Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Aliwahi pia kutuhumiwa kutembea matembezi ya jioni na mke wa muumini wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haha kwel
Umenena vyemaHuyu ngonja impate ndo atajua umuhimu wa barakoa.
Halafu hivi Mungu anapatikana kwenye buildings zao tu? Eti utasemaje na Mungu. Mungu nasema nae kiroho tena popote pale including nyumbani kwangu.
Wanaosali kwenye makanisa ya aina hii akili zao zinatakiwa kuchunguzwa kwa kinaWatu kama hawa kina Mwingira si wauaji wa halaiki? Why wanaachwa?
Yule tapeli mwenzake aliua watu kule Moshi , ilikuwa mwezi gani ?Huyu ngonja impate ndo atajua umuhimu wa barakoa.
Halafu hivi Mungu anapatikana kwenye buildings zao tu? Eti utasemaje na Mungu. Mungu nasema nae kiroho tena popote pale including nyumbani kwangu.
yaan aliyekubali kwenda tu kusali humo ni mpumbafuAshakum si matusi aliekubali kuvua ni mpumbavu.
Acha akili zako za kizamani, huna ushahidi ni tapeli na huna haki ya kusema hvyoHii kauli ingetoka Kwa wapinzani Leo hii wangekuwa wapo segerea Ila Kwavile imetoka Kwa tapeli wa Imani haina shida
Ko hyo ndo evidence yko, you seem lameTapeli hilo.View attachment 1440795
Haiwezi kuwa jinai kwa wakati huu kwani huko juu kuna mpumbavu mmoja amewafungulia mlango. Nchi ikishaongozwa na mjinga ni rahisi sana kuitumbukiza kwenye maangamizi. Ufahamu wengi wa waumini wa hizi dini umeshatekwa na hawa matapeli na wamebaki kupelekwa upande wowote kama mwendesha farasi anavyomwendesha farasi wake. Kwenye hii issue ya corona ilihitajika intervetion ya serikali ili hawa matapeli wasipate mianya kama hii lakini unfortunately mshika usukani naye ni kama zero brain.Hii ni jinai kabisa
Ushahidi gani unataka zaidi kuwa ni tapeli? Tena tapeli mkubwa. Hawa ndiyo manabii wa uongo waliosemwa kwenye biblia. Tanzania sasa hivi inatumbukizwa shimoni na sekta tatu ambazo zimevamiwa na matapeli: Siasa, Dini na Uandishi wa Habari.Acha akili zako za kizamani, huna ushahidi ni tapeli na huna haki ya kusema hvyo
Maana reference yako ni kutokana na maigizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Barakoa ndio ina zuia Corona au maji tililika!!!..Kama Barakoa ingekua inazuia Corona nadhani wachina wasingepata huu ugonjwa kwasababu wachina wengi maisha Yao huvaa barakoa!!!...Barakoa ni Kinga ya hewa chafu lakini siyo kirusi hiki Cha Corona ndio maana tunaambiwa tuoshe mikono Mara kwa mara,tukae mbali kidogo,hebu tuwe na akili kidogo
Majinga mnoo!Mimi sasa hivi hata msikitini sishauri watu waende sijui tuna shida gani watanzania mweeeh
Hiyo sauti sio ya Mwingira mbona kama ya geor Davie? Sio ya mwingira hiyo ulkiangalia midomo na sauti haviendani.
Watu kama hawa kina Mwingira si wauaji wa halaiki? Why wanaachwa?
You look GAYISH.