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Kawe kupitia CCM

Video iko wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii hapa!
tapatalk_1592681667868.jpeg
 
Chadema mna hofu ya kupoteza jimbo!
Hiyo hofu inatoka wapi jamaangu. Alisema; Kugombea urais ni kujishusha sasa nafasi ya urais hakugombea amegombea ubunge. Aliyempa fomu darasa la saba tena wa kufeli yaani zero. Anamuuliza; Hifi babaasikofuuu unajua kuandika?? This is too much. Haivumilikiiii. Tuwe na breki kwenye maneno yetu maan. Huyu Kigmboni, huyu Kawe. Wataenda Dodoma kuapishwa kwa ile chope?
 
Mtu alijifanya Mandigo wa porn hub,kwa hali hiyo utegemee kuna waumin wa kutoa sadaka nyingi tena.

Itambidi tuu apange foleni kusubiria maamuzi ya mkulu,maana alishasema itatokana na hiyo siku ameamka vipi.
 
Mtu ambaye juzi aliwapangisha foleni waumini wake ili watolewe mapepo , leo foleni anapanga yeye ! hili ni jaribu kubwa sana

Kwani Gwajima ni nani? Uaskofu wake fake tu, wa kujipa mwenyewe, na hawezi pata ubunge hilo jua wazi
 
Mtu ambaye juzi aliwapangisha foleni waumini wake ili watolewe mapepo , leo foleni anapanga yeye ! hili ni jaribu kubwa sana
Hawa maaskofu wa wajinga tusiwape nafasi. Mtu atakayemchagua huyu nafikiri hatakuwa na akili nzuri.
 
Back
Top Bottom