Askofu Josephat Gwajima, anayofanya askofu mwanamapinduzi ni wewe unamtuma? Kwanini hujamfukuza kanisani kwako?

Askofu Josephat Gwajima, anayofanya askofu mwanamapinduzi ni wewe unamtuma? Kwanini hujamfukuza kanisani kwako?

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Ndugu yangu askofu Josephat Gwajima wewe ndiye baba askofu mkuu wa makanisa yote ya ufufuo na uzima Tanzania, wewe ni mbunge na ni kada wa chama Cha mapinduzi unakiona anachofanya mojawapo ya wachungaji wako pale Kibaha kwa Mathias ?

Askofu mwanamapinduzi amelibadili kanisa la Kibaha kuwa politics analysis, hakuna ibada Tena pale, sisi kama waumini wako tunakwazwa na tabia za mchungaji muda wote kuzungumzia siasa! Badala ya neno la Mungu!! Askofu mwanamapinduzi kazi yake ni kupandikiza chuki kati ya waumini na serikali!

Kama sio wewe umemtuma tunaomba umuondoe Kibaha arudi kwako makao makuu, hapa Kibaha hatumuhitaji. Kanisa zuri lakini linazidi kupukutika kwa sababu ya masiasa ya mchungaji!! Nategemea utalifanyia kazi hili.

Asante
 
Ndugu yangu askofu josephat gwajima wewe ndiye baba askofu mkuu wa makanisa yote ya ufufuo na uzima Tanzania ,wewe ni mbunge na ni kada wa chama Cha mapinduzi unakiona anachofanya mojawapo ya wachungaji wako pale kibaha kwa matias ? Askofu mwanamapinduzi amelibadili kanisa la kibaha kuwa politics analysis ,hakuna ibada Tena pale ,sisi kama waumini wako tunakwazwa na tabia za mchungaji muda wote kuzungumzia siasa ! Badala ya neno la mungu !! Askofu mwanamapinduzi kazi yake ni kupandikiza chuki kati ya waumini na serikali ! Kama sio wewe umemtuma tunaomba umuondoe kibaha arudi kwako makao makuu hapa kibaha hatumuhitaji .kanisa zuri lakini linazidi kupukutika kwa sababu ya masiasa ya mchungaji !! Nategemea utalifanyia kazi hili Asante
20240915_050646.jpg
 
Mtu mwenyewe anaitwa Mwanamapinduzi. Unategemea aongee nini zaidi ya siasa? Tena akiegema upande wa upinzani!?

Anapaswa kuitwa Mwanakondoo. Tungeona akiwahudumia kiroho sawa sawa.
 
Ndugu yangu askofu josephat gwajima wewe ndiye baba askofu mkuu wa makanisa yote ya ufufuo na uzima Tanzania ,wewe ni mbunge na ni kada wa chama Cha mapinduzi unakiona anachofanya mojawapo ya wachungaji wako pale kibaha kwa matias ? Askofu mwanamapinduzi amelibadili kanisa la kibaha kuwa politics analysis ,hakuna ibada Tena pale ,sisi kama waumini wako tunakwazwa na tabia za mchungaji muda wote kuzungumzia siasa ! Badala ya neno la mungu !! Askofu mwanamapinduzi kazi yake ni kupandikiza chuki kati ya waumini na serikali ! Kama sio wewe umemtuma tunaomba umuondoe kibaha arudi kwako makao makuu hapa kibaha hatumuhitaji .kanisa zuri lakini linazidi kupukutika kwa sababu ya masiasa ya mchungaji !! Nategemea utalifanyia kazi hili Asante
Tulia unywe dawa
 
Askofu mwanamapinduzi kazi yake ni kupandikiza chuki kati ya waumini na serikali !
Hebu weka hizo taarifa unazoziita ni za chuki hapa ili na sisi uliotuletea tujiridhishe kuwa ni za chuki kweli.
 
  • Thanks
Reactions: I M
Hebu weka hizo taarifa unazoziita ni za chuki hapa ili na sisi uliotuletea tujiridhishe kuwa ni za chuki kweli.
Hakuna haja ya kuweka hapa ingia YouTube sikiliza mahubili yake
 
Ndugu yangu askofu Josephat Gwajima wewe ndiye baba askofu mkuu wa makanisa yote ya ufufuo na uzima Tanzania, wewe ni mbunge na ni kada wa chama Cha mapinduzi unakiona anachofanya mojawapo ya wachungaji wako pale Kibaha kwa Mathias ?

Askofu mwanamapinduzi amelibadili kanisa la Kibaha kuwa politics analysis, hakuna ibada Tena pale, sisi kama waumini wako tunakwazwa na tabia za mchungaji muda wote kuzungumzia siasa! Badala ya neno la Mungu!! Askofu mwanamapinduzi kazi yake ni kupandikiza chuki kati ya waumini na serikali!

Kama sio wewe umemtuma tunaomba umuondoe Kibaha arudi kwako makao makuu, hapa Kibaha hatumuhitaji. Kanisa zuri lakini linazidi kupukutika kwa sababu ya masiasa ya mchungaji!! Nategemea utalifanyia kazi hili.

Asante

Huwezi tofautisha DINI na SIASA ..
Ndo maana Masheikh wengi wanawapiga spana CHADEMA...
Na ndo maana tunasema Vatican ndo inaongoza Dunia..
Hata hao walioleta hizi dini huku kwetu walitumwa na WANASIASA..
Na ndo maana Rais mwenye dini yako anawapigia simu Mitume ambao wa dini yake wanawaita ni "FEKI" , n yote ni siasa...
 
Back
Top Bottom