Askofu Josephat Mwingira awataka waumini kuvua barakoa

Askofu Josephat Mwingira awataka waumini kuvua barakoa

Watu kama hawa kina Mwingira si wauaji wa halaiki? Why wanaachwa?


ndugu watanzania na watumishi wa Mung una waumini,chondechonde tuvisome vitabu vitakatifu tuvielewe na tufundishane njia sahihi yenye utukufu mbele za Mungu bila kuhitaji kuwa tofauti na wengine au kutafuta umaarufu.



Jana kuna sheikh mmoja tanga kawakataza waumini wake kwenda msikitini wakiwa wamepaka sanitizer kisa eti ni pombe wasiingize msikitini.

Katika quran kuna aya nyingi zinazoonyesha wakati wa hatari hata halamu huwa halali ili mradi uponye Maisha yako…ndugu zangu waisilam mnajua vyema aya hizi sitapenda kujikita huko maana kitabu hicho sikitumiii…

Nije kwa huyu mtumishi Mwingira anayetumia biblia kama mimi, kweli kuvaa barakoa ni kosa? Ni ukosefu wa Imani? Unashindwa kuongea na Mungu ukiwa umevaa barakoa? Mbona tunaongea na kusikilizana huku tumevaa barakoa? Mungu ana masikio yasiosikia mpaka sauti kubwa?

Mungu anasikia kwa kuangalia moyoni kwa kuangalia moyo wa mwombaji, je hili Mtumishi hulijui/halijui,….imeandikwa waabuduo halisi watamwabudu Mungu katika roho na kweli



Kuhusu kumjaribu Mungu, malaika alivyomtokea Joseph na kumwamuru akimbilie misri wakati Jesus bado kichanga ina maana Mungu alishindwa kumlinda na mkono wa Helode usimzuru? Ina maana Joseph angekaidi si angavuruga mpango wa Mungu? Mimi na wewe hatujui nini kingetokea maana waliuwawa Watoto wote……imeandikwa

Watumishi/waumini tuvitumie vitabu na roho sio akili zetu wenyewe tutapotea na Mungu atatuuliza kuwa tulikuwa na sababu ya kupotea sijui tutajibuje,.

Kama ni kauli ya Rais, sizani kama alimaanisha hivyo labda alieleweka tofauti…kuomba tuombe lakini vilevile tahadhali zichukuliwe tena kwa nguvu zote.

TUTUMIE AKILI MAANA NAZO ZIMEUMBWA KWA KAZI HIYO KWA NYAKATI HIZI.
 
Ushahidi gani unataka zaidi kuwa ni tapeli? Tena tapeli mkubwa. Hawa ndiyo manabii wa uongo waliosemwa kwenye biblia. Tanzania sasa hivi inatumbukizwa shimoni na sekta tatu ambazo zimevamiwa na matapeli: Siasa, Dini na Uandishi wa Habari.
Utapeli wake unajulikana wazi wazi
 
Kuna sehemu umepotoka yawezekana umefundishwa vibaya kuhusu Imani . Corona imekuja kuwaumbua wale wote wenye imani haba, wawe waumini au wachungaji. Imefika hatua watu wameamini Mungu anaweza kuponya magonjwa fulani na mengine hawezi kitu ambacho si kweli.Kupitia Corona mwenye akili amejua kuwa uponyaji mwingi tunaouona kwenye Tv ni uongo na usanii mtupu.

Mungu alieumba vinavyoonekana na visivyoonekana hawezi shindwa kumuepusha au kumponya mtu na korona. Corona ni ugonjwa ulioletwa na shetani. Lakn kupitia Corona kuna watu tayari wamesha shetani ushindi.

Toka ugonjwa huu uanze hatujaskia mtu hata mmoja aliepona Corona kwa kuombewa. Manabii wengi hawathubutu kufanya hivyo maana wanajua Corona ni ugonjwa wa kweli kweli! Corona itaponywa tu na wachungaji wenye Imani thabiti isiyo na usanii ndani yake. Bahati mbaya it's hard to find.

Kwenda kanisani umevaa barakoa ni dalili za uoga na kukosa imani kwa Mungu.Ni heri ubaki nyumbani na barakoa yako. Watu wanapaswa kujua mbingu ni kwa ajili ya wenye Imani kubwa km ya Meshaki,Abeid na Shedrack. Au Daniel alietupwa kwenye shimo la Simba asiliwe. Km mtu hana imani ya namna hiyo basi huyo mbingu haimuhusu. Maelfu ya watu,mamia ya makanisa unayoyaona meengi ni bure. Watu wanasali tu km desturi lakini Mungu hayupo.


Hata Yesu angekuepo kimwili leo angewashangaa watu wanaoingia hekaluni kwenye nyumba ya Baba ake na barakoa. Nae angesema" Mbona mnamashaka mioyoni mwenu"?Mbaya zaidi wapo viongozi wa dini waliofunga makanisa kabsa ili kuikimbia Corona.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu akubariki kwa kuwafafanulia vizuri na Mungu awasamehe waliomkashifu Mtumishi wa Mungu.
 
