The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
- Thread starter
- #21
Huyu anamaanisha mtu akizaliwa bubu hawezi kuongea na MunguHuyu ngonja impate ndo atajua umuhimu wa barakoa. Halafu hivi Mungu anapatikana kwenye buildings zao tu ?Eti utasemaje na Mungu. Mungu nasema nae kiroho tena popote pale including nyumbani kwangu.