mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Ukute na yeye analenga akikosa ubunge akumbukwe kwny u-DAS.Hii ni demotion kwa mtumishi kutoka kuwa juu zaidi ya uraisi Hadi kuwa mbunge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukute na yeye analenga akikosa ubunge akumbukwe kwny u-DAS.Hii ni demotion kwa mtumishi kutoka kuwa juu zaidi ya uraisi Hadi kuwa mbunge
Hapo ndege ndio inapaa vizuri wasio akili wanaona kaharibikiwa lakini Wenye akili ndio kafanikiwa maana atakuwa juu Milele.. Gwajima safi sanaHii ni demotion kwa mtumishi kutoka kuwa juu zaidi ya uraisi Hadi kuwa mbunge
Duh!Kwani ukichukua fomu ni lazima uvae sare za Chama? Mbona Dr. Tulia amevaa nguo za kawaida tu na amechukua fomu.
Kwani tatizo liko wapi? Watu ndo wamekalili kwamba kiongozi wa dini hawezi kuwa mwanasiasa. Kawe mmepata. Msifanye kosa.Askofu kasha kuharibu huwezi tena kurudi kwenye maisha ya kawaida
Kwani aliyepo sio mtetezi wa wananchi, hata hivyo hii ndio demokrasia.Kawe wamepata mtu sahihi, hawatakiwi kufanya makosa zamu hii. Gwajima amekuwa mtetezi wa watanzania akiwa nje ya bunge. Akiingia bungeni itakuwa nzuri sana. Kawe msifanye makosa.
Gwajima tapeli tuKwani tatizo liko wapi? Watu ndo wamekalili kwamba kiongozi wa dini hawezi kuwa mwanasiasa. Kawe mmepata. Msifanye kosa.
Kuna waislam na wakatoliki, hao ni mtaji wake? Maana amewananga sana na ushahidi upo.Wewe umesikia wapi; ukitumia akili yako japo hata kidogo utaelewa kwamba Gwajima anamtaji mkubwa sana wa watu kuliko Mdee
Sent from my HTC Desire 12 using JamiiForums mobile app
Sio Kawe tu, ni sehemu gani Tanzania hii yenye maendeleo. Maji tu ya bomba ni shida halafu unazungumzia maendeleo.kuna haja ya kusema wew unafaa sana kuwa kawe ili kufanya mabadiliko lkn walio kuwepo kwakweli ni maendeleo gani waliyoleta mpk sasa hakuna tunahitaji mabadiliko kwakweli kawe ...na wewe una faaa sana
Mabadiliko ganina ataleta mabadiliko kwa Kawe
Hahahahahaha kweli wewe ndiyo fala namba moja jengo la kanisa na linahusiana nini na mambo ya siasa?Ameshindwa kuleta mabadiliko hapo kwenye kanisa lake jengo la ibada ni kama ghara la ugoro halipo ktk ramani kabisa, halafu kesho mmtume awe mbunge wa kawe mna akili kweli?
Akuna=HakunaAkuna Cha kuchunga ndimi apa ! Pana po pinda Pana sawa zishwa , akuna kuogopa ogopa apa
Kwani we shida yako ni nini hapo kwenye mavaziKwani ukichukua fomu ni lazima uvae sare za Chama? Mbona Dr. Tulia amevaa nguo za kawaida tu na amechukua fomu.
Anakatwa saa 12 asubuh
Huwezi kumtetea mtumishi wa Mungu kwa kutukanakama la mamako hahahaha vile anajua
Toa kwanza ww zile ulizocheza na familia yako wanaume tuzione tunaweza tukatoa posa tukuweke ndani uwe unatupa mauno maana unapenda kweli mambo hayo.Mwambieni wajuba wanasema atoe tena video nyingine yaani UNO PART 2.
Hahah mwanangu huu uzi una ID mpya nyingi balaa,nadhani ni wana kondoa wa pale Tanganyika Packers.Acha genye basi,unakuja na moto na ID yako mpya namna hii.Ameshakulipa aliyekutuma?
Utagongwa nyuma,relax.
Embu fanya kama unamuuliza..Majibu ya vipimo vya mkoja yameshatoka? Maana nasikia alipimwaga huyu.