Hiyo sauti sio ya Mwingira mbona kama ya geor Davie? Sio ya mwingira hiyo ulkiangalia midomo na sauti haviendani.
Video ya kutengenezwa hiyo Mwingira sauti yake sio hiyo

Ni kweli sio sauti yake ni sauti ya Mkalimani wake, yeye alikuwa akihubiri kwa kiingereza mkalimani wake ndio aliyeongea kwa kiswahili. Sauti yake haisikiki vizuri kwnye hiyo Clip. So its true yeye ndiye aliyesema maneno yale
 
Kuna sehemu umepotoka yawezekana umefundishwa vibaya kuhusu Imani . Corona imekuja kuwaumbua wale wote wenye imani haba, wawe waumini au wachungaji. Imefika hatua watu wameamini Mungu anaweza kuponya magonjwa fulani na mengine hawezi kitu ambacho si kweli.Kupitia Corona mwenye akili amejua kuwa uponyaji mwingi tunaouona kwenye Tv ni uongo na usanii mtupu.

Mungu alieumba vinavyoonekana na visivyoonekana hawezi shindwa kumuepusha au kumponya mtu na korona. Corona ni ugonjwa ulioletwa na shetani. Lakn kupitia Corona kuna watu tayari wamesha shetani ushindi.

Toka ugonjwa huu uanze hatujaskia mtu hata mmoja aliepona Corona kwa kuombewa. Manabii wengi hawathubutu kufanya hivyo maana wanajua Corona ni ugonjwa wa kweli kweli! Corona itaponywa tu na wachungaji wenye Imani thabiti isiyo na usanii ndani yake. Bahati mbaya it's hard to find.

Kwenda kanisani umevaa barakoa ni dalili za uoga na kukosa imani kwa Mungu.Ni heri ubaki nyumbani na barakoa yako. Watu wanapaswa kujua mbingu ni kwa ajili ya wenye Imani kubwa km ya Meshaki,Abeid na Shedrack. Au Daniel alietupwa kwenye shimo la Simba asiliwe. Km mtu hana imani ya namna hiyo basi huyo mbingu haimuhusu. Maelfu ya watu,mamia ya makanisa unayoyaona meengi ni bure. Watu wanasali tu km desturi lakini Mungu hayupo.


Hata Yesu angekuepo kimwili leo angewashangaa watu wanaoingia hekaluni kwenye nyumba ya Baba ake na barakoa. Nae angesema" Mbona mnamashaka mioyoni mwenu"?Mbaya zaidi wapo viongozi wa dini waliofunga makanisa kabsa ili kuikimbia Corona.

Sent using Jamii Forums mobile app
"Imeandikwa watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa" Hakika wewe ni mmoja wao na unajaribu kupotosha watu kwa imani yako feki au uelewa wako mdogo.

Soma Luka 4:3-12 Yesu alipoambiwa na shetani geuza jiwe hili na kuwa mkate akamjibu shetani imeandikwa mtu hataishi kwa mkate. Alipoambiwa jitupe chini utapona maana imeandikwa atakutumia malaika watakulinda, akasema imeandikwa usimjaribu Bwana Mungu wako. Je unafikiri Yesu alikuwa hawezi kufanya hivyo vitu alivyoambiwa na shetani?

Marko 16:17-18 Imeandikwa "Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio ......... watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa;....." sasa wewe ukitaka kujua Yesu alimaanisha nini aliposema usimjaribu Bwana Mungu wako kachukue sumu ya panya unywe.

Mungu hatokulinda kwa kufanya kitu cha hatari kwa makusudi na huku unajua jinsi ya kujilinda, hakika kufa utakufa hatokulinda nakuambia.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
China wangekuwa na akili kama hii Corona isingeisha saivi, tanganyika bado tuna mapuuza, Tumpe mda tuu
 
Yaani kiongozi wa dini anatangaza eti Corona imekwisha .Hii Ni akili matope .
IMG_20200511_164648.jpg
 
Kama dunia nzima tunajua bado CORONA ni tatizo duniani, iweje na Wewe upoteze muda wako Kuwaamini hawa Mashetani?
Kijana hatuchezi hapa tunatoa precaution kwa watanzania,wasiwaamini hawa Ili nchi na watu wake wasipate madhara,tusipofanya hivyo hiyo impact hata wewe itakugusa kwa namna moja au nyingine use common sense.
 
Kijana hatuchezi hapa tunatoa precaution kwa watanzania,wasiwaamini hawa Ili nchi na watu wake wasipate madhara,tusipofanya hivyo hiyo impact hata wewe itakugusa kwa namna moja au nyingine use common sense.

Umeyaelewa vyema kabisa yale Maelezo yangu Ndugu? Siku zingine ongozwa na Ubongo na siyo Bichwa lako hilo Kubwa sawa?
 
Yaani kiongozi wa dini anatangaza eti Corona imekwisha .Hii Ni akili matope .View attachment 1447125
Mkuu, tusibeze huu ujumbe wa huyu mtumishi. Yeye ni "mouth piece" tu kwa kile anachokiamini, kukisimimia na kukihubiri mbele ya waumini wake kwa mamlaka ya Neno la Mungu. Hakuna kitu kishindikanacho katika imani ya kweli mbele ya Jina la Bwana Yesu Kristo, achilia mbali hata kifo chenyewe. Yeye ndiye mwenye funguo za mauti na kuzimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom