Uchaguzi 2020 Askofu Josephat Gwajima achukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Kawe kupitia CCM

Uchaguzi 2020 Askofu Josephat Gwajima achukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Kawe kupitia CCM

UTAONA WACHAWI NA WAGANGA WA KIENYEJI WANAPINGAA HILIII
#ANGALIENI WANAOPINGA WOTEEE ,,
NI WIVU TU
 
Kuna watu ata awafahi kwa kurumangia ,lakn ni wepesi wa kukosoa wengine safi gwaji boy.
 
Hahah afu mzee hebu angalia kwny profile zao hizo ID zote mpya zimejoin tarehe ngapi then utapata picha kwamba kuna INGIZO JIPYA kwa kazi maalum.
Umezidiwa mpka una shauli lD aaaaaaaaaaa uruma Sana
 
IMG-20200714-WA0049.jpg
 
HIYO IMEISHAAA
KAWE NA GWAJIMAAA # MWAKA HUU MTAELEWAAA KINACHOOENDELEAA
BUNGENII KUNA WAKA MOTOOO
 
Yaani kuna vioja mjini hapa. Mtu anakwambia ni haki ya raia wa Tanzania kugombea nafasi ya kisiasa, na Gwajima ni mtanzania halafu mtu anaibuka anasema "unachanganya dini na siasa" mbona hiyo haipo kwenye katiba.? Mbona katiba haisemi kiongozi wa kiroho haruhusiwi kugombea nafasi ya uongozi.
 
Kinachosumbua wengi Ni Akili TU kuwa NDOGO,Kushindwa kufikili nje ya Box
#kupanua Mawazo yako kutasababisha umuelewa Gwajima alichofanya Ni KITU kizurii sanaaa
 
Nimechekaaa Sana ,UKIONA anachanganya
Na wewe changanya kunde na nyamaaa
HÀAAAAAAAAA
Mwachenii Na Kawe yakeee
 
Huyu atakatwa mapema Sana.Sijui Kama huyu Ni mwanachama wa CCM na ameilipia kadi yake kwa miaka mingapi. Lakini CCM Jimbo la Kawe wanapumulia mashine hivyo lazima wamchague huyu japo hauziki mtaani ila anaafadhali kidogo. Kawe ni ya Mdee
Eti kawe ni ya Mdee,kanyoloke!
 
Michezo yako ya kumwagiwa maji usitulee sisi wajuba.
Mwambie Gwajima hatabebwa na CCM wala wasukuma wenzake.Atanyolewa bila maji kwa kutumia panga.Mwambie Kawe sio Koromije.
umesikia Yuko kwa ajili ya kubebwa na mtu kwanza unakipi wewe Cha kumbebaa
 
Back
Top Bottom